umejibu vizuri sana japo hujui kwa undani umuhimu wa shule na umri wake. mimi hiyo master sina na sitegemei kwenda kwa sasa lakini naiona changamoto yake huko mbele umuhimu wa shule katika shughuli za kujitegemea. hivyo kwa umri wake anahitaji kufanya hivyo.Coment za watu waoga. Kusoma ndo nini kuenda Masters ili iweje? ndo apate pesa nyingi? awe huru? ndo mnavyo jidanganya kwamba ukiwa na Masters basi maisha kwako ni Bora na utakuwa na pesa?
Kwani akiwa kijana hawez acha kazi? wanao paswa kuacha kazi ni wazee?
Sent using Jamii Forums mobile app
kama nikubebe vile!Kwa wazo ulilonalo tu Naomba nikuite "Mdogo wangu"
Mdogo wangu, please USIACHE KAZI...
baki na Kazi yako na omba huo mkopo ufanye biashara, tena omba Mikopo kama hiyo Zaidi ya mmoja Baada ya kuona maendeleo ya kile utakachoanzisha
Tafuta watu 10 walioacha kazi.... Nakwambia waliofanikiwa hawazidi 3.
Usiache kazi tafadhalini, Mimi nimeajiriwa kampuni Binafsi na bado Nina biashara zangu na nimeajiri watu.
Kwenye biashara kuna changamoto nyingi Sana, unaanguka na kusimama, unaanguka, unajikwaa unasimama, wengine wanaanguka jumla...
Baki na Kazi yako na anzisha biashara
HAPA KIYOSAKI HANA NAFASI
Hakuna fao la kujitoa??? LAPF wana hilo fao mbonanakushauri omba ruhusa uende shule tena ukiwa unajiandaa kuanza biashara ili uweze kujua nje ya kazi kuna nini hii itakusaidia kuwa na muda wa kutengeneza network lakini ukiwa bado kazini na pia shule.
kama una shahada ya kwanza nenda master au post, miaka mitatu ni michache sana kuacha kazi ya serikali kumbuka kwamba hakuna fao la kujitoa.
hivyo tumia fursa hiyo kujipanga.
pia ni vizuri ukaweka wazi ni biashara gani unategemea kufanya ili tukushauri kwa ukaribu zaidi chagua hata tatu.
binafsi nafanya biashara ya ushauri lakini kuna kipindi wakati naanza ilipita miaka kama mitatu napata vijikazi vidogo sana kiasi vilikuwa haviwezi kulipa gharama za ofisi. ikawa nafika wakati naomba poo kwa kutafuta kazi.hivyo jipange taratibu kabla ya kujilipua
Watu kama wewe bila kuajiriwa hakuna maisha,kwa hiyo usimkatishe mwenzio tamaa,mwenzio kasoma alama za nyakat na anataman kuwa zaid ya alipo,hakuna ubishi kuajiriwa ni kuminywa akili yako ili ubaki ukimtegemea na kumnyenyekea aliyekuajir siku zoteNAONA UNATAKA KUISOMA NAMBA KWA KUJITAKIA.KILA LA HERI MKUU
Wakuu habari za majukumu.
Natambua JamiiForums ni kijiwe cha wasomi na mchanganyiko wa watu wenye busara zao.
Najitokeza mbele yenu mnipe ushauri kidogo, kwa ufupi mimi ni muajiriwa katika serikali yetu hapa Tanzania, kutokana na changamoto za kazi na hali halisi ya maisha nina plan kukopa fedha kiasi cha 10m kisha nianzishe miradi yangu binafsi ili nijiajiri niachane na kuajiriwa maana naona napelekeshwa ilihali maslahi ni duni sana.
Kazi ni nyingi mno na maslahi ni kiduchu sana, nilitamani kuanzisha miradi nikiwa katika ajira lakini muda ninaoingia na kutoka kazini ni wastani wa masaa 11 mpaka 12 kwa siku, hali hii inanichosha sana kiasi kwamba hata nikifika home akili inakua imechoka sana naishia kulala tu.
Kwa mantiki hiyo naona umaskini wangu unaweza kua wa kudumu maana hata nikiwatazama walionitangulia naona hawana kitu kikubwa sana walichofanya maishani.
Nina dreams nyingi na kubwa, napenda kua mtu huru na mwenye mafanikio makubwa kupitia biashara na kilimo, naiona ajira kama kifungo cha kunifanya niwe maskini. Sasa kwakua nimekaa kwenye system kwa takribani miaka mitatu naona ni vema nijilipue nikafanye yangu.
Naomba ushauri na mapendekezo yenu, watu hatulingani akili endapo unaona niko wrong basi naomba unishauri namna ya kuboresha hili wazo.
Kejeli na matusi sio mahala pake hapa, mimi ni kijana kama ulivyo kijana pengine nikawa sawa na mwanao ni vema unishauri kwa kujua unamshauri ndugu yako na mwana JF mwenzako.
Natanguliza shukrani.
Ni wazo zuri kama pesa ungekuwa umesave mwenyewe lakini ya kukopa ndugu yangu kwenda kuanzisha biashara mpya, bila kujua changamoto zake sikushauri uache kazi, badala yake, tafuta kimtaji chako kidogo jaribu kufanya hiyo biashara ambayo unataka kufanya jaribu hata kwa mwaka hivi utakuwa umejifunza, hapo unaweza kukopa kuongezea kwenye biashara na kuacha kazi.
