petro matei
JF-Expert Member
- May 11, 2014
- 803
- 937
Kwa heshima ya jina la bagamoyo na pia ukuaji wake wa kimaendelea ya kimkakati kama bandari inayoambatana pamoja ukanda maalumu Eneo Maalum la Kiuchumi la Bagamoyo (Bagamoyo Special Economic Zone – BSEZ),
Sasa ni muda kwa Mkoa wa Pwani kugawanywa
Wilaya Bagamoyo
Wilaya kibaha
Wilaya chalize
Ichanganywe na wilaya ya Mkata
Kupitia hizi wilaya nne tupate Mkoa wa Bagamoyo.
Na Mkoa wa Pwani ubaki
Wilaya ya kibiti
Wilaya ya rufiji
Wilaya ya kisarawe
Wilaya ya mafia
Wilaya ya mkuranga
Hapo pia tutakuwa tumeweka Mkoa wa Pwani kueleweka vizuri
Sasa ni muda kwa Mkoa wa Pwani kugawanywa
Wilaya Bagamoyo
Wilaya kibaha
Wilaya chalize
Ichanganywe na wilaya ya Mkata
Kupitia hizi wilaya nne tupate Mkoa wa Bagamoyo.
Na Mkoa wa Pwani ubaki
Wilaya ya kibiti
Wilaya ya rufiji
Wilaya ya kisarawe
Wilaya ya mafia
Wilaya ya mkuranga
Hapo pia tutakuwa tumeweka Mkoa wa Pwani kueleweka vizuri