Lakini pia hali ya hewa ina matter, pengine mm natumia Viscosity ndogo kutokana na weather ya nchi/mkoa wanguKuna tatizo saana kwenye kuchagua oil sahihi kwa magari used. Mara nyingi kwa gari kama lako, oil recommended inakuwa yenye "viscosity" ndogo. Ila shida iliyopo ni kujua kama mtumiaji wa mwanzo alikuwa anatumia oil ya hivyo ama la.
Kuna kitu kinaitwe "service/maintenance history". Kwa baadhi ya gari tunazoa Japan huwa inakuwepo. Sema imeandikwa Kijapan. Hii ni muhimu saana. Maana kama mtumiaji wa mwanzo alitumia oil ya viscosity kubwa, wewe ukitumia ya viscosity ndogo lazima ipungue mapema.
Yes. Hali ya hewa inachangia sana. Lakini manufacturer akirecommend oil fulani, inakuwa ideal kwa hali zote za hewa. Sababu gari huwa linajaribiwa kwenye mazingira mbalimbali kabla halijaingia sokoni.Lakini pia hali ya hewa ina matter, pengine mm natumia Viscosity ndogo kutokana na weather ya nchi/mkoa wangu
😄😄 Mambo ya Germany Engineering hayo.Hizi BMW zioneni hivi hivi tu asee, nilipasua Headlight nikataka kununua mpya nilivyoambiwa bei ya Taa mpya mwenyewe nikakimbilia Ilala kwenda kubadilisha lens kwa laki na nusu nikaweka na mastika chomba kikarudi kwenye ubora wake
Mvua si ikavyesha bhana headlight ikaanza kuingiza mvuke, Yani ule mvuke kidogo tu uloingia ndani Taa kwenye Dashboard ikawaka....hapa nina Mpango wa kununua Taa mpyaView attachment 2454161View attachment 2454162
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Ila we jamaa huwa unanifurahisha sana, Nadhani hii yote ni kwasababu una li-Toyota lako ambalo likipata slow pancha unaweza ukapiga misele wiki nzima kama hakijatokea kitu na kwenye Dashboard haikuoneshi, hadi usikie sauti ya rim kwenye lami ndio unajua Sasa shughuli imeisha hakuna namna tena
1. Unatakiwa kufahamu gari lake inatumia kidding gani cha oil kwenye gear boxWakuu nimerudi tena, Nadhani mtakuwa mnaniona hapa mara kwa mara Kila nitakapopata changamoto
Juzi kati nilipata safari ya Dodoma nikaenda na Beamer (BMW X3) na ndio ilikuwa kwa mara ya kwanza naenda safari ndefu na hii gari
Wakati naenda muda wa kulifanyia service ulikuwa Bado haujafika zilibaki kama kilometers 1,200 plus nikaenda Dom nikarudi zikabaki kama kilometers 200+ ili zitimie kilometers 3,000 muda wa kufanya service ufike
Sasa Wakati narudi nilivyofika mbezi Taa ya Engine oil ikaniwakia (yellow) nikafika nyumbani, jana nikalipeleka Mikocheni kwa lengo la kuongezwa oil
Mikocheni Coca-cola Garage ya Atlantic lakini nilivyofika jamaa wakanambia kabla ya kuongeza oil itabidi walicheki kwanza kama kuna leakage wakacheki hawajakuta leakage yoyote ila wakanambia itabidi walifanyie Service kabisa maana oil wameikuta ni nzito tofauti na inavyotakiwa (nikakubali)
Waka change Oil na Oil filter Gari ikakaa sawa, nikapewa invoice total ikaja Tsh 483,800,
Ile Quotation Iko hivi
Oil 8 liters 350,000
Filter 60,000
Subtotal = 410,000/=
Vat 18% 73,800
Total = 483,000/=
Swali langu ni kwamba ukilifanyia Gari service na haina leakage yoyote Oil inatoboa hadi next Service au hapa katikati inabidi uiongezee?
Na je kwa situation yangu ya jana ni kweli ilibidi gari lifanyiwe Service au walivutia upande wao wa kibiashara, Wajuzi naombeni mshee experience zenu
View attachment 2453442
Magari mengine hayana deep stick, nkNdio maana mnaua Magari bila kujijua. Gari zinawaka Moto kwa makosa madogo tu unawz kuta Bonnet cover imesogea au imeachia je utajua ktk Dashboard? Je deep stick imepanda juu na kuruhus Oil kuvuja na kufata exhaust pipe utajua? Unajua madhara yake?.. Gari kila siku ikague na kama muda upo Pima/hakikisha bolt za matairi zimekazwa vzr at least kila baada ya wiki unafanya Uhakiki
Ni kweli, ila nyumba zetu sio rafiki. Inatakiwa nyumba yenye gereji na shimo la kuingia kuweza kufanya service ndogondogo kama kubadilisha engine oil.Achana na BOT.. Uwe na akili ya kuijua gari yako..!
Kubadilisha oil..
Filter..
Coils na Plugs..
Fuel pump..
Hizo sio kazi za kupeleka gari garage.. Unafanya mwenyewe..!
Ebhana eee! Na mi nataka nifikie levo hizi mzee......Hiyo ina engine ya N52B25 weka Castrol Oil 5W30 Fully synthetic, Ujazo ni Lita 6.5 na siyo lita 8.
Au unakua na zile jeki kubwa za kulift.Ni kweli, ila nyumba zetu sio rafiki. Inatakiwa nyumba yenye gereji na shimo la kuingia kuweza kufanya service ndogondogo kama kubadilisha engine oil.
