Wewe Service huwa unafanya wapi mkuu?Next time do a lot of research about your car.
Utapunguza hata kupigwa au kuwekewa vitu vya hovyo.
Na hata ukitaka kununua kitu, fanya research.
Mpaka sasa ulitakiwa ujue recommended oil for your car. Na ujue unaipata wapi na kwa bei gani.
Wengine ni mawakala wanalazimisha kukuwekea oil mradi wao wauze.
Nilishawahi fukuzwa garage ya mtu kwa kumkatalia kuniwekea hiyo hiyo Atlantic. Nilienda na oil yangu ya Castrol na filter yeye anataka kuweka yake ya Atlantic na aniwekee filter zake tena za bei ya juu zaidi.
Gharama ingekuja almost 250k ila ningeenda kichwa kichwa ingefika almost 400k.
Bro. I do tonnes of research before i do anything serious.
🙌Kanuni za Udereva hutakiw KUWASHA gari bila kufanya UKAGUZI.
Ukaguzi upo wa ndani na upo wa nje
Ukaguzi wa Ndani unahusu Gari kwa ujumla mpk Injini. Hapo ndio utapima na Oil kulingana na Deep stick ya oil, maji (Coolant) hydraulic mpk brake fluid.. etc.
Ukaguzi wa Nje ni ENVIRONMENTAL based, unaangalia Uvunguni.. Nyuma au mbele ya matairi kuna sharp objects? Je kuna Mtoto au Mnyama Kalala?
Hiyo ndio maana ya daily follow up
💪AhsanteeKwa hio kuchekiwa ukapewa mkeka wa milion kwamba ndo ukaona wako vizuri ,, je ningekupeleka sehemu likachekiwa wakakwambia au kukupa mkeka wa Bei ghali zaidi means ungeona huko pa Bei ghali ndo mafundi😁 we bado mshamba na utapigwa sana
Ushamba wa watu wengine wenye pesa na akili zipo down ndo inafanya wajanja tuishi mjini just kwa kujua ongea tu
Huo Ni uongo hakunaHizi ni kanuni za udereva wa gari za miaka ya zamani na gari za kijapani.
Gari za kijerumani washa gari, kagua dashboard, piga gear.
Mambo ya kukagua oil na kuangalia upepo kwenye matairi, siyo saaana. Hata taa ikiungua huitaji mtu kukuambia taa imeungua. Cheza tu na dashboard.
Hadi upate akili utapigwa sanaKwangu ni tofauti, Vifaa ni vya mzungu na Gari lilishughulikiwa na Mzungu
Jiandae kwa makubwa zaidi kila sekunde..
Oil zake sio km10,000?Kufanya follow up kivipi mkuu, nifafanulie, kuhusu Kilometers ni Kila baada ya kilometers 3,000
Hiyo ni tool ambayo inawezabkukusaidia kujua baadhi ya matatizo ya gari yako. Lakini pia inaweza kukusaidia kufanya baadhi ya reset kwenye gari yako.Thanks, Kuna mtu hapo juu ameniambia nikutafute kuhusu OBD scanner, ebu naomba ufafanuzi kwanza nikijue
Rotary engines huwa zinakula oil bila ya kuwa na leakage wala kuua oil ring. Na hata baadhi ya engine za Subaru zina mchezo huo.kama gari haina leakage yoyote inatoboa hadi service nyingine na mara nyingi inategemea na oil unayotumia kwenye gari lako zipo oil hadi 5000km ndo unabadili. Ikitokea gari lako oil inapungua ujue kuna shida kwenye gari lako mana gari lenye mfumo mzuri uwezi ongeza oil ni service hadi service.
Kama engine haina leakage unatoboa mkuu. Kuna mtu kaweka experience yake kwamba huwa anabadili kila baada ya 9000 siyo kitu kigeni.Na nikiweka huo ujazo natoboa hizo Kilometers 10k mnazosema?
recommended Oil. Be serious mkuu.
Subiri wakupe link ujiunge na wenzioBlaza pita njia yako na mm acha nipite kule nilikozoea hata kama napigwa acha niendelee kupigwa as long as haikuumizi
Kwenye mfuniko wa gari lako. Pale wameandika mafuta ganiOil gani hizo mkuu ebu nitajie, pengine Mimi natumia ambayo sio sahihi
Castrol Edge hivi bado wapo? All way Liqui Molly sahivi..Hiyo ina engine ya N52B25 weka Castrol Oil 5W30 Fully synthetic, Ujazo ni Lita 6.5 na siyo lita 8.
Bro unajua kazi ya sensor wewe?Huo Ni uongo hakuna
Jifunze tofautisha fault na kitu ambacho kitaleta fault . BMW inaonesha fault tu
Izo BMW Zinaandikwaga CastrolKwenye mfuniko wa gari lako. Pale wameandika mafuta gani
Kwani Unamwaga oil kwa wiki au km?Hivi kilometa elf 10 unazijua
Acheni Soma ujinga unaoandikwa kwenye oil
Vyombo vyangu vya biashara week mbili natoa oil Tena kwa kusimamia mwenyewe
Zimeadimika kiasi chake.Castrol Edge hivi bado wapo? All way Liqui Molly sahivi..