EP MEDICS COSMETICS STORE
JF-Expert Member
- Oct 18, 2015
- 2,826
- 4,593
ila mnapenda kukimbilia manyumbani kwenu na kusiko julikana nyie viumbee, njia sahihi sahihi ya changamoto za kimahusiano ni better kila kunapoibuka mgogoro, subini hasira zenu zipoe mnakaa chini na mwenzio baada ya nyote kupoza hasira zenu, kisha mnasolve mambo yenu.Ndoa ni ya watu wawili ukiweka mtu wa tatu lazima ivunjike...
Mwambie dada yako Aache utoto...
Matumiz na Ela ndogo ndogo namsaidia, na mpk MDA huu tunaongea mke wangu Yuko kwake anamsaidia kumhudumiaKwahiyo anataka arudi tena kwa mnyanyasaji, hawa viumbee [emoji33]
Ushauri wangu usijibebeshe mzgo haukuhusu ndo mana ulimtimua mwanzoni apambane! umemsaidia saana mpe fungu kidogo la kujifungua na matumizi awe comfortable, na asikae kwa ndugu arudi kwao.
Mkuu pole sana. Binadamu tunavaa nguo tu lakini akilini zero. Msamehe huyu dada anayekutusi labda kwao wanatabia ya kulala na kaka zao.Nilimpokea akagoma kurud kwa mumewe nikamtimua
amejifungua au bado πWakuu,
Mwezi Mei Mwaka jana kuna dada yangu mmoja aligombana na Mumewe na kukimbilia kwangu, Nilipoongea na Mumewe, akasema yeye Hana tatzo nae, arudi TU wayamalize.
Nilipomsihi dada arudi wakayamalize, akawa hataki, anang'ang'ania aendelee kuishi kwangu tu. Nikaamua kumfukuza aondoke, kwangu Sina nafasi ya kuhifadhi MKE wa mtu mimi.
Kumbe alivotoka kwangu akahamia kwa ndugu wengine wakampokea akaishi. Nikawa naskia TU, sasa dada anakaa kwa ndugu flani, Mara kahamia kwa ndugu mwingine, kwa mumewe kagoma kabisa kurudi.
Nmewasihi ndugu zangu sio vizuri kukaa na MKE wa mtu majumbani kwenu, hawataki kunielewa, wanadai namtetea sana mume wa dada yangu, nataka mpk afe ndo nijue mumewe ni mnyanyasaji wa kijinsia.
Wakasema kama mumewe anamtaka mkewe Basi amfate mwnyw ukweni na akaiombe radhi familia, vinginevyo asahau kabisa Kama alishawai kumuoa ndugu Yao. Nikaamua kujiweka kando na hayo Mambo.
Amekuja kurudi kwa mumewe mwezi huu tar 02 (miez 11 imepita) akiwa na mimba ya kubwa sana. Mumewe kagoma kabisa kumpokea akidai mkewe aliondoka akiwa Hana mimba, inakuaje arud kwake akiwa na mimba? Hiyo mimba sio yake.
Nmemhoji dada yangu, anadai ile mimba ni ya mumewe 100% na aliondoka nayo, ila alishindwa kumtaarifu mumewe kutokana na ugomvi uliokuepo Kati yao.
Ndugu waliomhifadhi miezi yote hiyo wananipigia kunisihi niongee na shemej yangu, ampokee mkewe maana ni mjamzito sn anaweza kujifungua muda wowote. Nimewaambia hiyo kazi siifanyi, fanyeni nyie wenyewe mlioyasababisha. Wanadai jamaa hawezi kuwaelewa, walishagombana tayari na hawapokelei kabisa simu zao.
Nmemtafuta shemej, anachosema ni kwamba, kama kweli mkewe aliondoka na mimba yake ile mwezi Mei Mwaka jana walipogombana, basi mwaka huu mwezi January au February alitakiwa awe tayari keshajifungua mtoto.
Sasa hivi Ni mwezi March, ni miezi 11 tangu mkewe aondoke bado ni mjamzito hajajifungua, hivyo kwa vyovyote vile ile mimba sio yake. Kaipatia huko huko kwa ndugu zake na kwa tafsiri hiyo, hamna ndoa tena hapa.
Kiukweli mpaka sasa kichwa kimepata moto, sielewi nifanye nini dada yangu akae sawa maana analia muda wote (na hii mimba alionayo nahisi itamletea shida au huenda akajidhuru).
Pia nishauri nini kifayike ikiwezekana arudiane na mumewe, maana jamaa hataki hata kumskia mkewe wala habari zake na kahama kabisa pale nyumbani, kaenda kupanga sehemu nyumba nyingine kabisa.
Nawasilisha.[emoji120]
amejifungua au bado [emoji205]
kama tayari ni mtoto wa kike au wa kiume....
ndugu mtoa hoja,
nina maswali madogo mengine ya nyongeza, yenye sehemu A, B na C kama ifuatavyo.....
