Ushauri: Ndugu wameharibu ndoa ya dada yangu

Semina ndeeefu ila points less
 
Doh yani hapo sasa kama hela ipo na wapo tayari kufanya DNA waende tu sababu ukijaribu kuangalia kuna utata hapo mwanaume namuelewa na mwanamke namuelewa ila kuna jambo lazima lifanyike kuweka hali ya kuaminiana tena.
DNA ya nini ndg yg ?..... wewe ulisikia wapi mimba ya binadamu inakuwa miezi 11/12

Sent from my Infinix X657B using JamiiForums mobile app
 
Ikiwa mwanaume anayo akili timamu hakuna jambo la kusolve na mwanamke mzinzi.
 
Mke aondoke kwa hiari yake nianze kutafuta suluhu ukweni?
Tabia za kike hizi
 
Kama ni mkristo ajiunge na kanisa la Mchungaji Christiana Shusho Mala..ya mwenzie.
 
Mke aondoke kwa hiari yake nianze kutafuta suluhu ukweni?
Tabia za kike hizi
Mkeo hawezi kuondoka kwa hiari bila ya migogoro bhana.

Na huwa kipindi hicho maelewano kati yake na wewe yameshindikana.

Lazima uelewe kuwa mgogoro unapotokea, kila mmoja hujiona yupo sahihi kwa upande wake hadi pale mtu mwingine atakapowasikiliza na kuchuja naneno ndiyo atagundua mwenye kosa ni yupi, aweza kuwa wewe au mkeo.

Sasa mke anapokimbilia kwao huwa kapima kuwa katika mgogoro huo yeye anakandamizwa, hivyo kwenda kwao huwa ni njia ya kutafuta suluhuhasani.

Hivyo kumfuata kwako kwao siyo tabia ya kike bali ni njia sahihi ya kumaliza mgogoro wenu.
 
Kwa mara ya kwanza umeandika uzi mfupi. Hongera mkuu umeanza ku improve
 
Ilkua sio mara ya kwanza au ya pili,KILA aligombana na mumewe anakimbilia kwangu, This time sikutaka tena huo upuuzi
Wewe ndo mzembe kwa nn usingemuita uyo mume mkaja kuyaongea na kuyamaliza wakiwa pande zote mbili wapo wewe utamwambiaje tu arud kwa mumewe bila kujua sababu zilizomfsnya aondoke
 
nasisitiza mwanaume wa ukweli haendi ukweni kutafuta suluhu na mkewe.
 
Anko wangu siku aligombana na mkewe na ulikuwa usiku wa saa sita wanapokaa ni karibu na wazazi wote wa mke na mume.

Walivyogombana mwanamke usiku usiku akaenda kwao akawakuta wazazi wake wamelala akawagongea kuulizwa haya vipi saizi akasema mmewe kampiga kwaiyo kaona bora akimbie asije akafa

Mama mtu akataka kumkaribisha ndani ila mzee akagoma akasema hizo taarifa ni za upande mmoja kwaiyo hawezi kumpokea kwani yeye ni mke wa mtu hata kama ni mwanae, mzee akamtimua japo ni usiku sana.

Anko alivoona mke kaondoka na hajui alipokwenda alienda kutoa taarifa kwa kwa wakwe kwamba mkewe kakimbia hajui alipokwenda na usiku ule basi mzee akamwambia alifika muda huu tukamrudisha huko basi alienda home ila hakumkukuta akaingia ndani akambonji hata dk kadhaa hazikukata anasikia mtu anagonga kufungua ni mkewe mahojiano yakaanza ila baadae walielewana na maisha yakaendelea hadi leo wapo pamoja.

Funzo: hapo hukutakiwa kumpokea kabisa hata kwa sekunde ila ungemwambia aje na mwenzie wajieleze wote ungenusuru ndoa ya dada ako.
 
Uwa nakuona una hekima na busara sana hapa umepotoka pakubwa sana. Umekosea umemtukana na kumdhalilisha mtu bila aibu.
Msamehe,
Nafikiri alichofikiria ni kuwa, huyu mleta uzi ni kaka wa mchongo wa huyo dada, (kaka koko)
Hivyo alimpokea--alimpokea kweli na baadaye akamshauri aende kwa nduguze.
Nje na mawazo hayo amekosea mno

Ushauri wangu ni kwamba ahangaikei afya yake ajifungue salama, akae bench mpaka mme wake atakapofanya sub🤣🤭
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…