Ushauri: Nianze degree nyingine au niendelee masters then PhD

We si unachezea Simba? Unataka kuacha mpira?
 
Hapana mkuu Ni katika kutafuta jinsi ya kupata ajira
Hiyo sababu it's not strong enough. Tumia maarifa na taarifa uliyopata kutoka kwenye degree ya uchumi na fedha kujifunza jinsi ya ku create business na kuifanya physically hilo litakupa reallife experience hence utaona cash. Biashara inatendwa, sio inasomwa.
 
Shukrani mkuu
 
Kusoma degree nyingi hivo aafu unaishia kufanya kazi serikalini ni kupoteza muda. Kwa gharama za fedha na muda alizotumia ni hasara labda km kaajiliwa kwenye shirika, ila km ni Halmashauri hapo elimu yake inakuwa useless kabisa+ mshahara mdogo anaishia kuwa na stress tu.
 
Ndugu yangu siku hizi kusoma na kupata kazi ni km kamali. Kuna mtu anaweza kusomea kitu cha kawaida ambacho kwa mtazamo wa wengi ni km kapotea. Ila unashangaa baada ya kumaliza tu anapata kazi. Mwingine anakomaa na Engineering au udaktari lakini baada ya kumaliza hapati kazi. Muhimu mshirikishe Mungu ajuaye kesho yetu.Yeye ndo anajua bahati yako ilipo mwanadamu ataishia kukuchanganya.
 
Sasa matusi ya nini?
Samahani sijaongea ulichotaka kusikia.
Unafikiri nikienda huko naenda kuomba kazi.

Kwa taarifa yako mara nyingi naongea na DED masuala ya pesa.

Ukienda Halmashauri yoyote unayoijua hasa idara ya fedha kazi nyingi zinafanywa na mfumo.Lazima ushangae ikiwa mfumo unaohitaji wahasibu wasiozidi 2 hao wengine wa nini !.

Unapozungumzia fani ya uhasibu katika zama hizi kazi nyingi hazihitaji watu wengi kama zamani.Mfano Account payable,receivable,Salary .... zilihitaji watu zaidi ya 5 leo unahitaji package na mtu mmoja.

Nafahamu siku hizi Serekali kuu na hata mashirika ya Serekali yanatumia package Muse sijui kama spelling zipo sawa hazihitaji wahasibu wengi kama zamani ndio maana ni kasema hawana kazi !.
 
Kwa iyo kwa wewe kwenda kuongea na DED hapo halmashauri basi umeshajua kazi na majukumu ya wahasibu wa hapo na umejua kuwa hawana kazi na CPA zao?

Onyesha hekma yako, ficha upumbavu wako.
 
Kwa iyo kwa wewe kwenda kuongea na DED hapo halmashauri basi umeshajua kazi na majukumu ya wahasibu wa hapo na umejua kuwa hawana kazi na CPA zao?

Onyesha hekma yako, ficha upumbavu wako.
Naweza kukuajiri wewe na Baba yako,hata hela ya bando inakusumbua.

Kama naongea na DED maana yake mimi ni Suppler au mkandarasi.

Kama naongea na DED maana yake DT kashindwa kunilipa.

Kama naongea na DED maana yake wahasibu wote waliochini ya DT ni wababaishaji.

Kama najua siku hizi malipo yote yanafanyika ndani mfumo na mfumo unahitaji wahasibu wachache,hizi CPA zilizojazana hapo za nini ?.

Sasa kati yangu mimi na wewe nani mpumbavu.
 
Wewe ni mpumbavu. Upumbavu sio tusi ni sifa ya mtu kama wewe.
Mpumbavu ni mtu anaeshupaa akiambiwa ukweli.
Mpumbavu siku zote anajiona anajua kuliko wengine. Ni mpumbavu peke yake ndie anaweza kumwambia mtu asiemjua atamwajiri!
 
"MOYO WA MTU ULIPO NDIPO NA HAZINA YAKE ILIPO"Nilipata situation kama yako nilisoma bachelor of Engineering na kazi nikapata ,lakini nilikuwa napenda sana udaktari. Nilianza kusoma Diploma in clinical medicine , nikaajiliwa nakarudi tena Medicine (MD) .Watanzania wengi sana walicheka na hata kufikia hatua ya kuniita aliyechanganyikiwa , wengine walisema nina poteza muda .Kwasasa nafanya kazi ninaenjoy haswa naipenda kazi hii na mafanikio mengi nayaona kwa kuwa MOYO WANGU ULIKUWA KWENYE TAALUMA HII na hivyo na hazina yangu ipo huku.
 
Safi mkuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…