OBD II Scanner ni kale kamashine ka kukuambia matatizo mbalimbali ya gari ata kabla taa ya njano haijawaka kwenye dashboard yako.Naomba nifafanulie namba 3 halafu hiyo namba 4 naomba nisaidie na link tafadhali kama unaweza
Maximum 10000km Kilometer ila badilisha at 8000 to 9000km.Mkuu Oil Gani ni recommended kwa BMW X3 ya 2008 kwa hali ya hewa ya Dar ambayo inaweza kutoboa hizo Kilometers 5,000
Nilienda siku eti wananiambie niweke oil yao. Nikasema wait. Nacheki Google wazungu hawaijui. Duh nikasepa. Nikawapata Liqui Molly Instagram nikaona bei zao nzuri.Zimeadimika kiasi chake.
Toka vile vituo vya mafuta viachane na hizo oil na kuhamia kwenye oil zake imekuwa mtihani.
Yupo sawa boss. BMW, BENZ za kisasa ukiijua dashboard inakupa kila kitu. Series 1 tu dashbord inaweza kupa mambo mengi tu.Huo Ni uongo hakuna
Jifunze tofautisha fault na kitu ambacho kitaleta fault . BMW inaonesha fault tu
Kwa km Ni uongoKwani Unamwaga oil kwa wiki au km?
Kinauzwa bei gani mkuu? na je ni simple kutumia?Hiyo ni tool ambayo inawezabkukusaidia kujua baadhi ya matatizo ya gari yako. Lakini pia inaweza kukusaidia kufanya baadhi ya reset kwenye gari yako.
Kuna taa zitawaka utarekebisha tatizo, taa haitazima utatakiwa kufanya reset.
Ni hivo tu,
Okey boss, ila Still bado unachofanya ni kwa km sema hufati km zilizoandikwa unazipunguza na km 10,000 mbona tunafanya sana tu. Labda useme kwa mazingira kama hayo ya gari ipo safarini muda wote au kazini inaweza kuwa sawa. Ila kwa mazingira yetu ya kawaida km 8000 elf tisa kujisahau mpka 11000 inafanyika sana tu.Kwa km Ni uongo
Oil inapoteza utelezi wake kwa joto Kali inapotea haraka
Hiace inayotembea route ndefu inaenda 130 ikifika inarudi jumla 260km kwa siku ..Hadi ifikishe kilometa 7000 Ni siku 26
Na hiace ingne route za town inaenda na kusimama kila baada ya do ukiweka oil siku moja baada ya week mbili utagundua Kuna moja oil yake imechoka mapema haswa ile ya route ndefu inakaa na joto Kali muda mrefu oil inapoteza utelezi wake mapema sana
Hata Bajaj TV's king
Huwezi sema ubadili oil kulingana na dumu la oil lilivoandikwa
Jiulize kwanini route za town hata baada ya week mbili km huwa zinasoma Kati ya 1500km Hadi 1600 bado oil inakuwa inadai ila oil hio hio ukitembea route ndefu kwa siku tu mfano 300km ukifika uendapo ile oil huwezi kurudi nayo? Hadi ubadili na umetembea 300km tu
Au hao wanaosema oil Ni 10k km means gari inaweza toka dar kwenda kahama ikarudi ikaenda Tena kesho yake ikarudi jumla iende kahama Mara tano na oil ile ile? Waambie wajarbu Kama hujachinja gari kwa bei ya mchicha
Ulipigwa basi.. Atlactic bei kubwa hivo?? Na BMW X3 ni lita 7 tu sio 8Waliweka Atlantic Mkuu
Shukrani mkuu nasubiria nambaOBD II Scanner ni kale kamashine ka kukuambia matatizo mbalimbali ya gari ata kabla taa ya njano haijawaka kwenye dashboard yako.
Unaweza ukanunua au ukawa unaenda kupima.
Kwa kuanza nakushauri anza kwenda kupima kwa mtu mfano JituMirabaMinne anakupa full report. Maana inakupa summary sana.
Kuhusu namba 4, nakutumia namba za admins inbox.
View attachment 2453685
Yes ukienda saiv unaulizia hizo Oil za Castrol wanakuvuta pembeni wanaanza kukupa maelezo mengiiiii.Nilienda siku eti wananiambie niweke oil yao. Nikasema wait. Nacheki Google wazungu hawaijui. Duh nikasepa. Nikawapata Liqui Molly Instagram nikaona bei zao nzuri.
Kwa kusoma tu faults zipo tools hata za 30,000.Kinauzwa bei gani mkuu? na je ni simple kutumia?
Kilometres ngapi next service?Waliweka Atlantic Mkuu
Kwani Mkuu Kuna fault zingine haziwezi kuonekana kupitia Dashboard?Kwa kusoma tu faults zipo tools hata za 30,000.
Ila yenye special functions nyingi bei ipo juu japo bei itategemea kama software ni za kulipia kila mwaka au lah.
Bado faults nyingi sana huwezi kuziona kwenye Dashboard.Kwani Mkuu Kuna fault zingine haziwezi kuonekana kupitia Dashboard?
Nahisi nitahitaji namba yako ili nijue hivi vitu kwa undani zaidi
Magomeni, Mwembechai.
Kama hiiKwanza nimeshangaa anabadili oil kwa 3k km. Hv pale kwenye mfuniko si wamesema castor oil kabisa na mzigo ni km 10k ukichelewa na gari kwanza yenyewe itakuambia service now[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji2925]
Mkuu Mannol zimeingia town. Jamaa wamemnyoosha kuanzia filter mpaka oil. Atlantic Lita moja 15k-20k tu.Ulipigwa basi.. Atlactic bei kubwa hivo?? Na BMW X3 ni lita 7 tu sio 8
Sensor enyewe inaeza kuwa na fault na fault isilete fault yenye fault kwenye fault ...tuna dizain saket mbali mbali za umeme na sensor za kupima vitu mbali mbali naelewa nachosema hata bmw wanafahamu Hilo sijui wewe Ni Nani unakataaBro unajua kazi ya sensor wewe?
Unajua maana ya Fault?
Kwa hiyo tairi kupungua upepo halafu TPMS sensor ikakuambia low pressure hiyo siyo fault?
Kazi ya sensor ni kutoa taarifa tu. Hakuna kazi nyingine.Sensor enyewe inaeza kuwa na fault na fault isilete fault yenye fault kwenye fault ...tuna dizain saket mbali mbali za umeme na sensor za kupima vitu mbali mbali naelewa nachosema hata bmw wanafahamu Hilo sijui wewe Ni Nani unakataa