Wangari Maathai
JF-Expert Member
- Aug 13, 2018
- 34,962
- 70,576
Mimi kwangu ni madume tupu aise...kila mtu anataman kupata babygirl ..!Wanasema ukichukia wanaume unajifungua kidume [emoji2368]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mimi kwangu ni madume tupu aise...kila mtu anataman kupata babygirl ..!Wanasema ukichukia wanaume unajifungua kidume [emoji2368]
Nacheka mno jaman...yes wanajua kutuvumilia sana! DahNiliingia tu washroom nikatoka na maji kindoo kidogo nikamwaga
Halafu nikafungua mlango Tayari kukimbia
Ila wanaume wanatuvumilia sana.
Hongera sana kwao
[emoji7][emoji7]
Muambukize mke wangu
Unao wa kike?Isizidi sasa nayo ni kero
Nilikuwa nafua mpaka nguo safi kabatini
Au siku naamka usiku naanza kupanga nyumba nzima[emoji23][emoji23]
Sijui zile nguvu nilipata wapi!
Mimi kwangu ni madume tupu aise...kila mtu anataman kupata babygirl ..!
Unao wa kike?
Hahahaaa!Isizidi sasa nayo ni kero
Nilikuwa nafua mpaka nguo safi kabatini
Au siku naamka usiku naanza kupanga nyumba nzima[emoji23][emoji23]
Sijui zile nguvu nilipata wapi!
Shukuru sn. Hio hali inatesa. Utatamani upige makelele kama ulopatwa na mapepo. Au ulie. Ddaah....wanawake tuna shida sie. Nashkuru nimemaliza kazi.......AlhamdulillahSijawahi kutapika kwenye mimba ila tu kuna wakati nilikuwa nasimama mbele pale sababu ya miguu na mgongo,
Tofauti na hapo nakula almost kila kitu nasafiri natembea na kazi zote mwanzo mwisho
Changamoto yangu ni hasira tu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Na Ukisema umuhame...nongwa. Hio miezi 9 ikifika mpk mkampata mwenzenu na wewe uhoii [emoji1787]Aisee nimecheka kweli kwani mke wangu hivyo hivyo. Hili la kulazisha ugomvi ndiyo usiseme. Nilikuwa nadhani ana-act na sikudhani yuko mwanamke mwingine anayefanya hivyo. Unaona sasa faida ya forum kama hizi. Nakumbuka kuna kipindi nilisafiri kurudi nikakuta picha yangu iliyokuwa ukutani ameishua na kutupa kule. Kumuuliza akasema inamletea kichefuchefu [emoji1787]. Nikilala kitandani ananiambia ondoka nitandike. Nikihamia sebuleni ananifuata. Kuna kipindi nilienda naye kwetu alinitia aibukwani hawezi kujizuia kabisa ana anakuwa na emotions kweli.
Mwache apumzike. Tunatofautiana mtu na mtu. Wengine mimba ikiwa changa inakuwa hivyo......uvivu na uchovu kila wakati kujisikia kulala...Muambukize mke wangu