Ushauri: Nichague ipi kati ya BMW X3 2013 au Subaru Forester 2013

Ushauri: Nichague ipi kati ya BMW X3 2013 au Subaru Forester 2013

Kabla haujanunua BMW, angalia mtaani kwenu unaziona namba C ngapi? Au namba D za mwanzo mwazo DA, DB, DC hadi kama DJ kurudi. Kama hamna jiulize zilikua hazinunuliwi au zimeenda wapi? (Hii sio topic kuu just jiulize mwenyewe)

Upo sahihi. X1 ya E84 nayo wana 4 cylinders engine yenye code N46 na wana 6 cylinders engine yenye code N52 na N55 ya turbo.

Oya, N52 engine aisee.

Nikiamini mtu anaenunua gari la Mil 40+ (mtoa mada) hawezi sema ulaji wa mafuta vipi?

Hili la kuangalia mtaani sikubaliani nalo kabisa….maana kusema ukweli sisi wabongo tunaigana sana….watu tuna nunua magari kwa kuiga tu na si kingine….ndio maana subaru xt nyingi mtaani,harrier,vangard nk kwa kuwa tunaiga iga na waoga wa maisha.
 
Bro unataka nini kwenye gari?

Prestige, efficiency?

Reliability?

Hebu tuanzie hapo.

Maana bei za spea wote mtalilia vichakani.

Japo kwa kuanza tu, BMW X3 ina vitu 3 vinakusubiri kwa hamu.

1. Timing chain assembly.
2. Expasion tank, Thermostat na Water pump.
3. Top cover gasket na Oil filter housing gasket.

Hiyo moja na mbili tembelea gari yako ila ukianza kusikia kelele kwenye engine za kugonga au coolant kupungua fanya maamuzi haraka sana.

Hiyo namba 3 usiwahi kuignore leak yoyote ya engine Oil, yatakufika makubwa.

On your list kwa miaka hiyo ongeza Audi q5 au VW tiguan with 2.0TFSI engine, Kwa miaka hiyo utapata engine ya ea888 ambayo ni 3rd generation. Moja kati ya best recent engine kuwahi kutengenezwa na VW group.

Kazi kwako.
Kuna gari zimeanza kuingia sasa hivi zinaitwa Mitsubishi RVR na kuna nyingine inaitwa subaru impreza G4..Hiyo Subaru ni fuel economy vipi kwenye upande mwingine kama vile performance na reliability?
 
Kati ya gari hizi mbili ambazo naona kwasasa zinanunuliwa sana kwenye miji mikubwa zikiwa na namba E, ipi inafaa zaidi kwa matumizi ya kawaida ya mjini.

Zote ni 2.0 AT petrol za mwaka 2013/14 na zote ni all wheel drive/4WD.
Wenye uzoefu na hizi gari msaada.

Budget yake ni kuanzia 43m mpaka 50m kwasasa.

View attachment 2572508
View attachment 2572511

Chukua any of them ila zitokee Japan. If you can afford maintenance schedules za BMW chukua tuu. Gharama za genuine parts for both cars ziko similar
 
Ulikua ugonjwa wangu huu. Nikawa nanunua pumps za kichina za 750k na thermostat za 300k nilibadirisha mara 2 kwa mwaka hivi. Nobble Cars wakaja niuzia moja ya kijerumani 1,500K na thermostat ya 850K ndio vilikaa hadi nauza.

Nikiona BMW E90 njiani nacheka tu.
Aiseee bora hata ww hizo zilikuwa zinakaa baada ya muda ndio inakudai.

Kuna spea za kichina ukifunga kwenye BMW zitakachokufanyia utaona afadhali ile mbovu ambayo umetoa.

Kuna X3 ya N52 tulibadili Crankshaft position sensor. Kwenye hiyo engine hiyo sensor ipo chini starter motor. Ili uifikie lazima intake manfold litoke.

Kufunga ya kichina kwanza connector hata haishiki vizuri. Zile kashkashi za kurudishia intake manfold kuna muda connector inachomoka.

Kuja kuwasha loh, chuma unaweza ukatekenya hata sekunde 10 au 15 ndio ikawaka. Mbona tulirudisha hiyo sensor.
 
…kama ukiwahi kutoa dpf na kufanya dpf delete kabla haijaua cylinder head gasket na turbo. Na si comfortable sana kama hizo nyingine. Haya ni mapungufu yake
Nitakutafuta unipe somo la Sky Active 2.2L D ya hawa jamaa.

Nawatamani ila nasikia DFP ni kichomi kwa izo Diesel.
 
Ila nimegundua za petrol bei yake imechangamka kidogo kuliko za diesel, hv hyo automation hapa bongo inafanyika au ni mpaka huko mambele

Kuna jamaa anaitwa KANYEGELO anasema ashawahi kufanya hiyo dpf delete hapa bongo ila kuiondoa physically anaweza fanya fundi wengi tu. Ila ukiondoa ni lazima uiprogram kuidanganya kuwa dpf ipo bado au inafanya kazi vizuri.
 
Sijui kuhusu Subaru, ila achana na iyo BMW 2.0 achana nayo kabisa, BMW sio wazuri sana kwenye kutengeza 4 cylinders inline.

