BM hawana dipstick.. OiiiKanuni za Udereva hutakiw KUWASHA gari bila kufanya UKAGUZI.
Ukaguzi upo wa ndani na upo wa nje
Ukaguzi wa Ndani unahusu Gari kwa ujumla mpk Injini. Hapo ndio utapima na Oil kulingana na Deep stick ya oil, maji (Coolant) hydraulic mpk brake fluid.. etc.
Ukaguzi wa Nje ni ENVIRONMENTAL based, unaangalia Uvunguni.. Nyuma au mbele ya matairi kuna sharp objects? Je kuna Mtoto au Mnyama Kalala?
Hiyo ndio maana ya daily follow up
Kwangu ni tofauti, Vifaa ni vya mzungu na Gari lilishughulikiwa na MzunguMzungu Ni asili tu
Gari langu lilivopata ajali , garage Ni ya mchina, ofisini Yuko mchina Bei tumepatana na mchina ila gari imenyooshwa na wabongo kwa vifaa vyamchina
Waliweka wao kienyeji au wewe ulifuata ushauri wa manufacturer juu ya oil gani ya kuweka??Waliweka Atlantic Mkuu
Oil za Mjerumani ni 10kkm wanazoshauri sasa kusema oil 3k km kubadilisha. Napata ukakasi ila sio big deal. Kimfaacho mtu chake na mimi sio fundi makanika
Kama uneweka oil nzuri as recommended. Unatakuwa kufanya next service at least baada ya 7500Km mpaka 10000kmWakuu nimerudi tena, Nadhani mtakuwa mnaniona hapa mara kwa mara Kila nitakapopata changamoto
Juzi kati nilipata safari ya Dodoma nikaenda na Beamer (BMW X3) na ndio ilikuwa kwa mara ya kwanza naenda safari ndefu na hii gari
Wakati naenda muda wa kulifanyia service ulikuwa Bado haujafika zilibaki kama kilometers 1,200 plus nikaenda Dom nikarudi zikabaki kama kilometers 200+ ili zitimie kilometers 3,000 muda wa kufanya service ufike
Sasa Wakati narudi nilivyofika mbezi Taa ya Engine oil ikaniwakia (yellow) nikafika nyumbani, jana nikalipeleka Mikocheni kwa lengo la kuongezwa oil
Mikocheni Coca-cola Garage ya Atlantic lakini nilivyofika jamaa wakanambia kabla ya kuongeza oil itabidi walicheki kwanza kama kuna leakage wakacheki hawajakuta leakage yoyote ila wakanambia itabidi walifanyie Service kabisa maana oil wameikuta ni nzito tofauti na inavyotakiwa (nikakubali)
Waka change Oil na Oil filter Gari ikakaa sawa, nikapewa invoice total ikaja Tsh 483,800,
Ile Quotation Iko hivi
Oil 8 liters 350,000
Filter 60,000
Subtotal = 410,000/=
Vat 18% 73,800
Total = 483,000/=
Swali langu ni kwamba ukilifanyia Gari service na haina leakage yoyote Oil inatoboa hadi next Service au hapa katikati inabidi uiongezee?
Na je kwa situation yangu ya jana ni kweli ilibidi gari lifanyiwe Service au walivutia upande wao wa kibiashara, Wajuzi naombeni mshee experience zenu
View attachment 2453442
Vyombo vyako vya biashara ni vya kijerumani?Hivi kilometa elf 10 unazijua
Acheni Soma ujinga unaoandikwa kwenye oil
Vyombo vyangu vya biashara week mbili natoa oil Tena kwa kusimamia mwenyewe
Oil huwa inaweza kupungua kidogo sababu ya heat lakini huwa kwa kiwango ambacho ni allowable.kama gari haina leakage yoyote inatoboa hadi service nyingine na mara nyingi inategemea na oil unayotumia kwenye gari lako zipo oil hadi 5000km ndo unabadili. Ikitokea gari lako oil inapungua ujue kuna shida kwenye gari lako mana gari lenye mfumo mzuri uwezi ongeza oil ni service hadi service.
Hizi ni kanuni za udereva wa gari za miaka ya zamani na gari za kijapani.Kanuni za Udereva hutakiw KUWASHA gari bila kufanya UKAGUZI.
