kwanini unataka kuoa huyo binti? au unataka kuoa kwasababu ya status ya familia yake msaidiane katika maisha?
Mimi nakushauri achana naye tafuta mwanamke mwingine.Huyo mwanamke hajui anatafuta nini, pia ni mtu wa kuyumbishwa.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.