Kwa Volkswagen polo bts 2008 gharama ya kufanya service ikawa hivi mwezi wa August 2022Kwa upande wangu nafaham magari na matengenezo yake plus nina kifaa cha obd2 scan tool...gari yangu ya kwanza kununua ni mjerumani Volkswagen polo bts 2008, nilianza kuisoma gari kabla haijafika bongo thanks kwa tutorials za youtube, nilipata kujua service inavyofanyika plus vifaa vinavyohitajika na kwa kiwango kipi so hata gari ilivyofika bongo sikupata shida nikazama kariakoo nikachukua oil castrol edge 5w30 as recommended nikachukua oil filter ilala pale then nikafanya service after that chumba ikaingia kwa road.
Point muhimu ni kuifaham na kuijui gari yako good newz nowdayz kuna google plus youtube huko kila aina ya maelekezo utakayohitaji.View attachment 2518398
Safi.. Umefanya service kiuchumi zaidi..Kwa Volkswagen polo bts 2008 gharama ya kufanya service ikawa hivi mwezi wa August 2022
1) Engine oil castrol edge 5w30, pale kariakoo kuna duka la castrol niliuziwa lita moja kwa elfu 23 x 4 = 92,000/-
2) Oil filter element, pale ilala niliuziwa kwa elfu 30,
Jumla ikawa 122,000/-
Safi sanaKwa Volkswagen polo bts 2008 gharama ya kufanya service ikawa hivi mwezi wa August 2022
1) Engine oil castrol edge 5w30, pale kariakoo kuna duka la castrol niliuziwa lita moja kwa elfu 23 x 4 = 92,000/-
2) Oil filter element, pale ilala niliuziwa kwa elfu 30,
Jumla ikawa 122,000/-
Hii ishu ya Oil bado kuna Changamoto fulani fulani.Kwa Volkswagen polo bts 2008 gharama ya kufanya service ikawa hivi mwezi wa August 2022
1) Engine oil castrol edge 5w30, pale kariakoo kuna duka la castrol niliuziwa lita moja kwa elfu 23 x 4 = 92,000/-
2) Oil filter element, pale ilala niliuziwa kwa elfu 30,
Jumla ikawa 122,000/-
Hapa tutajua alizeti ni ipi na oil ni ipi.. itasaidia watu wengiHii ishu ya Oil bado kuna Changamoto fulani fulani.
Hii Castrol Edge 5W30 kopo la lita 1 bei inachezea kati ya 20k to 30k.
Mfano mimi nmenunua kama week mbili zimepita kwa 30k. Na huko nilikonunua namba nilipewa na Authorized dealer wa Catrol Tz. Yeye Dealer hakuniuzia sababu anauza jumla na mimi nilikuwa nataka rejareja.
Sasa sijui, Huenda wanaouza 20k,25k, hapo kuna feki au Jamaa wa 30k ameoverprice.
Nimenunua tester ya Viscosity za Engine Oils nitaipata this week. Nitafanya test zangu kadhaa kwa Oils za maduka mbalimbali, nitajua mbivu na mbichi.
Castrol changamoto sana (mtaani zipo fake and original), supplier Mkuu haleti, kabadilisha brand anauza Puma Oils. Natumia Atlantic Oil kutoka Kwa authorised supplier.Hii ishu ya Oil bado kuna Changamoto fulani fulani.
Hii Castrol Edge 5W30 kopo la lita 1 bei inachezea kati ya 20k to 30k.
Mfano mimi nmenunua kama week mbili zimepita kwa 30k. Na huko nilikonunua namba nilipewa na Authorized dealer wa Catrol Tz. Yeye Dealer hakuniuzia sababu anauza jumla na mimi nilikuwa nataka rejareja.
Sasa sijui, Huenda wanaouza 20k,25k, hapo kuna feki au Jamaa wa 30k ameoverprice.
Nimenunua tester ya Viscosity za Engine Oils nitaipata this week. Nitafanya test zangu kadhaa kwa Oils za maduka mbalimbali, nitajua mbivu na mbichi.
Authorized Supplier wa Castrol Ni Wambi Lubes wapo Nyerere Road ila wao wanauza Jumla.Castrol changamoto sana (mtaani zipo fake and original), supplier Mkuu haleti, kabadilisha brand anauza Puma Oils. Natumia Atlantic Oil kutoka Kwa authorised supplier.
Mkuu umechukua ile hand viscosity tester au ?? Naomba details kama hautojaliHii ishu ya Oil bado kuna Changamoto fulani fulani.
Hii Castrol Edge 5W30 kopo la lita 1 bei inachezea kati ya 20k to 30k.
Mfano mimi nmenunua kama week mbili zimepita kwa 30k. Na huko nilikonunua namba nilipewa na Authorized dealer wa Catrol Tz. Yeye Dealer hakuniuzia sababu anauza jumla na mimi nilikuwa nataka rejareja.
Sasa sijui, Huenda wanaouza 20k,25k, hapo kuna feki au Jamaa wa 30k ameoverprice.
Nimenunua tester ya Viscosity za Engine Oils nitaipata this week. Nitafanya test zangu kadhaa kwa Oils za maduka mbalimbali, nitajua mbivu na mbichi.
Yeah ninayo Ofisini toka Jumanne.Mkuu umechukua ile hand viscosity tester au ?? Naomba details kama hautojali
Mkuu umechukua ile hand viscosity tester au ?? Naomba details kama hautojali