AfricaUnited
JF-Expert Member
- Jul 31, 2010
- 2,367
- 1,293
"Anyone who stops learning is old, whether at twenty or eighty. Anyone who keeps learning stays young. The greatest thing in life is to keep your mind young.Henry Ford"
Ni dhahiri kuwa nchi nyingi za africa na baadi nje ya africa,asilimia kubwa ya watu hutumia mda mwingi kuangalia television,kusoma magazeti ya udaku,na mambo yasiyo yamsingi.
Pia mimi nilishakuwa na tabia hiyo wakati nikiwa kidato cha pili, lakini baada ya kuona hayana msingi sana, basi nkaanza kuwa na utaratibu wa kujisomea vitabu vya ziada na kupata kujua mengi kwa kadiri nilivyoweza kupata maarifa kwenye vitabu hivyo.
Sasa ni muda wa kuyafanyia kazi yale niliyo jifunza, na bado naendelea kujifunza kila siku.
Ni vema pia ukasoma nyuzi hizi: Utamaduni wa kujisomea, kuelewa na siasa za Tanzania & Hivi ndivyo tabia ya kupenda kujisomea ilivyoboresha Maisha yangu. Inawezekana hata kwako pia
Ni dhahiri kuwa nchi nyingi za africa na baadi nje ya africa,asilimia kubwa ya watu hutumia mda mwingi kuangalia television,kusoma magazeti ya udaku,na mambo yasiyo yamsingi.
Pia mimi nilishakuwa na tabia hiyo wakati nikiwa kidato cha pili, lakini baada ya kuona hayana msingi sana, basi nkaanza kuwa na utaratibu wa kujisomea vitabu vya ziada na kupata kujua mengi kwa kadiri nilivyoweza kupata maarifa kwenye vitabu hivyo.
Sasa ni muda wa kuyafanyia kazi yale niliyo jifunza, na bado naendelea kujifunza kila siku.
Ni vema pia ukasoma nyuzi hizi: Utamaduni wa kujisomea, kuelewa na siasa za Tanzania & Hivi ndivyo tabia ya kupenda kujisomea ilivyoboresha Maisha yangu. Inawezekana hata kwako pia