Ushauri: Nichague ipi kati ya BMW X3 2013 au Subaru Forester 2013

Ushauri: Nichague ipi kati ya BMW X3 2013 au Subaru Forester 2013

Mkuu kwenye sofa za Subaru sina ubishi hata kidogo hata Mimi mwenyewe kipindi naagiza rumion nilikosa pesa ya kuongezeka nikaona Bora nichukue rumion ingawa matamanio yangu ilikuwa forests 2004 - 2007....
Najua Una uzoefu wa kutosha juu ya forester vipi kuhusu performance na handling ipi ina unyama mwingi Kati ya 2004-07 au hizi New model 2008 - 2013
Mkuu, Subaru yangu ya pili ilikuwa SG Turbo(2004-2008), hii inanyanyasa na ni hatari.
Na bado ninayo ingawaje naiuza sasa.
Ukisikia Subaru imepinduka mara nyingi ni hizi za Turbo.
Take off speed yake ni hatari, na usipokuwa na mkono wa ku control gari itakutupa mtaroni.

SH (2008-2013) ambayo nayo ninayo sasa, haina take off speed kali lakini baada ya 120km/hr nayo valve zinazibuka, kufika 150 hadi 160km/hr, nayo inanyanyasa.
Ni gari nyepesi na very maneuverable.
Ina nafasi kubwa zaidi ndani na ni comfortable.
Ila niseme ukweli tu kuwa coolant tank yake inaweza pasuka.
Bahati yangu ilipasuka nikiwa mjini.
 
Mkuu, Subaru yangu ya pili ilikuwa SG Turbo(2004-2008), hii inanyanyasa na ni hatari.
Na bado ninayo inhawaje nsiuza sasa.
Ukisikia Subaru imepinduka mara nyingi ni hizi za Turbo.
Take off speed yake ni hatari, na usipokuwa na mkono wa ku control gsri itakutupa mtaroni.

SH (2008-2013) ambayo nayo ninayo sasa haina take off speed kali lakini baada ya 120km/hr nayo valve zinazibuka, kufika 150 hadi 160km/hr nayo inanyanyasa.
Ni gari nyepesi na very maneuverable.
Ina nafasi kubwa zIdi ndani na ni comfortable.
Ila niseme ukweli tu kuwa coolant tank yake inaweza pasuka.
Bahati yangu ilipasuka nikiwa mjini.
Pamoja Sana kiongozi....
Hii gari aisee lazima niagize Tu hakuna namna
 
Mimi nimekuwa na Subaru Forester series tatu.

Kuanzia SG, SH hadi sasa SF, hizi i gari madhubuti sana.
Engine hazijawahi kusumbua, na hii nii almark ya engine za kijaan.
Na engine za Subaru ni rotary engines maana kihistoria waliotengeneza engine hizi walikuwa wanatengeneza engine za ndege.
Nipepiga long trip , latest mwezi uliopita mkoani 1000km(2000km return), Subaru unanyanyasa tu.

Tatizo ninaloliona ziko nyepesi, hivyo weka mzigo wa si chini ya kilo 100.
Mkuu kuna Jirani yangu anataka kuniuzia SF5 turbo ya mwaka 2000 vipi...kwa uzoefu wako unaonaje...ni pasua kichwa au Ni kama subaru nyingine?

Yeye ni mzee sasa ana miaka 65 na ni mtunzaji sana anazingatia service na huwa hasafiri nalo umbali mrefu sana...
 
Mkuu kuna Jirani yangu anataka kuniuzia SF5 turbo ya mwaka 2000 vipi...kwa uzoefu wako unaonaje...ni pasua kichwa au Ni kama subaru nyingine?

Yeye ni mzee sasa ana miaka 65 na ni mtunzaji sana anazingatia service na huwa hasafiri nalo umbali mrefu sana...
Siku hizi kucheki gari ni rahisi.
Agiza fundi wa Diagnostic Computer na atarun diagnostic check na faults zote kama zipo zitajulikana.
 
Ushaloa tayari! Kusikia mwanaume ananunua gari, ushaloa tayari 😀😀😀

Mimi mwanamke mbona nina magari kabla hii post ya Mwanaume😅😅😅
Yaani mawazo yako ni kwamba gari maliiiii sanaaaaaaa kiasi cha kutupimia uwezo wa kumiliki🤣🤣🤣🤣
Uje nikuazime nikupe na dereva mshamba wewe😣😏😏
 
Mkuu, Subaru yangu ya pili ilikuwa SG Turbo(2004-2008), hii inanyanyasa na ni hatari.
Na bado ninayo ingawaje naiuza sasa.
Ukisikia Subaru imepinduka mara nyingi ni hizi za Turbo.
Take off speed yake ni hatari, na usipokuwa na mkono wa ku control gari itakutupa mtaroni.

SH (2008-2013) ambayo nayo ninayo sasa, haina take off speed kali lakini baada ya 120km/hr nayo valve zinazibuka, kufika 150 hadi 160km/hr, nayo inanyanyasa.
Ni gari nyepesi na very maneuverable.
Ina nafasi kubwa zaidi ndani na ni comfortable.
Ila niseme ukweli tu kuwa coolant tank yake inaweza pasuka.
Bahati yangu ilipasuka nikiwa mjini.
Subaru habari nyingine. Niliwahi kutembea 400 Kms Kwa masaa machache. Nilipo speed limit Ni 120kph
 
Back
Top Bottom