Ushauri: Najichukia sana unene wangu mpaka nakosa usingizi

Kuna wadau humu wanausongo na papuchi duuu! Yaan wanachangia mada dushe liko full network
 

Umeuchoka mwili unakula hivyo vyakula ?!!! Your not serious
 
Acha kula nyama na vyakula vya kukaanga na kuoka, epuka matumizi makubwa ya vyakula na vinywaji vyenye sukari. Kama utaendelea kula vyakula hivyo na huku ukitegemea mwili kupungua, ni sawa na kujaza maji kwenye pipa lililotoboka toboka chini.
 
Nakushauri ushauri wa maana sana,

Okoka mpokee Yesu awe Bwana na mwokozi wa maisha yako.

Anza kumtafuta Mungu kwa bidii kwa maombi ya kawaida na ya kufunga

Mungu atajua hisia zako jinsi usivyoupenda unene na yeye kwa sababu ndiye aliyekuumba atakuweka vile unavyopenda kuwa,

Muhimu ni kuwa iwe unataka kuwa unavyotaka kuwa kwa utukufu wa Mungu.
Barikiwa sana dada yangu.
 
Glass moja ya juisi ya ukwaju kila siku asubuhi kwa mwezi mmoja kama utakuwa hujapungua. Nikumbushe nikubadilishie dawa. Usiweke sukari kwenye juisi hiyo.
Mi nadhani bilauri moja ya whisky ama vodka ingekuwa poa zaidi ili kuchoma hayo mafuta.
 
Tafuta gym na upate watalamu utapungua Dada. Maana bila shaka umri bado ni rafiki wa mazoezi
 
Mi nadhani bilauri moja ya whisky ama vodka ingekuwa poa zaidi ili kuchoma hayo mafuta.

Hahahaha! Hivyo vya kizungu ni ghali sana na kwa hali ya sasa mhusika anaweza asimudu. Ukwaju tu watosha. Gharama yake ni kuufuata porini. Hakika ni dawa nzuri imewasaidia wengi.
 

Kuokoka sio dawa ya unene Jamaa, mfumo wa chakula ndio issue kubwa! Aujue mwili wake na afya iimarike ndio mtu anaweza kuabudu vizuri! Vinginevyo unatumia dini vibaya.... Chunga kauli zako
 
Fanya mpango uwe na mpenzi/mwenza yeye atafanya kukucontrol kwenye suala zima la diet pia akikugegeda baadhi ya style ambazo zitakufanya kubreath sana kwahyo utakuwa km unakimbia hivi basi hapo mwili wote kwisha ndani ya mwezi tu
 
Kuokoka sio dawa ya unene Jamaa, mfumo wa chakula ndio issue kubwa! Aujue mwili wake na afya iimarike ndio mtu anaweza kuabudu vizuri! Vinginevyo unatumia dini vibaya.... Chunga kauli zako
Mkuu kuokoka ni muhimu ukiokoka huwezi kujichukia,hilo moja lakini la pili ukiokoka utamtafuta Mungu kwa bidii kwa maombi ya kufunga kadri utakavyofunga itakuwa unapunguza mafuta mwilini ambayo ni chanzo kikuu cha unene.
 
Kuongezeka 20kg ndani ya mwaka ni ugonjwa!
Nenda hospitali.
 
yaani siwezi kusex kabisa nina miaka kadhaa nina nyege sana sijui ndo zinaninenepesha?
Na bila Shaka ukienda haja ndogo inaonekana njano Sana rangi yake na hiyo ni kutu,yanini kujitesa namna iyo?chuma kitaisha kwa kuliwa na kutu icho!
 
Pole dia sis nenda hospital ukaombe ushaur coz unene ni maradhi usije tafuta mtoto ukashindwa
 
Hormone si za uzazi tu. Mfumo wa hormone ni mpana. Unaweza kuvuruga mfumo wa umeng'enyaji chakula, utoaji takamwili, hisia n.k
Sana tu hufanya mwili kuzalisha androgen ambayo ni male hormones husababisha kuwa na uzito Mkubwa na inakuwa ngumu sana kupunguza

So inabidi mtu apate dawa za hormones kupunguza uzito
 
Siyo kujizuia kula, ni nini unachokula ndiyo kina matter.

Waone nutritionists.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…