Janjaweed
JF-Expert Member
- Jan 20, 2010
- 13,153
- 10,670
Tafuta washauri nasahaHabari zenu , mim n binti wa miaka 27, jamani mwenzenu nashindwa kabisa kujikubali na kujiamini kutokana na umbo langu na watu wananisema Sana Jambo linalonifanya nizidi kujiona sipo vizuri.
Ni mwembamba yaani sina hipsi hata kidogo ,nina mapaja madogo Sana ,pia nina maziwa makubwa , nilikuwa nikijiona vizuri tuu na kujikubali hapo awali lakini kutokana na watu kunisema ovyo ,najiskia vibaya mno.
Ilifikia wakati nikawa nasemwa na watu kuwa Mimi ni magonjwa wa gonjwa fulani ,niliumia sana baada ya kupata habari hizo ,lakini sina ugonjwa wa aina yoyoye ile , Jambo hili linanifanya nikose ujasiri kabisa ,.
Nina boyfriend lakini nakosa hata ujasiri wa kuwa nae mala kwa mala hadi kuna muda nawaza nivae nguo za aina gani labda nitaonekana vizur,Kuna muda hadi boyfriend aliniambia kuwa anahitaji ninenepe , wakati sijajiumba Mimi.
Nahitaji faraja yenu wana jf ,au nivae mavazi gani, au nifanye nini nami niwe na muonekano mzuri na wa kuvutia?
Hakuna binadamu aliyekamilika
Lakini hiyo maLa Kwa maLa siyo sawa, ni mara Kwa mara