Mimi nilifikia hatua ya kuacha kazi baada ya miaka 6 kazini, sikuona mabadiliko yoyote kwenye maisha yangu, mwisho niliamua kuacha kazi, wakati nimeacha nilikuwa nimesave kama milion 3 zangu peke yangu, nikauza mpaka vitu vya ndani kuongezea mtaji, nilijitesa ndani ya miezi 6 mambo yakaanza kunyooka. Toka nimeacha kazi nina miaka 2 niliacha sina hata kiwanja, lakini sasa ni nyumba 1 na viwanja 3, watoto wanakula, shule wanakwenda, biashara imesimama, account inasoma, Natembelea miguu minne, nina muda wa kutosha kufanya mambo yangu, nimetengeneza ajira zaidi ya watu 15. Ninatoa amri mimi wala hakuna wa kunipangia. Maisha ya kitumwa nilishatoka. Karibu sana ndugu yangu
Sent using Jamii Forums mobile app
Yani unaacha kazi sababubumepata mastaz au sababu unaenda kufanya biashara zako....ni vip masterz yako inahusiana na biashara unayotaka kufanya na inakupa assuarance ipi ya kufanikiwa katika mambo yako.Anzisha kwanza biashara ikikolea ndio uzembee kazini usiache kazi kabla hujapata kazi. Mimi nakaribia kuacha baada ya kumaliza haka ka Master kangu
Sent using Jamii Forums mobile app
Hawajua wanamshauri kwa nidham ya uoga...hakuana uoga kama umeajiriwa na unafanya biashara zako...zitaendelea kuwa za kawaida tuu na hazitokuwa mpaka siku utakayoacha kazi na kusimamia biashara zako mwenyewe.....Amekuambia kazini daily anatumia 11- 12 hrs, na pia akirudi hoi bin taabani, vp tena ataweza kusimamia biashara?
Sent using Jamii Forums mobile app
Asilimia 99 zinatumia muda huo isipokuwa mojq tuu ya kujiuza mwili....kwani biashara zote zinatumia muda huo?
Atafanya biashara na kazi zake nyingine....au hujamuelewa wapi...angalie usiwe unamtia uoga wakati yupo sahihi kuliko mwajiriwa wewehiyo milioni kumi utailipa vipi kama unaacha kazi?
Acha kumtia woga...from zero to hero. Haitaji kutafutavkazi wala ajira...anahitaji kufanya biashara zake....zimtoe utumwani mwa ajira isiyolipa wala kumuhakikishia mwisho mzuri wa maisha yakeKaka Nina mengi ya kukushauri lkn sina mda wa kutosha kuandika hapa pia nina uvivu sana wa kutype. Labda nikukumbushe jambo, kaka ni ngumu kuacha kazi ili ukatafute kazi, tafuta kazi ndiyo uache kazi. Anza shughuli ndogo ndogo kwanza za kiabiashara ndiyo ujue nini ufanye
Sent using Jamii Forums mobile app
Acha kumtia uoga na story yako...wewe unatumia masaa 11 kazini bado usafiri na uchovu huo muda hana wa kufanya kazi huku kajiajiri...mzigo mzito mpe mnyamwezi...wewe mzigo wako mwepesi beba mwenyewe ....yeye mnyamwezi atabeba mzigo wake mzito.Pole sana kwa changamoto unazopitia lakini ongera kwa kutafuta freedom. Wengi wa watu waliokushauri wanakwambia mtaji huo ni bora unge make mwenyewe alafu ukanzia biashara then badaye ndo uchukuwe mkopo ili kudevelop business ni lakini option mbili ni muhimu hasa ikijuwa unachotaka kufanya.Ngoja nikupe story yangu labda uka learn kitu.
Mimi nilianza kazi mwaka 2014 mkoani mtwara,katika maisha yangu ya kazi sikuwa kufurahia kazi yangu hata siku moja nilikuwa na ndoto in my life so nikaona nikitegemea kazi siwezi kufikia ndoto zangu.Nikaamuwa kuchukuwa loan 2015 nikanunuwa shamba la mikorosho ile kufika 2016 soko la korosho likacheuwa nikapiga pesa nzuri tu naweza sema nilichanga karata zangu vzr.Nilikamata 10mil kupitia shamba zile pesa nikafunguwa beiber shop.Thanks God mambo yanaenda powa nimewekeza sehemu nyingine ya kuuza juice ya miwa na matunda mengine.Pia this year nalimia shamba langu la korosho kama kawaida.Sijawahi juta since nimechukuwa loan. Nimeweza kujenga nyumba within 3yrs nina usafiri(ndinga) +viwanja 3.Mshahara wangu nautumia kwa kusaidia ndugu zangu na matumizi madogo tu.
Mytake .Use you're salary kama mtaji wa kuanzia biashara lakini nakuomba usiache kazi kwa haraka hadi uweze kusimama vzr.Mimi sijaacha kazi ila sitafikisha ten yrs kazini.Anza sasa usisubiri kesho
great thinker