Ushauri namna ya kufanya Service BMW X3

Ushauri namna ya kufanya Service BMW X3

Kuna tatizo saana kwenye kuchagua oil sahihi kwa magari used. Mara nyingi kwa gari kama lako, oil recommended inakuwa yenye "viscosity" ndogo. Ila shida iliyopo ni kujua kama mtumiaji wa mwanzo alikuwa anatumia oil ya hivyo ama la.

Kuna kitu kinaitwe "service/maintenance history". Kwa baadhi ya gari tunazoa Japan huwa inakuwepo. Sema imeandikwa Kijapan. Hii ni muhimu saana. Maana kama mtumiaji wa mwanzo alitumia oil ya viscosity kubwa, wewe ukitumia ya viscosity ndogo lazima ipungue mapema.
Lakini pia hali ya hewa ina matter, pengine mm natumia Viscosity ndogo kutokana na weather ya nchi/mkoa wangu
 
Lakini pia hali ya hewa ina matter, pengine mm natumia Viscosity ndogo kutokana na weather ya nchi/mkoa wangu
Yes. Hali ya hewa inachangia sana. Lakini manufacturer akirecommend oil fulani, inakuwa ideal kwa hali zote za hewa. Sababu gari huwa linajaribiwa kwenye mazingira mbalimbali kabla halijaingia sokoni.

Sisi wengi wetu huwa tunajilipua na 20W50 na maisha yanasonga. Ila kiukweli hiyo ni oil nzito balaa.
 
Hizi BMW zioneni hivi hivi tu asee, nilipasua Headlight nikataka kununua mpya nilivyoambiwa bei ya Taa mpya mwenyewe nikakimbilia Ilala kwenda kubadilisha lens kwa laki na nusu nikaweka na mastika chomba kikarudi kwenye ubora wake

Mvua si ikavyesha bhana headlight ikaanza kuingiza mvuke, Yani ule mvuke kidogo tu uloingia ndani Taa kwenye Dashboard ikawaka....hapa nina Mpango wa kununua Taa mpyaView attachment 2454161View attachment 2454162
😄😄 Mambo ya Germany Engineering hayo.
 
Ila we jamaa huwa unanifurahisha sana, Nadhani hii yote ni kwasababu una li-Toyota lako ambalo likipata slow pancha unaweza ukapiga misele wiki nzima kama hakijatokea kitu na kwenye Dashboard haikuoneshi, hadi usikie sauti ya rim kwenye lami ndio unajua Sasa shughuli imeisha hakuna namna tena
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
 
Wakuu nimerudi tena, Nadhani mtakuwa mnaniona hapa mara kwa mara Kila nitakapopata changamoto

Juzi kati nilipata safari ya Dodoma nikaenda na Beamer (BMW X3) na ndio ilikuwa kwa mara ya kwanza naenda safari ndefu na hii gari

Wakati naenda muda wa kulifanyia service ulikuwa Bado haujafika zilibaki kama kilometers 1,200 plus nikaenda Dom nikarudi zikabaki kama kilometers 200+ ili zitimie kilometers 3,000 muda wa kufanya service ufike

Sasa Wakati narudi nilivyofika mbezi Taa ya Engine oil ikaniwakia (yellow) nikafika nyumbani, jana nikalipeleka Mikocheni kwa lengo la kuongezwa oil

Mikocheni Coca-cola Garage ya Atlantic lakini nilivyofika jamaa wakanambia kabla ya kuongeza oil itabidi walicheki kwanza kama kuna leakage wakacheki hawajakuta leakage yoyote ila wakanambia itabidi walifanyie Service kabisa maana oil wameikuta ni nzito tofauti na inavyotakiwa (nikakubali)

Waka change Oil na Oil filter Gari ikakaa sawa, nikapewa invoice total ikaja Tsh 483,800,

Ile Quotation Iko hivi

Oil 8 liters 350,000
Filter 60,000

Subtotal = 410,000/=

Vat 18% 73,800

Total = 483,000/=

Swali langu ni kwamba ukilifanyia Gari service na haina leakage yoyote Oil inatoboa hadi next Service au hapa katikati inabidi uiongezee?

Na je kwa situation yangu ya jana ni kweli ilibidi gari lifanyiwe Service au walivutia upande wao wa kibiashara, Wajuzi naombeni mshee experience zenu
View attachment 2453442
1. Unatakiwa kufahamu gari lake inatumia kidding gani cha oil kwenye gear box
2. Ni mara ya kwanzq kuifanyia Service hiyo gari?
3. Kama ilishafanyiwa Service, ulitumua oil gani, kiasi gani cha oil kilitum8ka na walishauri ufanye service nyingine baada ya km ngapi?
4. Hii Service uiiyoifanya wametumia oil gani?
 
