Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
THUS nikamuuliza mpaka leo ni 3 years yeye ana milioni ngapi??Inajua jinsi ya kulima vitunguu wewe? Heeheee hebu muache mwenzio aende ulaya huko
HAMNA maisha ya hivyo jombaa!Jinsi watu wanavyozani Ni rahisi kupata pesa ukiwa ulaya
View attachment 1648972
View attachment 1648973
Hope upo Europe kwa sasa.Wadau mimi nahitaji kwenda Ulaya kutafuta maisha, nauli ninayo hivo naombeni ushauri kwa anaefahamu nchi gani in Europe ina urahisi wa kupata kazi yoyote pia urahisi wa visa pia mahali pa kufikia ????? Wadau naombeni msaada wenu kwa anaefahamu.
Nimepata mwaliko ntaenda easterMPaka leo hujaenda tu
Lol
Jiongeze basi!Asante mkuu kwa ushauri but naomba unielekeze inafikaje mil.5 wakat nauri ni 1.5 ?
vp, ulienda nchi gani?Nimepata mwaliko ntaenda easter
Mtaje huyo muhalifu ili asipige wenginendugu kuwa makini mimi pia nimeshajalibu kungaaikia hii issue nimetapeliwa na membar wa humu ndani mpaka nimekosa tumain japo ndoto yangu haijafa
[emoji102]Ila nikushauri kitu mkuu, kuwa makini sana maana humu wapo matapeli, wengi watajifanya ni mawakala na wengine wanajua kukuunganishia kazi mahali, watakupiga hela sana, mfano wa matapeli hao kuna katerlo, britannica na kuna mwingne jina limenitoka, ni matapeli hawa watu. So kuwa makini na bora ukakaa chini tuliza akili usikubali mtu wa hapa akuambie umtumie hela yeyote kwaajili ya ishu yako hii
😂😂😂 jf rahaa sanaKwa elimu hiyo uliyonayo nakushauri uhamie Somalia
Chaaa sikuenda hata..cooner ikatibua naulivp, ulienda nchi gani?
Makaratasi/vitambulisho vinavyokuwezesha kuishi sehemu husika kihalaliFor now am not interested to go abroad may be in the future but I just want to know paper meaning what
Nchi yoyote Ile, changamoto ya kwanza ni vipi uishi kihalali( makaratasi). Makaratasi utayapata kama mkimbizi, ukioa raia au mtu anaeishi kihalali, shule( mwanafunzi) au kazi uliyopata mmoja kwa mmoja kutoka nchini kwako( wengi watu wa IT).Sehemu kama UK na USA unaweza survive muda mrefu bila makaratasi.Wadau mimi nahitaji kwenda Ulaya kutafuta maisha, nauli ninayo hivyo naombeni ushauri kwa anaefahamu nchi gani in Europe ina urahisi wa kupata kazi yoyote pia urahisi wa visa pia mahali pa kufikia ?????
Wadau naombeni msaada wenu kwa anaefahamu.
ishaisha mbona maisha yanaendelea mbelee...Chaaa sikuenda hata..cooner ikatibua nauli