Ushauri namna ya kufanya Service BMW X3

Wewe Service huwa unafanya wapi mkuu?
 
🙌
 
💪Ahsantee
 
Huo Ni uongo hakuna

Jifunze tofautisha fault na kitu ambacho kitaleta fault . BMW inaonesha fault tu
 
Thanks, Kuna mtu hapo juu ameniambia nikutafute kuhusu OBD scanner, ebu naomba ufafanuzi kwanza nikijue
Hiyo ni tool ambayo inawezabkukusaidia kujua baadhi ya matatizo ya gari yako. Lakini pia inaweza kukusaidia kufanya baadhi ya reset kwenye gari yako.

Kuna taa zitawaka utarekebisha tatizo, taa haitazima utatakiwa kufanya reset.

Ni hivo tu,
 
Rotary engines huwa zinakula oil bila ya kuwa na leakage wala kuua oil ring. Na hata baadhi ya engine za Subaru zina mchezo huo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…