Mag
Ndio maana mnaua Magari bila kujijua. Gari zinawaka Moto kwa makosa madogo tu unawz kuta Bonnet cover imesogea au imeachia je utajua ktk Dashboard? Je deep stick imepanda juu na kuruhus Oil kuvuja na kufata exhaust pipe utajua? Unajua madhara yake?.. Gari kila siku ikague na kama muda upo Pima/hakikisha bolt za matairi zimekazwa vzr at least kila baada ya wiki unafanya Uhakiki
Magari mengine hayana deep stick, nk
 
Achana na BOT.. Uwe na akili ya kuijua gari yako..!
Kubadilisha oil..
Filter..
Coils na Plugs..
Fuel pump..
Hizo sio kazi za kupeleka gari garage.. Unafanya mwenyewe..!
Ni kweli, ila nyumba zetu sio rafiki. Inatakiwa nyumba yenye gereji na shimo la kuingia kuweza kufanya service ndogondogo kama kubadilisha engine oil.
 
Hiyo ina engine ya N52B25 weka Castrol Oil 5W30 Fully synthetic, Ujazo ni Lita 6.5 na siyo lita 8.
Ebhana eee! Na mi nataka nifikie levo hizi mzee......

At least kwa gari nitakayomiliki niwe na maujuzi niijue kama mke yaani.

Bongo hii ukimsikiliza fundi tu au muuza duka tu anaweza kukupoteza. Wana conflict of interest sana hawa jamaa
 
Ni kweli, ila nyumba zetu sio rafiki. Inatakiwa nyumba yenye gereji na shimo la kuingia kuweza kufanya service ndogondogo kama kubadilisha engine oil.
Au unakua na zile jeki kubwa za kulift.
 
Kwa upande wangu nafaham magari na matengenezo yake plus nina kifaa cha obd2 scan tool...gari yangu ya kwanza kununua ni mjerumani Volkswagen polo bts 2008, nilianza kuisoma gari kabla haijafika bongo thanks kwa tutorials za youtube, nilipata kujua service inavyofanyika plus vifaa vinavyohitajika na kwa kiwango kipi so hata gari ilivyofika bongo sikupata shida nikazama kariakoo nikachukua oil castrol edge 5w30 as recommended nikachukua oil filter ilala pale then nikafanya service after that chumba ikaingia kwa road.

Point muhimu ni kuifaham na kuijui gari yako good newz nowdayz kuna google plus youtube huko kila aina ya maelekezo utakayohitaji.
20220813_121825.jpg
 
Kwa upande wangu nafaham magari na matengenezo yake plus nina kifaa cha obd2 scan tool...gari yangu ya kwanza kununua ni mjerumani Volkswagen polo bts 2008, nilianza kuisoma gari kabla haijafika bongo thanks kwa tutorials za youtube, nilipata kujua service inavyofanyika plus vifaa vinavyohitajika na kwa kiwango kipi so hata gari ilivyofika bongo sikupata shida nikazama kariakoo nikachukua oil castrol edge 5w30 as recommended nikachukua oil filter ilala pale then nikafanya service after that chumba ikaingia kwa road.

Point muhimu ni kuifaham na kuijui gari yako good newz nowdayz kuna google plus youtube huko kila aina ya maelekezo utakayohitaji.View attachment 2518398
Kwa Volkswagen polo bts 2008 gharama ya kufanya service ikawa hivi mwezi wa August 2022
1) Engine oil castrol edge 5w30, pale kariakoo kuna duka la castrol niliuziwa lita moja kwa elfu 23 x 4 = 92,000/-

2) Oil filter element, pale ilala niliuziwa kwa elfu 30,

Jumla ikawa 122,000/-
 
Kwa Volkswagen polo bts 2008 gharama ya kufanya service ikawa hivi mwezi wa August 2022
1) Engine oil castrol edge 5w30, pale kariakoo kuna duka la castrol niliuziwa lita moja kwa elfu 23 x 4 = 92,000/-

2) Oil filter element, pale ilala niliuziwa kwa elfu 30,

Jumla ikawa 122,000/-
Safi.. Umefanya service kiuchumi zaidi..
Uwe unanunua oil kwenye gallon kuliko hizo 1lts.. Utasave zaidi..!
 
