mkuu mazoezi ya kupunguza tumbo yapo mengi afu simple tuHizo limao unakamulia kwenye hayo maji au? To darasa mkuu mim kitambi kinanikera sana, mwishoe kitapunguza urefu wa cassava yangu
Kumbe ufanisi wa mfumo wa digestion unapimwa kwa choo tu? Usiku mwema mummy.mfumo wa digestion nadhani uko pia vizuri maana napata choo vizuri tu mkuu,hisia ndo sijui
sitanii jamani nisaidieni nasikia kuna dawa nishaurini ambazo hazina side effect
Hapa Ni kweliStress zinaside effect mbili overweight or underweight inategemea mtu na mtu hili umeliangalia
Pata tips hapo zitakusaidia pianajichukia sana huu mwili wangu nimekuwa linene libayaaa
natamani kujipunguza ila sipungui ,natamani kujinyima kula ila nachoka inabidi nile japo kidogo
asubuhi nilikula chapati mbili na chai kidogo
mchana nikala biriani kidogo na nyama mbili
jioni nimekula nyama cha kuchemsha kama robo na kachumbari.
Hapa nipo nafanya mazoezi ninywe maji moto nilale,
nimeuchoka huu mwili nataka kesho nikaogelee ila sina mvuto kama zamani natamani nisiende ila marafiki zangu wataumia.
Serias kama kuna dawa naombeni ila sijazaa mwenzenu zisije zikayeyusha mayai yangu
Hakuna dawa inayoondoa unene bila side effect. Wewe fanya mazoezi na upunguze kula vyakula vya wanga na mafuta. Hizo dawa zingine utaishia kuharisha tu.sitanii jamani nisaidieni nasikia kuna dawa nishaurini ambazo hazina side effect
Achana na carbohydrates food go green. Nunua blender. Anza kuweka mchicha mchanga, tango, tangawizi, coriander, mashrooms hata ukitaka water molone, limau. Kunywa iwe mlo wako. Kazini funga matunda. Achana na kutumia gari kila mahali. Tembea at least 3 km a day unapokuwa na muda. Achana na nyama kwa muda unaweza pata protein kwenye karanga na maharagwe you do not need meat. Nunua scale uwe unajipima every week uone kama umepungua au la. Ni mawazo yangu tu lakini.nitanenepa zaidi mkuu
Huyo ktk avatar ndo wewe?? Mbona uko sawa na poa?? Kama unataka upungue zaidi ya hapo kuna vyakula vya kutokula na pia jiunge na jogging club au kama una rafiki anayetrott trott anza nae zoezi.najichukia sana huu mwili wangu nimekuwa linene libayaaa
natamani kujipunguza ila sipungui ,natamani kujinyima kula ila nachoka inabidi nile japo kidogo
asubuhi nilikula chapati mbili na chai kidogo
mchana nikala biriani kidogo na nyama mbili
jioni nimekula nyama cha kuchemsha kama robo na kachumbari.
Hapa nipo nafanya mazoezi ninywe maji moto nilale,
nimeuchoka huu mwili nataka kesho nikaogelee ila sina mvuto kama zamani natamani nisiende ila marafiki zangu wataumia.
Serias kama kuna dawa naombeni ila sijazaa mwenzenu zisije zikayeyusha mayai yangu