Ushauri: Nichague ipi kati ya BMW X3 2013 au Subaru Forester 2013

Ushauri: Nichague ipi kati ya BMW X3 2013 au Subaru Forester 2013

Hizo gari zote spea ni kasheshe kama ela IPO chukua Subaru Achana na BMW itakusumbua Tu [emoji16]

Kama pesa ya madafu chukua IST .Alex. runx. vits
 
X3 ni unyama wa dunia nyingine. Acha kabisa linganisha hizo Dunia mbili tofauti.
 
Nairobi naona watata sana utadhani wao ndio wana eneo la Bandari kubwa kuliko sisi pana uchafu wa parts aina yeyote pale na pia wao kama Wamalawi tuu wanaburuza ndinga yeyote...aisee nimegundua sisi kweli wavimba macho na hii kodi iliyochangamka itatuua...
Wabongo Sisi ni tofauti kabisaa na majirani zetu.
Toyota wametuloga kuanzia serikalini Hadi mtaani
 
Juzi nilikuwa mwanza nikapata bahati ya kuendesha BMW X3 3.0 6 cylinders...bwana eeeh...chuma inafunguka alafu ndani liko vyema...mkuu kama pesa ipo vuta BMW X3..
 
Hizo gari zote spea ni kasheshe kama ela IPO chukua Subaru Achana na BMW itakusumbua Tu [emoji16]

Kama pesa ya madafu chukua IST .Alex. runx. vits

Mkuu hapa mtu anayelipwa kuanzia 3M - 5M unadhani ndinga ipi itamfaa?
 
Njee ya mada

Kati ya BMW 1 series na subaru impreza hipi ni nzuri kwa matumizi ya mtanzania wa kipato cha kawaida
 
Hakuna mutu ikosema ona Subaru ile inapita.
Chukua Baba Mama Watoto a.k.a BMW.
 
Gari ni spare, ukiweza funga genuine parts zake kwawakati husika. Hakika hakuna chuma chakijapani wala chakizungu
 
Gari ni spare, ukiweza funga genuine parts zake kwawakati husika. Hakika hakuna chuma chakijapani wala chakizungu

Umerahisisha sana. Wakati ni kweli hata spare original za kijapan ni ghali kuliko wengi wanavyofikiri, bado gari nyingi za Ulaya zina mifumo ‘sophisticated’ au wengine husema complicated kuliko gari nyingi za kijapan. Hii husababisha gari za Ulaya kuwa less reliable kuliko za kijapan na gharama za utunzaji pia kuwa kubwa kulinganisha na za Japan
 
Diesel tu ndo zina hizi shida. Za petrol hazina haja ya kufanya hivi. Petrol engines za 2.0 hazina power sana but economical, na za 2.5 zina power ila zinakunywa kidogo (kama unajali ulaji mafuta)
Advantage kubwa ya engine za diesel ni balance ya nguvu na consumption ya mafuta
Mkuu? Una mfahamu mtaalamu yeyote wa kuondoa DPF hapa Tz? Mimi nipo Dsm. Asante
 
Akili ambayo BMW wanatumia kwenye engine sio za kawaida, hapa iwe Toyota au Subaru forester hawawezi kufurukuta Kwa Nyanja zote
Mimi nimekuwa na Subaru Forester series tatu.

Kuanzia SG, SH hadi sasa SF, hizi i gari madhubuti sana.
Engine hazijawahi kusumbua, na hii nii almark ya engine za kijaan.
Na engine za Subaru ni rotary engines maana kihistoria waliotengeneza engine hizi walikuwa wanatengeneza engine za ndege.
Nipepiga long trip , latest mwezi uliopita mkoani 1000km(2000km return), Subaru unanyanyasa tu.

Tatizo ninaloliona ziko nyepesi, hivyo weka mzigo wa si chini ya kilo 100.
 
Mimi nimekuwa na Subaru series tatu.

Kuanzia SG, SH hadi sasa SF, hizi i gari madhubuti sana.
Engine hazijawahi kusumbua, na hii nii almark ya engine za kijaan.
Na engine za Subaru ni rotary engines maana kihistoria waliotengeneza engine hizi walikuwa wanatengeneza engine za ndege.
Nipepiga long trip , latest mwezi uliopita mkoani 1000km(2000km return), Subaru unanyanyasa tu.

Tatizo ninaloliona ziko nyepesi, hivyo weka mzigo wa si chini ya kilo 100.
Mkuu kwenye sofa za Subaru sina ubishi hata kidogo hata Mimi mwenyewe kipindi naagiza rumion nilikosa pesa ya kuongezeka nikaona Bora nichukue rumion ingawa matamanio yangu ilikuwa forests 2004 - 2007....
Najua Una uzoefu wa kutosha juu ya forester vipi kuhusu performance na handling ipi ina unyama mwingi Kati ya 2004-07 au hizi New model 2008 - 2013
 
Back
Top Bottom