Ushauri: Nataka nikope 10millions niache kazi serikalini, ili nijiajiri

Mp##zi wewe,labda wewe ndo slave

great thinker
Pole sana kwa changamoto unazopitia lakini ongera kwa kutafuta freedom. Wengi wa watu waliokushauri wanakwambia mtaji huo ni bora unge make mwenyewe alafu ukanzia biashara then badaye ndo uchukuwe mkopo ili kudevelop business ni lakini option mbili ni muhimu hasa ikijuwa unachotaka kufanya.Ngoja nikupe story yangu labda uka learn kitu.
Mimi nilianza kazi mwaka 2014 mkoani mtwara,katika maisha yangu ya kazi sikuwa kufurahia kazi yangu hata siku moja nilikuwa na ndoto in my life so nikaona nikitegemea kazi siwezi kufikia ndoto zangu.Nikaamuwa kuchukuwa loan 2015 nikanunuwa shamba la mikorosho ile kufika 2016 soko la korosho likacheuwa nikapiga pesa nzuri tu naweza sema nilichanga karata zangu vzr.Nilikamata 10mil kupitia shamba zile pesa nikafunguwa beiber shop.Thanks God mambo yanaenda powa nimewekeza sehemu nyingine ya kuuza juice ya miwa na matunda mengine.Pia this year nalimia shamba langu la korosho kama kawaida.Sijawahi juta since nimechukuwa loan. Nimeweza kujenga nyumba within 3yrs nina usafiri(ndinga) +viwanja 3.Mshahara wangu nautumia kwa kusaidia ndugu zangu na matumizi madogo tu.
Mytake .Use you're salary kama mtaji wa kuanzia biashara lakini nakuomba usiache kazi kwa haraka hadi uweze kusimama vzr.Mimi sijaacha kazi ila sitafikisha ten yrs kazini.Anza sasa usisubiri kesho

great thinker
 
Kwanza nikupe hongera mkuu kwa wazo lako maana hata huo mshahara unaopata ni kama zawadi tu ya kukufanya uendelee kufanya kazi na si kutimiza malengo yako bali malengo yao.
~Ni vizuri kujiwekezea hela ili uje kutumia kama mtaji na si kukopa maana mkopo unasaidia kuendeleza na kukuza biashara.
~Usitishike kua mtaani kugumu kwani kufeli ni mojawapo ya kujifunza, bila kufeli utajifunza lini?? Kumbuka: watu wengi walio na malengo wanawafanyia kazi watu wenye malengo, utaendelea kua mtumwa hadi lini? Better be a risk taker
~ Fanya research kuhusu biashara unayotaka kufanya na pia tafuta ushauri kwa watu mbalimbali.
Start with commitment finish with consistence




Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kosa kubwa ulilo fanya ni kuja kuomba ushauri wafanya kazi. Ukitaka kujiajiri tafuta watu walio kwenye hiyo sekita wakupe ushauri. Huku utatiwa uoga hadi ukimbie.



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Biashara ikiwa changa inamuhitaji sana mwenye nayo au mwenye Idea.
Kosa kubwa sana ambalo watu hufanya ni hili.

Biashara inakuhitaji wewe. Mengi hakukabizi Mke wake au Shemeji yake biashara ya kutengeneza Kalamu bali alianza mwenyewe.

Thomas Edson baada ya kuwa na wazo alianza hakumtafuta Mjomba wake au shemeji yake au mke wake.

Mawazo yako ni mawazo ya watu waoga.

Hapo tegemea mshahara wako ndo ukalipe vijana wa kazi mshahara tena

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Inawezekana pia. Kuna kitu inaitwa Burn the boat.

Some time unatakiwa kuchukua maamuzi.Magumu sana ambayo ni ya maumivu makubwa sana na katika hayo maamuzi kuna pain process

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Atapataje experience akiwa kazini? au atakuwa anaifanyia kazini kwake?

Biashara ikiwa changa inamihitaji sana Initiotor wa Idea. ni sawa na.mtoto mchanga kumuhitaji sana mama yake kwa miezi 3 ya mwanzo na ndo maana ya likizo ya miezi 3 ya uzazi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Anzisha kwanza biashara ikikolea ndio uzembee kazini usiache kazi kabla hujapata kazi. Mimi nakaribia kuacha baada ya kumaliza haka ka Master kangu

Sent using Jamii Forums mobile app
Anatakiwa kusimamia Idea yake mwenyewe. sasa unataka nani asimamie Idea yake?

Yaani Idea yake then Shemeji yake asimamie au mke wake?

Haya ndo mambo yanatufabya tubakia kama tulivyo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuajiriwa ndo rahisi? kutumwa na kupelekesshwa ndo unaona Dili? nitajie rist ya Mfanya kazi tajiri hata mmoja.

Acha uoga Kuajiriwa ni ufala na ni kubinasifisha muda wako kwa mwanaume mwingine.



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mwanzako leo alikuwa analilia kazi hiyo hiyo anase.ma anawatoto

Sent using Jamii Forums mobile app
Unasumbiwa na uoga na kuona kuajiriwa ndo Dili sana. Wewe huna kazi na muda wako? maana ya kuajiriwa ni kwamba wewe Muda ulio pewa na Mungu huna kazi nao bali inabidi uwapatie vichwa ambao ni risk taker wafanyaie kazi.

Endelea kubinasifisha muda wako kama Madini.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ngumu kivipi? yeye si anajiajiri? Ujue tuna tujmnatumia back graoud za ajabu sana na hizi ndo zinatugharimu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
So.kumbe mikopo hulipwa na mishahara? unajua principal za mikopo?

au unazania ni ilenakopaga kununua Magari then mnakatwa the rest ya maisha yenu?

Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu angalia maelezo yake ni kama anatumia Mshahara kukopa kama ndivyo achukuapo hela mwezi huo huo wanaanza kukata pia kumbuka amesema ndio anaenda kuanza biashara so ktk hicho kipindi utaulipa vipi huo mkopo?
 
Asiache kazi sasa biashara aanzishe vipi? apateje vipi uzoefu?
Au kwa kupiga simu kuulizia kama leo wateja wamefika wangapi?



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…