Nashauri kama utataka BMW chukua ya kuanzia cc 2500 ya 6 cylinders. Kwa huo mwaka itakua BMW F25 2013, 3.0L N52 hii haina turbo au N55 I6 hii ina twin turbo (sikushauri sana).

Ukijipush ya 2014 waliifanyia update kidogo ya muonekano (facelift)
Mfano kabla ya Facelift 2013 ilikua hivi:

View attachment 2572555
Hafu baada ya Facelift ikawa hivi:

View attachment 2572556
Hawa jamaa kwenye 6 cylinders walituliza mabichwa aisee.
3.0 consumption ni kubwa (petrol) pengine ni bora hata x5 zile za 2007-2009.
Naziona nyingi hizi 2.0, kama hutojali tatizo lake ni nini hasa?
 
watu wangejua utamu wa Subaru, wasingekua wanajiuliza... Subaru yoyote ichukue tu
Subaru nzuri ila pia ina "personality" zake😆🤣 vijana walioanza kuwa nazo "machekibobu" au "subaru boys" wenye tabia zao basi hufanya kila muendesha subaru kuonekana wa hivyo.
Yote kwa yote jinsi wanavyozikimbiza zinaonekana ni gari poa.
 
Kabla haujanunua BMW, angalia mtaani kwenu unaziona namba C ngapi? Au namba D za mwanzo mwazo DA, DB, DC hadi kama DJ kurudi. Kama hamna jiulize zilikua hazinunuliwi au zimeenda wapi? (Hii sio topic kuu just jiulize mwenyewe)

Upo sahihi. X1 ya E84 nayo wana 4 cylinders engine yenye code N46 na wana 6 cylinders engine yenye code N52 na N55 ya turbo.

Oya, N52 engine aisee.

Nikiamini mtu anaenunua gari la Mil 40+ (mtoa mada) hawezi sema ulaji wa mafuta vipi?
Ushauri mzuri sana BMW zinasumbua sana vichwa kwetu Africa, huwa naona afadhali Volkswagen na Audi.
 
Bro unataka nini kwenye gari?

Prestige, efficiency?

Reliability?

Hebu tuanzie hapo.

Maana bei za spea wote mtalilia vichakani.

Japo kwa kuanza tu, BMW X3 ina vitu 3 vinakusubiri kwa hamu.

1. Timing chain assembly.
2. Expasion tank, Thermostat na Water pump.
3. Top cover gasket na Oil filter housing gasket.

Hiyo moja na mbili tembelea gari yako ila ukianza kusikia kelele kwenye engine za kugonga au coolant kupungua fanya maamuzi haraka sana.

Hiyo namba 3 usiwahi kuignore leak yoyote ya engine Oil, yatakufika makubwa.

On your list kwa miaka hiyo ongeza Audi q5 au VW tiguan with 2.0TFSI engine, Kwa miaka hiyo utapata engine ya ea888 ambayo ni 3rd generation. Moja kati ya best recent engine kuwahi kutengenezwa na VW group.

Kazi kwako.
Sahihi Mkuu nimekuwa nikiwaambia wanunuzi wengi bora kuchukua Volkswagen au Audi mifumo yake sio complex kama BMW na Mercedes.
 
Bro unataka nini kwenye gari?

Prestige, efficiency?

Reliability?

Hebu tuanzie hapo.

Maana bei za spea wote mtalilia vichakani.

Japo kwa kuanza tu, BMW X3 ina vitu 3 vinakusubiri kwa hamu.

1. Timing chain assembly.
2. Expasion tank, Thermostat na Water pump.
3. Top cover gasket na Oil filter housing gasket.

Hiyo moja na mbili tembelea gari yako ila ukianza kusikia kelele kwenye engine za kugonga au coolant kupungua fanya maamuzi haraka sana.

Hiyo namba 3 usiwahi kuignore leak yoyote ya engine Oil, yatakufika makubwa.

On your list kwa miaka hiyo ongeza Audi q5 au VW tiguan with 2.0TFSI engine, Kwa miaka hiyo utapata engine ya ea888 ambayo ni 3rd generation. Moja kati ya best recent engine kuwahi kutengenezwa na VW group.

Kazi kwako.
Nashukuru kwa ufafanuzi, kikubwa baada ya kutumia toyoda kwa muda na kusikia wadau wa bmw wanavyozisifia nikawaza sihaba kujaribu hizi brand nyingine.

Haswa ni kuwa na reliable, economical (kiasi) lakini pia gari zuri.

Vw tiguan/toureg pia sijui umahiri wake ukilinganisha na bmw x3.
 
Nashukuru kwa ufafanuzi, kikubwa baada ya kutumia toyoda kwa muda na kusikia wadau wa bmw wanavyozisifia nikawaza sihaba kujaribu hizi brand nyingine.

Haswa ni kuwa na reliable, economical (kiasi) lakini pia gari zuri.

Vw tiguan/toureg pia sijui umahiri wake ukilinganisha na bmw x3.

Reliability kwenye BMW inawezekana ila kama utaipa gari pesa nzuri.

X3 ni economical ukilinganisha na fuel economy huko ndo nyumbani. Huwezi nafanisha na gari ya kijapani yenye specs sawa.
 
Back
Top Bottom