Half american
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 38,283
- 97,793
ππ my wetu ni mtamu sijawai kula kitu kitamu kama nyama yakeDear pork
Big fat
My wetu
Njoo uchukue maua yako huku πππ
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ππ my wetu ni mtamu sijawai kula kitu kitamu kama nyama yakeDear pork
Big fat
My wetu
Njoo uchukue maua yako huku πππ
Wanalishwa machicha ya mbegeBoss umechelewa sana sijui kama utaweza kuelezea radha ya kiti moto maana nguruwe wa sasa nao kama wadada wa mjini hawana radha kabisa sijui wanalishwa nini
[emoji16][emoji16]Kitimoto walio ingiwa na mapepo waliona bora kufa kuliko kuishi na mapepo.
Masikio na pua matamu sana yanatafunika kama kampira flani ivAnza kwa kutafuna masikio yake yaliyokaangwa
Yana kauchungu flani iviAnza kula maini yake
Kwahiyo hawa wa sasaivi hawana shida maana wale walioingiwa na mapepo wote walikufa, kizazi chao hakikuendelea!Kitimoto walio ingiwa na mapepo waliona bora kufa kuliko kuishi na mapepo.
Hakika wewe ndie kiongozi wa walaji wa mdudu uliyesubiliwa!Yana kauchungu flani ivi
Hakika wewe ndie kiongozi wa walaji wa mdudu uliyesubiliwa!s
Sitoi pesa yangu kununua nyama nyingne zaid ya mdudu .Hakika wewe ndie kiongozi wa walaji wa mdudu uliyesubiliwa!
Mbona maelezo yako ni ya mlaji mzoefu?Nataka nianze rasmi kumla huyu mnyama anayechukiwa na watu zaidi ya bilioni moja ulimwenguni..
Nataka kujua anakuwa mtamu zaidi akiwa rosti au mkavu?
Je nimsindikize na ndizi ama kaugali?
Sipendi awe na mafuta mengi nipeni idea za kutosha
Nimejikuta ghafla nimetamani ππBila kusahau pilipili na kalimao ! π!
Acha tu babuu so delicious πna kinywaji baridiiiii huku umetulia pahala! π€ !Nimejikuta ghafla nimetamani ππ
Kwahiyo hawa wa sasaivi hawana shida maana wale walioingiwa na mapepo wote walikufa, kizazi chao hakikuendelea!
Kuna sehemu nimepata wanauza Kitimoto ya Kuchoma, it's so so delicious πAcha tu babuu so delicious πna kinywaji baridiiiii huku umetulia pahala! π€ !
Mhm yakuchoma inakua nzuri kweli??? Yale mafuta mengi yanakuaje??? Likizo nakuja kuwasamilia na bibi mnipeleke nikaonje natamani kujua hio ya kuchoma inavokua!Kuna sehemu nimepata wanauza Kitimoto ya Kuchoma, it's so so delicious π
Ni tamu mno yaani, kuna jamaa mtu wa Kilimanjaro anajua kuchoma balaa.Mhm yakuchoma inakua nzuri kweli??? Yale mafuta mengi yanakuaje??? Likizo nakuja kuwasamilia na bibi mnipeleke nikaonje natamani kujua hio ya kuchoma inavokua!
Weee babu kumbe nawe watupia hivo vitu lolπ€ ???Ni tamu mno yaani, kuna jamaa mtu wa Kilimanjaro anajua kuchoma balaa.
Ukipata na Serengeti lite inakuwa balaa π
Nitamwambia Bibi yako akupeleke ukija kumsalimia π€