Ushauri: Napendekeza Mabasi ya Mwendokasi wafanye kazi saa 24

Ushauri: Napendekeza Mabasi ya Mwendokasi wafanye kazi saa 24

ommytk

JF-Expert Member
Joined
Jul 30, 2015
Posts
520
Reaction score
1,143
Leo nimesafiri na bus usiku nikapata mawazo hivi kwanini mabus ya mwendokasi wasifanye huduma zao masaa 24
 
Leo nimesafiri na bus usiku nikapata mawazo hivi kwanini mabus ya mwendokasi wasifanye huduma zao masaa 24

Unamaanisha daladala ifanye kazi 24?hakuna biashara. maana yake unataka masoko na maduka yote pamoja ofisi zote za mjini zifanye 24hrs.maana ukipanda daladala/mwendokasi maana yake unaenda kazini.kazi nyinyi hapa bongo zinafanywa mchana.sasa wewe upeleke mwendo usiku wa manane mjini kweli kuna hao abiria wa hivyo?
 
Back
Top Bottom