A. ulipompokea alipokimbia nyumba yake mwenyewe na kuja kuishi nawe kidogo, ulimuona kweli sister alikua mjamzito?
B. Je, sister alikudokezea kinagaubaga kisa na mkasa wa kuikimbia nyumba yake na kukimbilia kwako [emoji205]
C. Je, mkeo alilipokeaje jambo hili na alikushauri nini [emoji205]
Yaan familia ikishakua na wadada wengi, Ni full kulishana ujinga TU afu wakishaharibu uko ndo wanatukumbuka mabrother wao[emoji35]Kama ungekuwa ni wewe ungekubali kumpokea?
Hapo hana ndoa tena. Baadhi ya wanawake visirani halafu wanachukulia maisha kirahisi rahisi wakati umri bado wadogo hawajajua Dunia Iko na mambo mengi.
Miezi 11 mtu hayupo kwa mumewe Leo hii analazimisha kurudi na kashibishwa ,ni mwanaume gani anaweza kushawishiwa kirahisi hivyo?
Mhudumieni akijifungua mpeni mtaji achome hata maandazi ajihudumie aishi mwenyewe.
Kwanza,aache kunyonya ndio ataacha utoto, kuna kipindi unatakiwa uzibe masikio, wakati wako wa kusuisha ulishapita, fanya yakoNdoa ni ya watu wawili ukiweka mtu wa tatu lazima ivunjike...
Mwambie dada yako Aache utoto...
MkuuWakuu,
Mwezi Mei Mwaka jana kuna dada yangu mmoja aligombana na Mumewe na kukimbilia kwangu, Nilipoongea na Mumewe, akasema yeye Hana tatzo nae, arudi TU wayamalize.
Nilipomsihi dada arudi wakayamalize, akawa hataki, anang'ang'ania aendelee kuishi kwangu tu. Nikaamua kumfukuza aondoke, kwangu Sina nafasi ya kuhifadhi MKE wa mtu mimi.
Kumbe alivotoka kwangu akahamia kwa ndugu wengine wakampokea akaishi. Nikawa naskia TU, sasa dada anakaa kwa ndugu flani, Mara kahamia kwa ndugu mwingine, kwa mumewe kagoma kabisa kurudi.
Nmewasihi ndugu zangu sio vizuri kukaa na MKE wa mtu majumbani kwenu, hawataki kunielewa, wanadai namtetea sana mume wa dada yangu, nataka mpk afe ndo nijue mumewe ni mnyanyasaji wa kijinsia.
Wakasema kama mumewe anamtaka mkewe Basi amfate mwnyw ukweni na akaiombe radhi familia, vinginevyo asahau kabisa Kama alishawai kumuoa ndugu Yao. Nikaamua kujiweka kando na hayo Mambo.
Amekuja kurudi kwa mumewe mwezi huu tar 02 (miez 11 imepita) akiwa na mimba ya kubwa sana. Mumewe kagoma kabisa kumpokea akidai mkewe aliondoka akiwa Hana mimba, inakuaje arud kwake akiwa na mimba? Hiyo mimba sio yake.
Nmemhoji dada yangu, anadai ile mimba ni ya mumewe 100% na aliondoka nayo, ila alishindwa kumtaarifu mumewe kutokana na ugomvi uliokuepo Kati yao.
Ndugu waliomhifadhi miezi yote hiyo wananipigia kunisihi niongee na shemej yangu, ampokee mkewe maana ni mjamzito sn anaweza kujifungua muda wowote. Nimewaambia hiyo kazi siifanyi, fanyeni nyie wenyewe mlioyasababisha. Wanadai jamaa hawezi kuwaelewa, walishagombana tayari na hawapokelei kabisa simu zao.
Nmemtafuta shemej, anachosema ni kwamba, kama kweli mkewe aliondoka na mimba yake ile mwezi Mei Mwaka jana walipogombana, basi mwaka huu mwezi January au February alitakiwa awe tayari keshajifungua mtoto.
Sasa hivi Ni mwezi March, ni miezi 11 tangu mkewe aondoke bado ni mjamzito hajajifungua, hivyo kwa vyovyote vile ile mimba sio yake. Kaipatia huko huko kwa ndugu zake na kwa tafsiri hiyo, hamna ndoa tena hapa.
Kiukweli mpaka sasa kichwa kimepata moto, sielewi nifanye nini dada yangu akae sawa maana analia muda wote (na hii mimba alionayo nahisi itamletea shida au huenda akajidhuru).
Pia nishauri nini kifayike ikiwezekana arudiane na mumewe, maana jamaa hataki hata kumskia mkewe wala habari zake na kahama kabisa pale nyumbani, kaenda kupanga sehemu nyumba nyingine kabisa.
