Ushauri: Najichukia sana unene wangu mpaka nakosa usingizi

Ushauri: Najichukia sana unene wangu mpaka nakosa usingizi

Pole shost yaan uko kama mie nataman nipungue dah ila bora yangu mwenzio nina watoto ila kwa ww kazanaa upungue mwaya usijaribu kitumia dawa ninae mama yangu mdogo alipata madhara kisa dawa hizo usikurupuke tafadhal utakuja juta
 
>>> Vipi YULE MCHINA ALISHAKULA MZIGO huooo ?? NI PM nikuakmbie kitu '' tucheze kombolela ''>>.
 
Najichukia sana huu mwili wangu nimekuwa linene libayaa!
natamani kujipunguza ila sipungui, natamani kujinyima kula ila nachoka inabidi nile japo kidogo.

Asubuhi nilikula chapati mbili na chai kidogo mchana nikala biriani kidogo na nyama mbili, jioni nimekula nyama cha kuchemsha kama robo na kachumbari.

Hapa nipo nafanya mazoezi ninywe maji moto nilale, nimeuchoka huu mwili nataka kesho nikaogelee ila sina mvuto kama zamani natamani nisiende ila marafiki zangu wataumia.

Serias kama kuna dawa naombeni ila sijazaa mwenzenu zisije zikayeyusha mayai yangu.

1b0f9d2ef954e2a2df8c2dbb6addcfdf.jpg
 
Najichukia sana huu mwili wangu nimekuwa linene libayaa!
natamani kujipunguza ila sipungui, natamani kujinyima kula ila nachoka inabidi nile japo kidogo.

Asubuhi nilikula chapati mbili na chai kidogo mchana nikala biriani kidogo na nyama mbili, jioni nimekula nyama cha kuchemsha kama robo na kachumbari.

Hapa nipo nafanya mazoezi ninywe maji moto nilale, nimeuchoka huu mwili nataka kesho nikaogelee ila sina mvuto kama zamani natamani nisiende ila marafiki zangu wataumia.

Serias kama kuna dawa naombeni ila sijazaa mwenzenu zisije zikayeyusha mayai yangu.
Hapo ni diet tu, ukikazana haiongopi..nilikua na kilo 86..nikaja 75 now nina 70 nataka niwe na 65 sili wanga...ni matunda.. mbogamboga...nyama za kuchemsha na kuchoma nimepungua mnoo....mazoezi siwezi kila nikijitahidi wapi nashindwa. Jiwekee miezi 3 utaja niambia
 
Kuna ways za kufanya, kwanza ukijua theory yake
Utaweza fanya na kuwa oky kabisa.

Kupungua sio ishu ya kushinda njaaa, na zoez endelevu ukifanya kwa uaminif wiki mbili na kuendelea utaanza ona changes.

Nitafute nkupe aid nin cha kufanya...
 
unaweza ukawa miss ila inabidi ubadilishe mfumo wa maisha, cha kufanya

Badilisha life style na lishe.Kula matunda na mboga za majani, punguza sana vyakula vya wanga na sukari

Kula mara mbili/24hrs

Fanya mazoezi wiki 3 utakuwa miss, then nitafute nikupe hivyo ambavyo hujapata umri wote huo!
 
Back
Top Bottom