Ushauri: Nataka kuoa mke kwa bajeti ya Tsh. Milioni 1

Ushauri: Nataka kuoa mke kwa bajeti ya Tsh. Milioni 1

Habari za humu wadau, mimi ni kijana wa umri wa miaka 27, mkazi wa jijini Dar es salaam.

Nimepanga na nina kazi. Moja ya malengo yangu nikuwa ikifika mwisho mwa mwaka huu niwe tayari na mke au mtu nimemweka ndani. Sasa kutokana na ubize wa kazi zangu na aina ya mwanamke ninaye muhitaji naona kama nitafail ndani ya muda huu.

Therefore na plan niende either Tanga au Singida kutafuta binti mdogo niweze ishi anae ila katika mikoa hiyo husika sina mwenyeji hivyo nimeandaa bajeti ya milion moja kwa ajili ya kufanya hilo jambo langu. Je, nitafanikiwa au nipeni miongozo ili vijana tuache kukaa wapweke.
kubwa hiyo kaoe
 
Hiyo hela ni kubwa sana sheikh wangu mana hata ukioa kwa milion 10 bado haibadilishi chochote

Nenda mtwara kule mahari unapata hadi laki 2 unafunga ndoa simple tu.

Alafu asikuambie mtu kitu ,Ndoa simple ina baraka sana mana husda sio nyingi
 
Habari za humu wadau, mimi ni kijana wa umri wa miaka 27, mkazi wa jijini Dar es salaam.

Nimepanga na nina kazi. Moja ya malengo yangu nikuwa ikifika mwisho mwa mwaka huu niwe tayari na mke au mtu nimemweka ndani. Sasa kutokana na ubize wa kazi zangu na aina ya mwanamke ninaye muhitaji naona kama nitafail ndani ya muda huu.

Therefore na plan niende either Tanga au Singida kutafuta binti mdogo niweze ishi anae ila katika mikoa hiyo husika sina mwenyeji hivyo nimeandaa bajeti ya milion moja kwa ajili ya kufanya hilo jambo langu. Je, nitafanikiwa au nipeni miongozo ili vijana tuache kukaa wapweke.
Nunua kiwanja jenga apartment ndogo kila mwezi utavuta laki tatu,ukiwa na hiyo guest ya kulipa kwa mwezi,miezi mitatu mitatu weka malimbikizo ulipe kiwanja kwa awamu,ukimaliza anza kufyatua tofali za kuuza kiwanjani kwako,anza kujenga nyumba yako,kuanza maisha kwa kupanga DSM ni utumwa,ni pepo.
 
Nunua kiwanja jenga apartment ndogo kila mwezi utavuta laki tatu,ukiwa na hiyo guest ya kulipa kwa mwezi,miezi mitatu mitatu weka malimbikizo ulipe kiwanja kwa awamu,ukimaliza anza kufyatua tofali za kuuza kiwanjani kwako,anza kujenga nyumba yako,kuanza maisha kwa kupanga DSM ni utumwa,ni pepo.
Upo nje ya mada
 
Back
Top Bottom