Ushauri: Nahisi mchumba wangu ana mahusiano na wanaume wengine

yani mwanamke wako anashika simu yako ila yakwake anakukatalia ??? daah sijui ww ni mwanaume wa aina gani ? in short unaendeshwa na mpenzi wako
 
I can feel the sound of your post Mzee baba hapa naoa unanong'ona kwa uoga.

Kitendo tu Cha kuhisi unaibiwa tayari hiyo ni ndimu kwenye maziwa fresh.

Mabaharia wakihisi hujipa muda kupata ukweli, hivi ulitarajia Daktari aseme ndio tunanyanduana kwenye nightshift?

Watu wanachat unaona baby, wife dady kwenye simu ya kificho bado unaishi kihisia.

Wanawake hutongozwa hasa kwa age uliyosema yawezakana Kila siku shida ni pale unapokuta demu wako anapo entertain wanaomtongoza hapo jua anakwenda kuliwa.

Kaka piga chini songa mbele usije ukaja shtukizwa na kadi ya send-off
 
(2016-2021) umechekewa sana . Huyo ni mke wa mtu.kuwa mpole
 
Mkuu achaga tabia ya kupekua simu ya mwanamke, utapata pressure itakayopelekea stroke mpaka ubaki kwenye wheel chair afu ye anaendelea kutumbua maisha. Maana kabla hujamuoa hawezi kukupa asilimia 100 ya kwamba hautamtosa, kwa hiyo wengi wao wanakuwa na backup plans ikitokea ndoa uliyo ahidi imeshindikana. Ukishaoa hao wanaume atawapunguza ama atawapotezea wote.
 
Huyo ni kuachana naye tu hamna Mke mtarajiwa hapo siyo mwaminifu kabisa.
 
Haha nawaona vijana wakitembea na line hii huko mbeleni.

Mkuu....watakuja kukushukuru!
 
Carlos The Jackal saaaana mkuu, sasa leo ndo nataka nimuulize kuhusu hyo simu ndogo
michael G

Be a man,achana na malaya huyo hukumkuta bikra jua na elewa anagongwa tena sana huo muda wa kuanza kuulizana habari za simu ndogo unautoa wapi wewe achana nae hao wamejaa malorry na malorry mtaani tulia tafuta mke na uzingatie awe bikra kama hujapata bikra bora usubiri hadi utakapopata no matter kama muda utakuwa umeenda.

Zipo mada humu zimesisitizwa umuhimu wa kupata mke wako wewe peke yako vijana tusikilizeni kaka zenu acheni kuokota makopo ya vyoo vya stand na kuyabatiza jina la uchumba/mke mtazidi kuumia.
 
Nitajie wanafalsafa walio waelewa wanaume.
 
Happy Huna Chako braza

Kaka hapo Unagongewa!!!
 
keshakwambia wewe sio rijali....unataka nini tena......rijali haangaiki na simu ya mkewe, mchumba sijui mchepuko......ukishaamini ni wako uwe mpole....sasa amua nwenyewe....mjifunzage na PUNYETO VIJANA........ina faida kwei kwei....
 
Asee wewe jamaa una technix ile mbaya naomba pale TISS wakuajili aseee. Unajua kufanya upelelezi.
 
mwanamke aonyeshwe awepo/asiwepo maisha yanaenda vyema huenda hata ukabarikiwa zaidi bila yeye
tunawaambia kila siku huku
ni wazi doctor anajilia chema chako bila nguvu kabisa
 
Ukiona manyoya! Ujue wameshamvua picchu STUKA! Una guberi kimbia haraka sana.
 
Acha kumpotosha mwenzako wewe,huyo ni Malaya ndio maana ana simu ya kazi (umalaya) ambayo jamaa haijui
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…