Ushauri namna ya kufanya Service BMW X3

BM hawana dipstick.. Oiii
 
Hivi kilometa elf 10 unazijua

Acheni Soma ujinga unaoandikwa kwenye oil

Vyombo vyangu vya biashara week mbili natoa oil Tena kwa kusimamia mwenyewe


Oil za Mjerumani ni 10kkm wanazoshauri sasa kusema oil 3k km kubadilisha. Napata ukakasi ila sio big deal. Kimfaacho mtu chake na mimi sio fundi makanika
 
Next time fanya hivi:

1. BM E90 3 Series na E83 X3 zinatabia ya kunywa oil (oil burn) kwahiyo make sure una lita 1 kwenye buti always. Tatizo linasolvika kwa kubadirisha seals.

2. Kukwepa gharama zisizo rasmi, kanunue mwenye oil Liqui Molly hapo ungetumia jumla kama laki 3 na nusu hivi.

3. Tafuta OBD scanner. Jitu la Miraba Minne atakushauri zaidi

4. Jiunge magroup ya BMW Tanzania WhatsApp na Telegram.

5. Umezingua sana kuwakiwa kale kabirika ka oil.

6. Jiandae kwa makubwa zaidi kila sekunde..
 
Kama uneweka oil nzuri as recommended. Unatakuwa kufanya next service at least baada ya 7500Km mpaka 10000km
 
Oil huwa inaweza kupungua kidogo sababu ya heat lakini huwa kwa kiwango ambacho ni allowable.
 
Hizi ni kanuni za udereva wa gari za miaka ya zamani na gari za kijapani.

Gari za kijerumani washa gari, kagua dashboard, piga gear.

Mambo ya kukagua oil na kuangalia upepo kwenye matairi, siyo saaana. Hata taa ikiungua huitaji mtu kukuambia taa imeungua. Cheza tu na dashboard.
 
Hiyo namba 5 na 6 una maana gani? Kwamba hutakiwi kuruhusu hiyo taa kuwaka? Na ikiwaka ni kosa kwamba itasababisha ubovu?
 
Modern cars kuna vitu vingi vya kusubiri sensors zikuambie na siyo kukagua kila siku.
 
Naomba nifafanulie namba 3 halafu hiyo namba 4 naomba nisaidie na link tafadhali kama unaweza
 
Mkuu Oil Gani ni recommended kwa BMW X3 ya 2008 kwa hali ya hewa ya Dar ambayo inaweza kutoboa hizo Kilometers 5,000
Uwe aina ya engine ndio inakuwa rahisi kupata msaada ukisema tu BMW X3 gari ina variant nyingi sana. Ni ngumu mtu kuguess ni X3 ipi.

Pia oil recommended kwa BMW ni Castrol hata kwenye mfuniko wameandika. Kuhusu grade hapo ndio itategemea na aina ya engine.
 
Inauzwaje mkuu, na Manufacturer wanashauri oil gani?
Next time do a lot of research about your car.

Utapunguza hata kupigwa au kuwekewa vitu vya hovyo.

Na hata ukitaka kununua kitu, fanya research.

Mpaka sasa ulitakiwa ujue recommended oil for your car. Na ujue unaipata wapi na kwa bei gani.

Wengine ni mawakala wanalazimisha kukuwekea oil mradi wao wauze.

Nilishawahi fukuzwa garage ya mtu kwa kumkatalia kuniwekea hiyo hiyo Atlantic. Nilienda na oil yangu ya Castrol na filter yeye anataka kuweka yake ya Atlantic na aniwekee filter zake tena za bei ya juu zaidi.

Gharama ingekuja almost 250k ila ningeenda kichwa kichwa ingefika almost 400k.

Bro. I do tonnes of research before i do anything serious.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…