Ushauri: Nataka nikope 10millions niache kazi serikalini, ili nijiajiri

Jiulize why wastaafu baadhi hufeli pamoja na mafao waliovuta!

Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu una staafu una umri wa miaka 60 mathalan unapewa ml.100 hapo huna nyumba huna kitega uchumi chochote huna usfiri wako binafsi...kibongobongo kwa umri huo kuhustle na kutusuwa ni ndoto sanaaaa nadiriki kusema haiwezekani...mtaafu huyu hana experience yoyote ya biashara muda wake wote amekuwa mtumishi kwa wengine lazima afeli na ukizingatia umri wake hilo ni juwa la jioni mkuu.

Sent from myself
 
Hiyo 10m hesabu ya kuwa una mtaji wa 7m kwa sababu 3m lazima iingie katika maandalizi ya sehemu ya biashara. Maandalizi ninamaanisha kodi ya chumba na kukiandaa chumba ili uweke bidhaa. Hivyo huo ni mtaji mdogo sana kwani na mzunguko wa biashara kwa sasa si wa kuridhisha

Lakini pia elewa maisha ya kazini ni sawa na sura ya dunia ilivyo. Kuna milima, mitelemko na tambalale. Hivyo kwa sasa unapanda mlima vumilia. Kwani itafiki wakati utashuka na Kuna kipindi utatembea katika tambalale.

Maisha ya kazi kamwe haiwezekani ukayaona ni mtelemko au tambalale siku zote. Kaza buti ndiyo majaribu ya maisha hayo.
 

Slow down brah, sio kila mtu lazima umjibu, infact take sometime off kudigest alichoandika mtu then ndio umjibu.

Pia content ya nilichokiandika sio rahis kueleweka na mtu wenye akili ya uzito Gram, you need to go abit exramile.

Nikusaidie tu, andiko langu limetizama zaidi sababu zinazomfanya yeye atake kuacha kibarua na huko ndiko niliko egemea zaidi. Hakuna sehemu nimesema kuhusu comparison yeyote.

Kuhusu swala kuwa ni lake mwenyew, well if that was true mleta mada asingelileta hapa. Which is also true that amelileta kama kuomba ushaur na ndivyo nilivyoshaur likewise pia ww ndivyo ulivyofanya.

Find people of your same league to play with.
 
Hawaajiriwa nani KAWALOGA? Endeleeni kulala huko enzi ya utumwa....
Inachekesha hawajitambui wanawaza RUSHWA DILI
...Things do change abractly. Wenyewe mnaona serekali imewaundia WIZARA INAYOITWA WIZARA YA UTUMWA...MNAITA UTUMISHI WA UMMA....
NENO UTUMISHI LINATOKANA NA NENO UTUMWA.....duuu aibu...mshahara hautoshi kabisaaaaa...huu WA UTUMISHI..DUU...MARA TGS. A.B.C.D.E.......HADI PAFO....NI SHIIDAAA




Sent using Jamii Forums mobile app
 
Good idea

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mtu analalamika for 30 years kwamba mshahara mdogo lakini bado yupo tu. asubuhi anaamuka analalamika njia nzima kwenda kazini.

Utumwa si kufungwa minyororo hata kufanya kazi kwa mtu mwingine ni utumwa pia make anakuwa anakumiliki.

Point mkuu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Unajua hata wschina wanawazana hapa kwasababu Kuna chip leba..nawanaambiana wabongo Wana penda utumwasana...
ALWAYS BE A JOB CREATER...TENGENEZENI FURSA

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nadiriki kusema kuwa MTU anayesema kuwa mtaji wa sh mil.10 hautoshi kuanzisha biashara.
Kwa mawazo yake sijui ni sh ngapi zitatosha kuanzisha biashara.

Mi nilianzisha biashara kwa sh laki 3, hadi sasa biashara yangu ina kama bidhaa za sh laki 8. Mdogomdogo nakimbiza

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu jilipue tu...humu tunaokushauri wengi ni wavaa suti na vitambulisho shingoni kama watumwa...mi mwenyew soon naachana na huu utumwa wa umma sema mi nimepanga kuondoka kwa style tofauti
 
hii comment yako imenfanya ninywe chai bila sukari maana content iliyomo ndani ya hii comment ni sukari tosha.....tutakuja tu na sisi tuko njiani mkuu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…