Kwa Volkswagen polo bts 2008 gharama ya kufanya service ikawa hivi mwezi wa August 2022
1) Engine oil castrol edge 5w30, pale kariakoo kuna duka la castrol niliuziwa lita moja kwa elfu 23 x 4 = 92,000/-

2) Oil filter element, pale ilala niliuziwa kwa elfu 30,

Jumla ikawa 122,000/-
Safi sana
 
Kwa Volkswagen polo bts 2008 gharama ya kufanya service ikawa hivi mwezi wa August 2022
1) Engine oil castrol edge 5w30, pale kariakoo kuna duka la castrol niliuziwa lita moja kwa elfu 23 x 4 = 92,000/-

2) Oil filter element, pale ilala niliuziwa kwa elfu 30,

Jumla ikawa 122,000/-
Hii ishu ya Oil bado kuna Changamoto fulani fulani.

Hii Castrol Edge 5W30 kopo la lita 1 bei inachezea kati ya 20k to 30k.

Mfano mimi nmenunua kama week mbili zimepita kwa 30k. Na huko nilikonunua namba nilipewa na Authorized dealer wa Catrol Tz. Yeye Dealer hakuniuzia sababu anauza jumla na mimi nilikuwa nataka rejareja.

Sasa sijui, Huenda wanaouza 20k,25k, hapo kuna feki au Jamaa wa 30k ameoverprice.

Nimenunua tester ya Viscosity za Engine Oils nitaipata this week. Nitafanya test zangu kadhaa kwa Oils za maduka mbalimbali, nitajua mbivu na mbichi.
 
Hii ishu ya Oil bado kuna Changamoto fulani fulani.

Hii Castrol Edge 5W30 kopo la lita 1 bei inachezea kati ya 20k to 30k.

Mfano mimi nmenunua kama week mbili zimepita kwa 30k. Na huko nilikonunua namba nilipewa na Authorized dealer wa Catrol Tz. Yeye Dealer hakuniuzia sababu anauza jumla na mimi nilikuwa nataka rejareja.

Sasa sijui, Huenda wanaouza 20k,25k, hapo kuna feki au Jamaa wa 30k ameoverprice.

Nimenunua tester ya Viscosity za Engine Oils nitaipata this week. Nitafanya test zangu kadhaa kwa Oils za maduka mbalimbali, nitajua mbivu na mbichi.
Hapa tutajua alizeti ni ipi na oil ni ipi.. itasaidia watu wengi
 
Hii ishu ya Oil bado kuna Changamoto fulani fulani.

Hii Castrol Edge 5W30 kopo la lita 1 bei inachezea kati ya 20k to 30k.

Mfano mimi nmenunua kama week mbili zimepita kwa 30k. Na huko nilikonunua namba nilipewa na Authorized dealer wa Catrol Tz. Yeye Dealer hakuniuzia sababu anauza jumla na mimi nilikuwa nataka rejareja.

Sasa sijui, Huenda wanaouza 20k,25k, hapo kuna feki au Jamaa wa 30k ameoverprice.

Nimenunua tester ya Viscosity za Engine Oils nitaipata this week. Nitafanya test zangu kadhaa kwa Oils za maduka mbalimbali, nitajua mbivu na mbichi.
Castrol changamoto sana (mtaani zipo fake and original), supplier Mkuu haleti, kabadilisha brand anauza Puma Oils. Natumia Atlantic Oil kutoka Kwa authorised supplier.
 
Castrol changamoto sana (mtaani zipo fake and original), supplier Mkuu haleti, kabadilisha brand anauza Puma Oils. Natumia Atlantic Oil kutoka Kwa authorised supplier.
Authorized Supplier wa Castrol Ni Wambi Lubes wapo Nyerere Road ila wao wanauza Jumla.

Ukiwacheck wanakupa namba za mawakala wao.
 
Hii ishu ya Oil bado kuna Changamoto fulani fulani.

Hii Castrol Edge 5W30 kopo la lita 1 bei inachezea kati ya 20k to 30k.

Mfano mimi nmenunua kama week mbili zimepita kwa 30k. Na huko nilikonunua namba nilipewa na Authorized dealer wa Catrol Tz. Yeye Dealer hakuniuzia sababu anauza jumla na mimi nilikuwa nataka rejareja.

Sasa sijui, Huenda wanaouza 20k,25k, hapo kuna feki au Jamaa wa 30k ameoverprice.

Nimenunua tester ya Viscosity za Engine Oils nitaipata this week. Nitafanya test zangu kadhaa kwa Oils za maduka mbalimbali, nitajua mbivu na mbichi.
Mkuu umechukua ile hand viscosity tester au ?? Naomba details kama hautojali
 
Back
Top Bottom