Sambinyakwe kitololo
JF-Expert Member
- Nov 15, 2022
- 2,419
- 2,940
Anajitoa ufahamuKuna sensor zinazo-regulate movement of some parts au mfumo.
Ikiharibika hiyo sensor mfumo mzima unachanganyikiwa au kufa.
So, sometimes sensor zinaharibika.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Anajitoa ufahamuKuna sensor zinazo-regulate movement of some parts au mfumo.
Ikiharibika hiyo sensor mfumo mzima unachanganyikiwa au kufa.
So, sometimes sensor zinaharibika.
Kila post ni tatizo.
Kwani kuna mahali mimi nimekataa ishu ya sensor kuharibika. Mbona mimi mwenyewe nazibadilisha sana kwenye gari za watu.Kwani sisi za kwetu tunapikia?
Hicho kinachotoa taarifa kinaweza kuwa na fault pia BMW wanajua Hilo we Ni Nani unakataa
Oil huwa inaweza kupungua kidogo sababu ya heat lakini huwa kwa kiwango ambacho ni allowable.
Modern cars kuna vitu vingi vya kusubiri sensors zikuambie na siyo kukagua kila siku.
Ila wewe jamaa UISHI MILELE....Uwe aina ya engine ndio inakuwa rahisi kupata msaada ukisema tu BMW X3 gari ina variant nyingi sana. Ni ngumu mtu kuguess ni X3 ipi.
Pia oil recommended kwa BMW ni Castrol hata kwenye mfuniko wameandika. Kuhusu grade hapo ndio itategemea na aina ya engine.
Ila wewe jamaa UISHI MILELE....
Huwa unasaidia kwenye mambo mengi....
Maana humu kuna kudanganyana kupita kiasi.......
Jamaa yangu kariakoo anatumia BMW 320i huwa ananunua oil ya BMW yenyewe tena inauzwa Kwa Lita moja Tsh 60,000 × 4,pamoja na filter yake TSH 35,000 na diagnosis 50,000.Hahaha inategemea aisee.. Kuna BMW za 20W 50..na oil unabadilisha mwenyewe..!
Safi kabisaa!!!!!Mimi elf 70 tu,napepea barabarani na vioo nimefunga full kiyoyozi...
😀 katoyota hapo nishafanya service ya engine na miguu yote na chenji inabaki ya kununulia wese la kuanzia miselekama zilikuwa zimebaki 200km, ilitakiwa ipate services. Wapo sahihi kukufanyia service..
Ulitaka uongeze oil mkuu ili iweje ?
Wazee wa toyota wakiona hako ka bei wataongea hapa siku nzima 😅😅😅😅
Km 150 hiyo bado mpya kabisa,Mimi napitiliza Hadi km 1000 na sio ishu hata kidogoToyota hoyeee!
Mie nimewahi zidisha 150km kwenye huyu mjap na hakuna taa yoyote kwa dashboard kumbe wengine mnakopwa.
Kweli tutafute pesa,kwa SAE40 hiyo 480K ni service ngapi?
Umesema taa ya oil iliwaka.Je baada ya kuweka oil taa ilizima? na Je km 200 unahisi umepigwa au?Wakuu nimerudi tena, Nadhani mtakuwa mnaniona hapa mara kwa mara Kila nitakapopata changamoto
Juzi kati nilipata safari ya Dodoma nikaenda na Beamer (BMW X3) na ndio ilikuwa kwa mara ya kwanza naenda safari ndefu na hii gari
Wakati naenda muda wa kulifanyia service ulikuwa Bado haujafika zilibaki kama kilometers 1,200 plus nikaenda Dom nikarudi zikabaki kama kilometers 200+ ili zitimie kilometers 3,000 muda wa kufanya service ufike
Sasa Wakati narudi nilivyofika mbezi Taa ya Engine oil ikaniwakia (yellow) nikafika nyumbani, jana nikalipeleka Mikocheni kwa lengo la kuongezwa oil
Mikocheni Coca-cola Garage ya Atlantic lakini nilivyofika jamaa wakanambia kabla ya kuongeza oil itabidi walicheki kwanza kama kuna leakage wakacheki hawajakuta leakage yoyote ila wakanambia itabidi walifanyie Service kabisa maana oil wameikuta ni nzito tofauti na inavyotakiwa (nikakubali)
Waka change Oil na Oil filter Gari ikakaa sawa, nikapewa invoice total ikaja Tsh 483,800,
Ile Quotation Iko hivi
Oil 8 liters 350,000
Filter 60,000
Subtotal = 410,000/=
Vat 18% 73,800
Total = 483,000/=
Swali langu ni kwamba ukilifanyia Gari service na haina leakage yoyote Oil inatoboa hadi next Service au hapa katikati inabidi uiongezee?
Na je kwa situation yangu ya jana ni kweli ilibidi gari lifanyiwe Service au walivutia upande wao wa kibiashara, Wajuzi naombeni mshee experience zenu
View attachment 2453442
Aisee nahisi wamiliki wapya wa hizi gari wanabambikiwa bei..Jamaa yangu kariakoo anatumia BMW 320i huwa ananunua oil ya BMW yenyewe tena inauzwa Kwa Lita moja Tsh 60,000 × 4,pamoja na filter yake TSH 35,000 na diagnosis 50,000.
Sometimes kama starehe yako duniani ni magari basi sio ishu Sana kutumia laki 3 baada ya miezi 5
Kuna mtu amesema kabla haujawasha gari angalia level ya oil. HOW????BMW za kuanzia 2006 hazina dipstick mzee.
OIL GANI?Aisee nahisi wamiliki wapya wa hizi gari wanabambikiwa bei..
Oil ya 60k per litre sio mchezo..!
Mimi 56k nanunua lita 5..na gari inadunda..!
Garage wanafanya janja janja.. Wanauza oil kwa litre wakati bei ya 5litres sio sawa na 1 litre mara 5..!
Bimmer X3 kwenye Toyota nahisi equivalent yake ni gari kama Rav4.. Vanguard.. Harrier..Hahahaha 🤣🤣🤣 aisee maisha tumetofautiana Sana maana Sisi akina Toyota ni laki moja Tu unamaliza kila kitu kuanzia service Hadi ufundi alafu uzuri wa Toyota huwa napitiliza kufanya service Hadi km 5000 na gari inadunda tu
😄😄 huyo Ni mtaalam wa products za from Tokyo alijichanganya kwny product za from Munich mzee 😄Kuna mtu amesema kabla haujawasha gari angalia level ya oil. HOW????
Totali hiyo..!OIL GANI?
Kitakua kitu Cha SAE-40 hicho mkuu.OIL GANI?
Hii si ya NZ-FE 🤣🤣Kitakua kitu Cha SAE-40 hicho mkuu.
Unaweka Oil ya TOTAL kwenye BMW?Totali hiyo..!