Ushauri: Nataka nioe Binti wa Kishua

mwache abaki kama mchepuko wako ukijiingiza apoo ili swala litakuumiza sana hutaweza kujenga familia yenye furaha na kujaliana tafuta mwanamke mnayeendana anayekupenda jinsi ulivyo c kwakile ulichonacho
Bonge la wazo.. Nilishawaza kama hivi kiongozi.. Ngoja muda ufike nitafanya implementation!
 
kama unampenda pambana umchukue hata kwa kumjaza kibendi....Maisha yanabadilika any time alafu kaza na huyo huyo .Usikubali kushidwa kirahisirahisi.
Asante sana kaka Mkubwa hii ni Bonge la Comfort.. Do or Die!
 
Uyo anakupotezea mda yy hana nia ya kuolewa na ww kama mnaachana maranyingi hivyo mnarudiana tena. Na akishapata wa kuendana nae anakuacha kbsaa......
Mkuu umeona mbali aisee..Najua ipo siku kama hiyo ila ndo ile tayari ushampenda aisee..
 
Somehow true..
 
Mkuu kwa umri wako bado una nafasi usitumie nguvu sana katika mapenzi. Huo ushuwa wake huyo binti ndio unaokutatiza, you waste your time bro. Huyo teyari kashaandaliwa maisha na wazazi wake, nawe tengeneza maisha yako. Kama ipo ipo tu usiumize kichwa chako

.
 
Piga mimba mkuuu ata usipomuoa mtt wako atakuja kua wakishua hatateseka kama ww

Sent using boeing 737 max8
 
Dogo chukua shauri huu huyo mwanamke anakufaa sababu ya kwanza mnahitajiana ndio maana mpaka leo hamjaachana hiyo ni ishara kwamba mtavumiliana kwa kila jambo wenzenu hawamalizi hata week pili maamuzi unayo wewe mwanamke hana maamuzi siku zote wewe ndio dira ya familia hivyo kua imara na fanya maamuzi sahihi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Habari za siku ndugu wanafamilia wa JF!, Poleni na Majukumu Mazito ya kifamilia na ya kutafuta Mkate wa Kila siku hasa kwa awamu hii ngumu ya 5.


Naomba nianzie hapa..
Unauhakika humpendei ushua wake?


Hili ndilo kubwa.
 


Tafuta wa size yako mkuu
 
OA nasema OA huyo, maisha yasasa hayataki kujizuga.... Yeye akikuletea kauli sijui yeye mambo Safi mkrashi jifanye kama vile uuoni ushua wao mwambie pesa zamadafu hizo....,akiregeza piga mimba tuliaaaa...

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hayaa mambo sio kwa matajiri hata kwa watu wa hali ya kawaida, eti mzazi anaongea mkwe hasiye na hela simtaki......... wanaweka presha kwa watoto mwisho wa siku wanakuwa single mother.
 
Hayaa mambo sio kwa matajiri hata kwa watu wa hali ya kawaida, eti mzazi anaongea mkwe hasiye na hela simtaki......... wanaweka presha kwa watoto mwisho wa siku wanakuwa single mother.
Good newz ni kwamba tulishindwana mapema..
 
Achana nae huyo hata ukiforce ndoa atakuwa kakuoa yeye.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…