Mahesabu
JF-Expert Member
- Jan 27, 2008
- 6,658
- 6,700
Kwa wazo ulilonalo tu Naomba nikuite "Mdogo wangu"
Mdogo wangu, please USIACHE KAZI...
baki na Kazi yako na omba huo mkopo ufanye biashara, tena omba Mikopo kama hiyo Zaidi ya mmoja Baada ya kuona maendeleo ya kile utakachoanzisha
Tafuta watu 10 walioacha kazi.... Nakwambia waliofanikiwa hawazidi 3.
Usiache kazi tafadhalini, Mimi nimeajiriwa kampuni Binafsi na bado Nina biashara zangu na nimeajiri watu.
Kwenye biashara kuna changamoto nyingi Sana, unaanguka na kusimama, unaanguka, unajikwaa unasimama, wengine wanaanguka jumla...
Baki na Kazi yako na anzisha biashara
HAPA KIYOSAKI HANA NAFASI
Mdogo wangu, please USIACHE KAZI...
baki na Kazi yako na omba huo mkopo ufanye biashara, tena omba Mikopo kama hiyo Zaidi ya mmoja Baada ya kuona maendeleo ya kile utakachoanzisha
Tafuta watu 10 walioacha kazi.... Nakwambia waliofanikiwa hawazidi 3.
Usiache kazi tafadhalini, Mimi nimeajiriwa kampuni Binafsi na bado Nina biashara zangu na nimeajiri watu.
Kwenye biashara kuna changamoto nyingi Sana, unaanguka na kusimama, unaanguka, unajikwaa unasimama, wengine wanaanguka jumla...
Baki na Kazi yako na anzisha biashara
HAPA KIYOSAKI HANA NAFASI