Nawasilisha.[emoji120]
Kilichokuondoa ni manyanyaso ya mumewe na kinachomrudisha kwa mumewe ni mimba ya jamaa mwingine.Wakuu,
Mwezi Mei Mwaka jana kuna dada yangu mmoja aligombana na Mumewe na kukimbilia kwangu, Nilipoongea na Mumewe, akasema yeye Hana tatzo nae, arudi TU wayamalize.
Nilipomsihi dada arudi wakayamalize, akawa hataki, anang'ang'ania aendelee kuishi kwangu tu. Nikaamua kumfukuza aondoke, kwangu Sina nafasi ya kuhifadhi MKE wa mtu mimi.
Kumbe alivotoka kwangu akahamia kwa ndugu wengine wakampokea akaishi. Nikawa naskia TU, sasa dada anakaa kwa ndugu flani, Mara kahamia kwa ndugu mwingine, kwa mumewe kagoma kabisa kurudi.
Nmewasihi ndugu zangu sio vizuri kukaa na MKE wa mtu majumbani kwenu, hawataki kunielewa, wanadai namtetea sana mume wa dada yangu, nataka mpk afe ndo nijue mumewe ni mnyanyasaji wa kijinsia.
Wakasema kama mumewe anamtaka mkewe Basi amfate mwnyw ukweni na akaiombe radhi familia, vinginevyo asahau kabisa Kama alishawai kumuoa ndugu Yao. Nikaamua kujiweka kando na hayo Mambo.
Amekuja kurudi kwa mumewe mwezi huu tar 02 (miez 11 imepita) akiwa na mimba ya kubwa sana. Mumewe kagoma kabisa kumpokea akidai mkewe aliondoka akiwa Hana mimba, inakuaje arud kwake akiwa na mimba? Hiyo mimba sio yake.
Nmemhoji dada yangu, anadai ile mimba ni ya mumewe 100% na aliondoka nayo, ila alishindwa kumtaarifu mumewe kutokana na ugomvi uliokuepo Kati yao.
Ndugu waliomhifadhi miezi yote hiyo wananipigia kunisihi niongee na shemej yangu, ampokee mkewe maana ni mjamzito sn anaweza kujifungua muda wowote. Nimewaambia hiyo kazi siifanyi, fanyeni nyie wenyewe mlioyasababisha. Wanadai jamaa hawezi kuwaelewa, walishagombana tayari na hawapokelei kabisa simu zao.
Nmemtafuta shemej, anachosema ni kwamba, kama kweli mkewe aliondoka na mimba yake ile mwezi Mei Mwaka jana walipogombana, basi mwaka huu mwezi January au February alitakiwa awe tayari keshajifungua mtoto.
Sasa hivi Ni mwezi March, ni miezi 11 tangu mkewe aondoke bado ni mjamzito hajajifungua, hivyo kwa vyovyote vile ile mimba sio yake. Kaipatia huko huko kwa ndugu zake na kwa tafsiri hiyo, hamna ndoa tena hapa.
Kiukweli mpaka sasa kichwa kimepata moto, sielewi nifanye nini dada yangu akae sawa maana analia muda wote (na hii mimba alionayo nahisi itamletea shida au huenda akajidhuru).
Pia nishauri nini kifayike ikiwezekana arudiane na mumewe, maana jamaa hataki hata kumskia mkewe wala habari zake na kahama kabisa pale nyumbani, kaenda kupanga sehemu nyumba nyingine kabisa.
Nawasilisha.[emoji120]
nashukuru kwa majibu mazuri ila nina ushauri moja mdogo tu kama itaonekana inafaa πA: wakati nampokea hakua na mimba na wala hajawai kunambia chochote khs kua na mimba mpk anarud kwa mumewe
B: Alinieleza kisa Nini, nikaona kisa chenyewe ni kama hakina kichwa Wala miguu, Ni mdomo tu wa dada yangu ndo umepemponza, ila nikamsihi tu arudi kwa Mumewe wakayamalize.
Dada Akadai hawez Kurudi mumewe atamdhuru, Nikampigia shemej yangu, Akasema Ni Mambo madg sn ayo, atayamaliza mwnyw TU Na mkewe, nisiwe na presha. Basi sikuendelea kuhoji sn, Nikamuuliza vp nimlete sahv myamalize kabisa au vp?.
Akasema hata akipumzika kwako Haina shida, ila kesho arud TU nyumbn, Hana tatzo nae Zaid ya mdomo mdomo wake ndo umepelekea kampiga vile. Nikasema POA, atalala kwangu ila kukicha ntamleta. Akasema POA, tumeagana Safi TU.
C: MKE wangu anaumizaa na yanayoendelea kwa wifi Yake, anatamanisha sn nifanye Jambo arudiane na mumewe,maana anaamini ni Mimi pekee kwny familia nnae elewana na yule mmewe
Na hili nadhan ndo linaleta shida sanaMiezi 11 hayupo nyumbani halafu anapata ujasiri wa kusema hio mimba ya mumewe[emoji23]
Sent from my Infinix X650B using JamiiForums mobile app