Mugabe one
JF-Expert Member
- Nov 15, 2016
- 2,327
- 1,683
Pm pleaseMkuu nisaidie contact zako, nna mpango wa kuja huko kama ntafanikiwa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Pm pleaseMkuu nisaidie contact zako, nna mpango wa kuja huko kama ntafanikiwa
Jina tu hatarHuyo tapeli tu,nicheck pm nikusaidie kufika huku Norway.
Usipende kuamini sana maneno ya kwenye vijiwe vya kahawa,hakuna mtu anabaguliwa huko,nenda ndio utakuja kuamini maneno yangu.Dubai na doha mkuu ubaguzi sio mkubwa kwa waafrika?
Hahahaa!siku hizi sizioni zile thread za kuwasema hovyo wabeba box..teh! teh! Muda ni muamuzi mzuri sana aisee!!Kila siku mnawatukana wabeba maboksi na wanadiaspora kuwa warudi bongo eti bongo mambo poa!
Kulikoni unataka kuondoka bongo ambako ni tambarare?
Anyways, mtafute Nyani Ngabu na mkuu Copenhagen DN watakupa ushauri
Hapo kwenye red,Kusafiri kwenda ng'ambo kunahitaji ujasiri sana, muda mwingine unaweza kuhisi umechanganyikiwa lakini amini hata siku unaanza safari utakutana na wazamiaji wezako iwe kwenye ndege, basi ama meli. Ukifika utashangaa unakutana na wenyeji tena mnatokea mkoa mmoja. Nakuambia hautajuta hasa ukiwa na tabia njema, kujituma na kujishusha. Utofauti wetu wazamiaji ni aina ya safari yako iko vipi. Ukiwa na mwenyeji mbona utajuta hata kufikisha umri huo hujazamia. Nenda bwana japo mimi ulaya sijawahi kupawaza tofauti na South Africa&Botswana ambapo wanaishi mashemeji zako
Hii comment ingetosha kumuelekeza mkuuuSasa kama unataka kwenda ughaibuni halafu hata neno paper hujajua linamaana gani italuwa shida kunielewa. Ulizia watu wako wa karibu walioighaibuni nini maana ya paper na umuhimu wake katika kujitafutia ridhili ukiwa huko
hamna ubaguzi uko kwa wageni sana sana kutoka africa?Njoo huku Brunei itatoboa, kumbuka kubeba nidhamu halisi vinginevyo utajuta. Mambo ya pambuchi za watu walioolewa kaa mbali nazo.
Nipo Europe, njoo inboxWadau mimi nahitaji kwenda Ulaya kutafuta maisha, nauli ninayo hivo naombeni ushauri kwa anaefahamu nchi gani in Europe ina urahisi wa kupata kazi yoyote pia urahisi wa visa pia mahali pa kufikia ????? Wadau naombeni msaada wenu kwa anaefahamu.
Nimechagua Europe coz nac kia Usa ni pagumu sana, umri nina miaka 30 my education level form 4 cna familia.
Usimkatishe tamaa.elimu yako ya kibongo.kwa mzungu haina thamani.ataenda kusoma hukohuko.Nenda shule kwanza
Sasa form four ndiyo utafanya kazi gani?
Kupika pizza?
Nipo Europe, njoo inbox
Mkuu unazingua jf is for great thinkersKwa elimu hiyo uliyonayo nakushauri uhamie somalia
Kaka nami nimevutiwa na ushauri wako, nami nahitaji hizo fursa,waweza niunganisha!? 0762 983624Nakushauri kwa dhati ya moyo wangu. Jifunze udreva wa tax na mabasi kisha nenda Doha ama Dubai kafanye kazi ya udreva. Nafasi ni nyingi sana. Nchi hizo zimeendelea sana pia wageni ni wengi sana. Miaka ya hivi karibuni Ulaya pamekuwa si mahali pa kukimbilia. Nafasi za kazi hakuna na si kama zamani. Kwa zaidi njoo inbox nikushauri. Kuna jamaa zangu kadhaa wako huko watakupokea.
Ukifika upange geto la peke yako iliutupokee na wengineKaka nami nimevutiwa na ushauri wako, nami nahitaji hizo fursa,waweza niunganisha!? 0762 983624
BalaaaHii ni kweli kabisa ila hapa swala sio nauli tuu inatakiwa uandae fungu la kutosha ,,at least mil.5 hapa unaweza kujiachia kabisa kuhusu kazi zipo nyingi unless uwe mchaguzi wa kazi ,,cha muhimu ni afya bora na kujituma that's all ,,,you better die trying mkuu kuliko kulia na serikali ya magu
Haaahaa tupo wengiWadau mimi nahitaji kwenda Ulaya kutafuta maisha, nauli ninayo hivo naombeni ushauri kwa anaefahamu nchi gani in Europe ina urahisi wa kupata kazi yoyote pia urahisi wa visa pia mahali pa kufikia ????? Wadau naombeni msaada wenu kwa anaefahamu.
MPaka leo hujaenda tuHaaahaa tupo wengi