Ushauri; Nashindwa kujikubali

Tafuta washauri nasaha

Hakuna binadamu aliyekamilika

Lakini hiyo maLa Kwa maLa siyo sawa, ni mara Kwa mara
 
Unasikitisha sana...

Ila unaongea kama dume...
 
I am sorry you are going through this but hao watu hawatoacha kusema hata kama ukija kunenepa wataanza tena maneno,wapotezee fanya yako don’t allow them to control you,keep yourself busy,fanya mazoezi,talk to someone you love,,,,,,,,wishing you well.
 
Stylist designer nPo 0626247913 Mbna simPLe2
 
Mwenyezi Mungu hajawah kosea katika kuumba kwake. Kila mtu ana uzuri wake, hata wewe lazima utakua mzuri, jikubali dear kuwa hivyo ni deal.
 
Jikubali, kula vizuri, vaa vizuri, nenda gym, utafurahia maisha.
 
Fanya mazoezi ya kuongeza shape, kula vyakula vya protein utapendeza sana
 
Dada wewe binafsi ni zaidi ya hipsi na ni zaidi ya huo unene unaoutaka.. Thamani ya utu wa mtu haipimwi kwa muonekano wako unapimwa kwa unachokimiliki ndani yako... utashi wako,upendo wako,utu wema wako,uvumilivu na nk.hutakiwi wewe kujinyanyapaa hata siku moja,

Hivi umeshaona watu wana viwiliwili tu lakini wapo happy huko mtaani au mitandaoni?sembuse wewe Dada umepewa viungo vyote?

Hujitendei haki.... kila siku kumbuka huwezi kupendwa na kila mtu wewe sio pesa.... Mabadiliko yanaanza na wewe,Jipende,jithamini, hii itakuongezea confidence hutaamini hao wanaokusema wataacha.
 
kama mungu mungu hajakujaalia wowowo ni ngumu mwanamke kujikubali kwa dunia ya leo...wowowo ni muhimu kuliko kila kitu
 
Tatizo wowowo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…