Vincenzo Jr
Platinum Member
- Sep 23, 2020
- 24,262
- 58,728
Miaka 20 mkuuAna umri gani
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Miaka 20 mkuuAna umri gani
kubwa hiyo kaoeHabari za humu wadau, mimi ni kijana wa umri wa miaka 27, mkazi wa jijini Dar es salaam.
Nimepanga na nina kazi. Moja ya malengo yangu nikuwa ikifika mwisho mwa mwaka huu niwe tayari na mke au mtu nimemweka ndani. Sasa kutokana na ubize wa kazi zangu na aina ya mwanamke ninaye muhitaji naona kama nitafail ndani ya muda huu.
Therefore na plan niende either Tanga au Singida kutafuta binti mdogo niweze ishi anae ila katika mikoa hiyo husika sina mwenyeji hivyo nimeandaa bajeti ya milion moja kwa ajili ya kufanya hilo jambo langu. Je, nitafanikiwa au nipeni miongozo ili vijana tuache kukaa wapweke.
kama hufamiki hiyo changamoto..ungefahamika mitaa hiyo Uendayo ungetoa barua tu basi wangekupa na guaranteeSio dini pendwa
hujachelewa sana bado mda unao tuliza akili na kila la kheriSasa muda unaenda na kuna time ntakuwa ni busy sana
muongozo tafuta mzee mwenye uenyeji wa mkoa unakotokea bibie myamalizeMuongozo
MmnhLeta hiyo hela nikutafutie Binti uoe.
Hongera umewaza jambo jema la kuoa
Mrembo kwani wewe unaolewa Kwa sh ngap.Mmnh
Ngoja kwanza nilifikirie hili😃Mrembo kwani wewe unaolewa Kwa sh ngap.
Na Mimi mshenga nibaki na ya bia kadhaa
Chukua 700.Ngoja kwanza nilifikirie hili😃
Mwambie muoaji aongeze hata 200,. Me napataje 700 tu🙄Chukua 700.
Me nipe 300
Nunua kiwanja jenga apartment ndogo kila mwezi utavuta laki tatu,ukiwa na hiyo guest ya kulipa kwa mwezi,miezi mitatu mitatu weka malimbikizo ulipe kiwanja kwa awamu,ukimaliza anza kufyatua tofali za kuuza kiwanjani kwako,anza kujenga nyumba yako,kuanza maisha kwa kupanga DSM ni utumwa,ni pepo.Habari za humu wadau, mimi ni kijana wa umri wa miaka 27, mkazi wa jijini Dar es salaam.
Nimepanga na nina kazi. Moja ya malengo yangu nikuwa ikifika mwisho mwa mwaka huu niwe tayari na mke au mtu nimemweka ndani. Sasa kutokana na ubize wa kazi zangu na aina ya mwanamke ninaye muhitaji naona kama nitafail ndani ya muda huu.
Therefore na plan niende either Tanga au Singida kutafuta binti mdogo niweze ishi anae ila katika mikoa hiyo husika sina mwenyeji hivyo nimeandaa bajeti ya milion moja kwa ajili ya kufanya hilo jambo langu. Je, nitafanikiwa au nipeni miongozo ili vijana tuache kukaa wapweke.
😅😅😅Mwambie muoaji aongeze hata 200,. Me napataje 700 tu🙄
Upo nje ya madaNunua kiwanja jenga apartment ndogo kila mwezi utavuta laki tatu,ukiwa na hiyo guest ya kulipa kwa mwezi,miezi mitatu mitatu weka malimbikizo ulipe kiwanja kwa awamu,ukimaliza anza kufyatua tofali za kuuza kiwanjani kwako,anza kujenga nyumba yako,kuanza maisha kwa kupanga DSM ni utumwa,ni pepo.
Unadhani mke ni papai gengeni?Acha dharau