Ryzen JF-Expert Member Joined Dec 6, 2012 Posts 7,301 Reaction score 8,706 Sep 22, 2021 Thread starter #61 JembeKillo said: Achana nae huyo hata ukiforce ndoa atakuwa kakuoa yeye. Click to expand... tushashindwana kweliii
JembeKillo said: Achana nae huyo hata ukiforce ndoa atakuwa kakuoa yeye. Click to expand... tushashindwana kweliii
ngorombo Member Joined Jun 7, 2019 Posts 60 Reaction score 201 Sep 22, 2021 #62 kwanini unataka kuoa huyo binti? au unataka kuoa kwasababu ya status ya familia yake msaidiane katika maisha? Mimi nakushauri achana naye tafuta mwanamke mwingine.Huyo mwanamke hajui anatafuta nini, pia ni mtu wa kuyumbishwa.
kwanini unataka kuoa huyo binti? au unataka kuoa kwasababu ya status ya familia yake msaidiane katika maisha? Mimi nakushauri achana naye tafuta mwanamke mwingine.Huyo mwanamke hajui anatafuta nini, pia ni mtu wa kuyumbishwa.
BravoZulu JF-Expert Member Joined Sep 16, 2021 Posts 1,824 Reaction score 3,747 Sep 24, 2021 #63 Manzi hakuelewi huyo mkuu Angekuw yumo mazima asingeshikiwa akili na mtu yeyote hata huyo mzee wake