Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndo hapo sasa kidoogo naweka matumaini kwa DabyTumwamini nani?
Mahari au mahali?Kwa upande wa lugha niko vzr sana but urahisi wa kupata visa na mahari pa kufikia huko. Naombeni msaada
Are u serious???Unaenda kutafuta maisha Ulaya na nauli unayo, kwanini hiyo naul usitumie kujiari hapa hapa kwenhe Tanzania ya viwanda
Hungary,Romania,Kosovo,Bosnia nkWadau mimi nahitaji kwenda Ulaya kutafuta maisha, nauli ninayo hivo naombeni ushauri kwa anaefahamu nchi gani in Europe ina urahisi wa kupata kazi yoyote pia urahisi wa visa pia mahali pa kufikia ????? Wadau naombeni msaada wenu kwa anaefahamu.
Acha kumkatisha tamaa mwenzako. Somalia kuna nini,?Kwa elimu hiyo uliyonayo nakushauri uhamie somalia
hmmm,Hungary tena?bora hata SloveniaHungary,Romania,Kosovo,Bosnia nk
Huko newzland unapataje visa ?Ulaya maisha nati sana kwa sasa mkuu.Kama unaweza nenda New Zealand,huko Kuna kazi za kumwaga but hakuna man power,baridi Ni kali Sana,but pia wanatoa offer ya kukusomesha kwa skill utakayokua unaifanyia kazi.But tatizo ni mpaka uwe card Fulani hivi ya kukutambulisha kwamba upo nchini kihalali.But kuipata huyo card hapo ni shida tupu.
Haha mkuu mimi mwenyewe mpigaji kaa mbali namii (jokes)Ndo hapo sasa kidoogo naweka matumaini kwa Daby
Mkuu anakimbia vita ya umasikini sio vita ya mtutu!Utapoteza muda bure kwenda ulaya, usitishwe na ccm kuiharibu nchi, wao siyo Mungu, katafute mbuga ya vitunguu au tangawizi ulime, heka mbili tu utapiga zaidi ya mil 12 baada ya miezi mitatu, kukimbia nchi ambayo haina Vita ni mawazo ya kizamani Sana.
Unajua mtu mwingine hata akikuambia yeye ni jambazi wewe bado unamuamini tu, na kutokana na Imani yako kwake na yeye akajua kuwa unamuamini hawezi kukufanyia wewe umafia......unaweza kumuona live kabisa anampiga mtu machine gun lakini bado ukamtetea kuwa walimkoseaHaha mkuu mimi mwenyewe mpigaji kaa mbali namii (jokes)
Mkuu nyakati za sasa sio za kumwamini mtu kiurahisi. Japo kuna mazingira hutubidi tutake risk tu maana hakuna namna. Usipokuw na imani hufanyi kituUnajua mtu mwingine hata akikuambia yeye ni jambazi wewe bado unamuamini tu, na kutokana na Imani yako kwake na yeye akajua kuwa unamuamini hawezi kukufanyia wewe umafia......unaweza kumuona live kabisa anampiga mtu machine gun lakini bado ukamtetea kuwa walimkosea
Exactlly sir!the more you risk the more you gain.Mkuu nyakati za sasa sio za kumwamini mtu kiurahisi. Japo kuna mazingira hutubidi tutake risk tu maana hakuna namna. Usipokuw na imani hufanyi kitu
Upo sahihi mkuu, kweli tahadhari ni bora lakini kwa mazingira na hali halisi za sasa hivi umdhaniaye ndiye kumbe siyeMkuu nyakati za sasa sio za kumwamini mtu kiurahisi. Japo kuna mazingira hutubidi tutake risk tu maana hakuna namna. Usipokuw na imani hufanyi kitu
KweliUpo sahihi mkuu, kweli tahadhari ni bora lakini kwa mazingira na hali halisi za sasa hivi umdhaniaye ndiye kumbe siye
Hahahahaha, umenichekesha xana ndgKwa elimu hiyo uliyonayo nakushauri uhamie somalia