Sijui kuhusu Subaru, ila achana na iyo BMW 2.0 achana nayo kabisa, BMW sio wazuri sana kwenye kutengeza 4 cylinders inline.
Nashauri kama utataka BMW chukua ya kuanzia cc 2500 ya 6 cylinders. Kwa huo mwaka itakua BMW F25 2013, 3.0L N52 hii haina turbo au N55 I6 hii ina twin turbo (sikushauri sana).
Ukijipush ya 2014 waliifanyia update kidogo ya muonekano (facelift)
Mfano kabla ya Facelift 2013 ilikua hivi:
View attachment 2572555
Hafu baada ya Facelift ikawa hivi:
View attachment 2572556
Hawa jamaa kwenye 6 cylinders walituliza mabichwa aisee.
Nashauri afuate ushauri huu.Sijui kuhusu Subaru, ila achana na iyo BMW 2.0 achana nayo kabisa, BMW sio wazuri sana kwenye kutengeza 4 cylinders inline.
Nashauri kama utataka BMW chukua ya kuanzia cc 2500 ya 6 cylinders. Kwa huo mwaka itakua BMW F25 2013, 3.0L N52 hii haina turbo au N55 I6 hii ina twin turbo (sikushauri sana).
Ukijipush ya 2014 waliifanyia update kidogo ya muonekano (facelift)
Mfano kabla ya Facelift 2013 ilikua hivi:
View attachment 2572555
Hafu baada ya Facelift ikawa hivi:
View attachment 2572556
Hawa jamaa kwenye 6 cylinders walituliza mabichwa aisee.
Kabla haujanunua BMW, angalia mtaani kwenu unaziona namba C ngapi? Au namba D za mwanzo mwazo DA, DB, DC hadi kama DJ kurudi. Kama hamna jiulize zilikua hazinunuliwi au zimeenda wapi? (Hii sio topic kuu just jiulize mwenyewe)Kwahiyo mkuu hata X1 1st generation cc 1990 sio reliable? Ndo maana wengi wanazicheua bei ya kutupa
Unakuta mpya kbs namba DV au DZ inauzwa 15 tu
Nina swali kidogo ndugu yangu kuhusu BMW hasa baada ya ushauri wako juu ya 4 cylinder engine...hata Mimi Nina hesabu juu ya BMW 320i au 328i( 6- inline engine) vipi Kwa uzoefu wako ni ipi itanifaa zaidiSijui kuhusu Subaru, ila achana na iyo BMW 2.0 achana nayo kabisa, BMW sio wazuri sana kwenye kutengeza 4 cylinders inline.
Nashauri kama utataka BMW chukua ya kuanzia cc 2500 ya 6 cylinders. Kwa huo mwaka itakua BMW F25 2013, 3.0L N52 hii haina turbo au N55 I6 hii ina twin turbo (sikushauri sana).
Ukijipush ya 2014 waliifanyia update kidogo ya muonekano (facelift)
Mfano kabla ya Facelift 2013 ilikua hivi:
View attachment 2572555
Hafu baada ya Facelift ikawa hivi:
View attachment 2572556
Hawa jamaa kwenye 6 cylinders walituliza mabichwa aisee.
Ukiona 320i ujue ina cc 1990 kwahiyo ni 4 cylinders inline.Nina swali kidogo ndugu yangu kuhusu BMW hasa baada ya ushauri wako juu ya 4 cylinder engine...hata Mimi Nina hesabu juu ya BMW 320i au 328i( 6- inline engine) vipi Kwa uzoefu wako ni ipi itanifaa zaidi
Kitu Forester mwamba🏃Kati ya gari hizi mbili ambazo naona kwasasa zinanunuliwa sana kwenye miji mikubwa zikiwa na namba E, ipi inafaa zaidi kwa matumizi ya kawaida ya mjini.
Zote ni 2.0 AT petrol za mwaka 2013/14 na zote ni all wheel drive/4WD.
Wenye uzoefu na hizi gari msaada.
Budget yake ni kuanzia 43m mpaka 50m kwasasa.
View attachment 2572508
View attachment 2572511
Mkuu unatokea Mahuta shimoni au Nanjilinji?Kitu Forester mwamba🏃
Newala kwa wala samaki Nchanga😂Mkuu unatokea Mahuta shimoni au Nanjilinji?
Hapo sawa mkuu 😂😂Newala kwa wala samaki Nchanga😂