Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Naomba ushauri kwa wazoefu, wataalamu, wajuzi n.k
Amebakiza miezi 2 kwa makadirio.
Ni safari ya almost 8Hrs, kutoka Dar kwenda mkoani.
Tayari nipo out of time, safari hio ni either kesho/keshokutwa or never.
Kama inawezekana, nini vya kuzingatia?
NOTE: ni kwa njia ya Public transport/Bus.
Dah uko vzr aisee..mm nakuaga siwez safari zile harufu za watu natapika mwanzo mwisho...Ana tatizo?
Dah mie nilikula sana safari
Safari ya mwisho ilikuwa Mbeya-Arusha-Singida-Dar wiki mbili baadae nikajifungua [emoji28]
Mama yangu alitoka kazini akaenda kujifungua mimi, lakini leo mke wangu mimba ina miezi mitano anaamka saa saba mchanaKwanini asisafiri Mkuu?
Wanawake wa saiv mimba wanaona Kama ugonjwa mahututi, wanawake wa kijijini wanapiga kazi Kama Kawa wakiwa wajawazito ndio maana hawana changamoto za kujifungua.
Mie mwenyewe nafanya kazi hadi jioni.....usiku naenda kujifunguaMama yangu alitoka kazini akaenda kujifungua mimi, lakini leo mke wangu mimba ina miezi mitano anaamka saa saba mchana
Basi wewe uko kama mke wangu. Akiwa na mjamzito from week ona mpaka karibu kujifungua kutapika ni kama pacha wake. Halafu yuko very sensitive kwa harufu. Week za kwanza kwanza ndiyo zaidi na hata mimi naambiwa nanukia vibaya.Dah uko vzr aisee..mm nakuaga siwez safari zile harufu za watu natapika mwanzo mwisho...
[emoji3][emoji3][emoji3] mwache apumzikeeeeMama yangu alitoka kazini akaenda kujifungua mimi, lakini leo mke wangu mimba ina miezi mitano anaamka saa saba mchana
Yaani mm.had labor huwa lazima nitapike...Basi wewe uko kama mke wangu. Akiwa na mjamzito from week ona mpaka karibu kujifungua kutapika ni kama pacha wake. Halafu yuko very sensitive kwa harufu. Week za kwanza kwanza ndiyo zaidi na hata mimi naambiwa nanukia vibaya.
Mimi hata chai sipiki nashinda nimelalaMama yangu alitoka kazini akaenda kujifungua mimi, lakini leo mke wangu mimba ina miezi mitano anaamka saa saba mchana
😀poleMimi hata chai sipiki nashinda nimelala
Dah uko vzr aisee..mm nakuaga siwez safari zile harufu za watu natapika mwanzo mwisho...