Ukaguzi upo wa ndani na upo wa nje
Ukaguzi wa Ndani unahusu Gari kwa ujumla mpk Injini. Hapo ndio utapima na Oil kulingana na Deep stick ya oil, maji (Coolant) hydraulic mpk brake fluid.. etc.
Ukaguzi wa Nje ni ENVIRONMENTAL based, unaangalia Uvunguni.. Nyuma au mbele ya matairi kuna sharp objects? Je kuna Mtoto au Mnyama Kalala?
Hiyo ndio maana ya daily follow up
Hiyo namba 5 na 6 una maana gani? Kwamba hutakiwi kuruhusu hiyo taa kuwaka? Na ikiwaka ni kosa kwamba itasababisha ubovu?Next time fanya hivi:
1. BM E90 3 Series na E83 X3 zinatabia ya kunywa oil (oil burn) kwahiyo make sure una lita 1 kwenye buti always. Tatizo linasolvika kwa kubadirisha seals.
2. Kukwepa gharama zisizo rasmi, kanunue mwenye oil Liqui Molly hapo ungetumia jumla kama laki 3 na nusu hivi.
3. Tafuta OBD scanner. Jitu la Miraba Minne atakushauri zaidi
4. Jiunge magroup ya BMW Tanzania WhatsApp na Telegram.
5. Umezingua sana kuwakiwa kale kabirika ka oil.
6. Jiandae kwa makubwa zaidi kila sekunde..
Modern cars kuna vitu vingi vya kusubiri sensors zikuambie na siyo kukagua kila siku.Ndio maana mnaua Magari bila kujijua. Gari zinawaka Moto kwa makosa madogo tu unawz kuta Bonnet cover imesogea au imeachia je utajua ktk Dashboard? Je deep stick imepanda juu na kuruhus Oil kuvuja na kufata exhaust pipe utajua? Unajua madhara yake?.. Gari kila siku ikague na kama muda upo Pima/hakikisha bolt za matairi zimekazwa vzr at least kila baada ya wiki unafanya Uhakiki
Naomba nifafanulie namba 3 halafu hiyo namba 4 naomba nisaidie na link tafadhali kama unawezaNext time fanya hivi:
1. BM E90 3 Series na E83 X3 zinatabia ya kunywa oil (oil burn) kwahiyo make sure una lita 1 kwenye buti always. Tatizo linasolvika kwa kubadirisha seals.
2. Kukwepa gharama zisizo rasmi, kanunue mwenye oil Liqui Molly hapo ungetumia jumla kama laki 3 na nusu hivi.
3. Tafuta OBD scanner. Jitu la Miraba Minne atakushauri zaidi
4. Jiunge magroup ya BMW Tanzania WhatsApp na Telegram.
5. Umezingua sana kuwakiwa kale kabirika ka oil.
6. Jiandae kwa makubwa zaidi kila sekunde..
Uwe aina ya engine ndio inakuwa rahisi kupata msaada ukisema tu BMW X3 gari ina variant nyingi sana. Ni ngumu mtu kuguess ni X3 ipi.Mkuu Oil Gani ni recommended kwa BMW X3 ya 2008 kwa hali ya hewa ya Dar ambayo inaweza kutoboa hizo Kilometers 5,000
Next time do a lot of research about your car.Inauzwaje mkuu, na Manufacturer wanashauri oil gani?
Sijui chochote kuhusu Oils za Atlantic ila BMW najua inataka Castrol na kwenye mfuniko wa engine Oil wamendika.Waliweka Atlantic Mkuu
BMW X3 2.5 siUwe aina ya engine ndio inakuwa rahisi kupata msaada ukisema tu BMW X3 gari ina variant nyingi sana. Ni ngumu mtu kuguess ni X3 ipi.
Pia oil recommended kwa BMW ni Castrol hata kwenye mfuniko wameandika. Kuhusu grade hapo ndio itategemea na aina ya engine.
Wewe hutaki kutaja engine ya gari lako ila unataka watu wakutajie recommended Oil. Be serious mkuu.Naona watu wanaandika tu Oil Nzuri "Recommended" lakini hawataki kuzitaja
Hiyo ina engine ya N52B25 weka Castrol Oil 5W30 Fully synthetic, Ujazo ni Lita 6.5 na siyo lita 8.BMW X3 2.5 si