Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hivi mrundikano wa genye unasababisha kunenepa!?Utakuwa hujafanya Mapenzi Siku nyingi...
Baba wa MapakaABUBAKAR NI NANI KATIKA UISLAM?
sitanii jamani nisaidieni nasikia kuna dawa nishaurini ambazo hazina side effect
kiasi sio saaanaVp mkuu nakitambi unacho?
si uandike hapa jamaniMiss natafuta nitafute pm kama kweli una shida..usipuuze mi sio me kusema nakujoke
asante sana .kumbe inatakiwa mudaPole mamake.
Naelewa unachopitia maana nilikuwa kilo 80
Sasa hivi nina kilo 55.
Tatizo moja ambalo nimegundua unalo na mi pia nilikuwa nalo ni kutaka kitu ambacho kitakusaidia kuondoa unene ndani ya siku au wiki moja. Ningependa kukueleza hakuna kidonge wala kitu chochote ambacho kitakusaidia kuondoa unene wote kwa siku wala wiki moja.
Wakati mimi naanza safari yangu ya ku loose weight nilikuwa more realistic. Nilijipangia target ya miezi mitatu mitatu. Yaani ndani ya miezi mitatu na loose 10kgs. Na baada ya miezi saba nili loose kilo 35. Nilijipangia miezi saba sababu ya kazi zangu niko busy mno kwa hiyo siku na muda mwingi wa kufanya mazoezi. Kama ukiwa na muda zaidi wa mazoezi na kujiweka kwenye strict diet basi unaweza ku loose hata kilo 20 kwa mwezi. 5kgs a week.
Nimesoma vitu inavyokula kwanza kabisa ningependa kukwambia unakula vitu vyenye high calories . Kuna formula mbili tu ukitaka ku loose weight. Mazoezi + low calorie diet. Ukiweza ku stick na hivyo basi hutashindwa ku loose weight.
Kuna app ilinisaidia saidia Sana "calorie count " download hiyo. Kabla hujala kitu andika kwenye hiyo app aitakwambia kuna calories ngapi kwenye hicho chakula kwanza. Na pia itakwambia kwa siku unatakiwa kuchukua calories kiasi gani.
Ikija kwenye mazoezi sio lazima uende gym kukimbia au kutembea haraka kwa lisaa au utakavyoweza pia ni mazoezi mazuri Sana. Kila ukifanya cardio (kukimbia,kutembea etc.) ukirudi nyumbani fanya push ups,sets & reps, squats ets
Ukiona kama huchoki au hufanyi hayo mazoezi sahihi jaribu ku angalia you tube kuna maelezo na utaona jinsi ya kufanya .
Binafsi nilianza kufanya yoga.
Kitu kimoja kinachokwamisha watu Si kuanza ni ku "keep up" kuna siku utakuwa umechoka Sana lakini don't give up. Is like anything in life.
Kila lakheri .
Kabisa na kama unakunywa(alcohol)hiyo haita kusaidia kabisa.asante sana .kumbe inatakiwa muda