USHAURI: Napata hasara kila siku

USHAURI: Napata hasara kila siku

Faru01

Member
Joined
Jun 29, 2022
Posts
32
Reaction score
125
Wakuu kwema, naombeni ushauri.

Mimi nimeajiriwa na kaka yangu kwenye biashara yake hapa ila kitu kinanisumbua akili yangu ni hiki nafanya mauzo ila kwenye mahesabu hela haifiki tena hela kubwa mno halafu situmii hata senti 5, nimekuwa nalipa hii hasara kila siku siendelei.

Wakuu nifanyaje au nakosea wapi?
 
Wakuu kwema, naombeni ushauri

Mimi nimeajiriwa na kaka yangu kwenye biashara yake hapa ila kitu kinanisumbua akili yangu ni hiki nafanya mauzo ila kwenye mahesabu hela haifiki tena hela kubwa mno halafu situmii hata senti 5, nimekuwa nalipa hii hasara kila siku siendelei

Wakuu nifanyaje au nakosea wapi?

Punguza Mademu. [emoji16][emoji38]
 
Wakuu kwema, naombeni ushauri

Mimi nimeajiriwa na kaka yangu kwenye biashara yake hapa ila kitu kinanisumbua akili yangu ni hiki nafanya mauzo ila kwenye mahesabu hela haifiki tena hela kubwa mno halafu situmii hata senti 5, nimekuwa nalipa hii hasara kila siku siendelei

Wakuu nifanyaje au nakosea wapi?
Jichunguze kwenye hesabu zako.

Lakini mtangulizeni Mungu kila mnavyofungua na msiache kutoa sadaka hata kama ni kidogo.
 
Chukua kipande cha mkaa weka kwenye droo unayo ifazia izo ela hutakuja kunipa feedback
 
Wakuu kwema, naombeni ushauri

Mimi nimeajiriwa na kaka yangu kwenye biashara yake hapa ila kitu kinanisumbua akili yangu ni hiki nafanya mauzo ila kwenye mahesabu hela haifiki tena hela kubwa mno halafu situmii hata senti 5, nimekuwa nalipa hii hasara kila siku siendelei.

Wakuu nifanyaje au nakosea wapi?
Chuma ulete hyo ndugu wanapita na mzigo mwambie mwenye biashara afanye kazi yake maana sio biashara yako hyo akiweka mambo sawa kila kitu kitakuwa vizur.
 
Andika kila unachouza then linganisha mapato na mzigo uliotoka. Hakuna chuma ulete ni mpangilio wako tu.
 
Wakuu kwema, naombeni ushauri.

Mimi nimeajiriwa na kaka yangu kwenye biashara yake hapa ila kitu kinanisumbua akili yangu ni hiki nafanya mauzo ila kwenye mahesabu hela haifiki tena hela kubwa mno halafu situmii hata senti 5, nimekuwa nalipa hii hasara kila siku siendelei.

Wakuu nifanyaje au nakosea wapi?
Uko wapi
 
Back
Top Bottom