Ushauri: Nichukue gari ipi kati ya hizi?

Ushauri: Nichukue gari ipi kati ya hizi?

Mkuu, hizi gari porini huko usiombe yakukute. Ni nzuri sana ila mazingira yetu hayafai kabisa ukipata hitilafu porini.

Kwa sasa nipo kwenye mchakato wa kuvuta JEEP grand cherokee 4.7cc V8 ila sitaingia nalo porini.

Hizo chuma zinauzwa Pesa mbuzi sana hasa ukilikuta la petrol hata ushuru wake TRA upo kawaida ila ndio uwe na kisima cha mafuta nyumbani...

Ni chuma zina nguvu sana....

Kama mafuta siyo tatizo.... go for it... Utaenjoy....
 
JEEP bei yake rafiki kidogo.


Ukiiacha hata mwezi ukija kuwasha haliwaki....

Hapo ujiandae na mipunga mirefu kuita mtu wa kuprogram immo ili liweze kuwaka...

Jeep nyingi zinawapasua watu kwa case hiyo ya immobilizer na case ya limp mode kwenye gearbox...

Ndio maana wanaziuza pesa mbuzi...

Ila ni bonge moja la gari....

Siku nikiwa na kisima cha mafuta nitalinunua tu.
 
Nawasalimu wakuu kwa jina la nguvu na uchakalikaji wetu.

Baada ya kupitia threads nyingi hapa na kujifunza mengi kuhusu magari nami natupia uzi hapa ili kupata ushauri.

Kiukweli mi mgeni sana wa magari hata kuendesha si mtaalam sana ila naweza sema sijakaa na gari tu nimesota kwa miaka 8 nasuhua bench kutimiza malengo mengine (nyumba ya wazazi kijijini nimemaliza na nyumba yangu mjini nimemaliza) nadhani mnajua ile hustle ya kuwa kichwa cha familia na umetoka kwenye umasikini wa kutupwa na baada ya kusoma ukoo mzima unakuangalia...😀😀😀😀.

Mwaka huu nimejipinda nami nivute gari ya maana kidogo kwa matumizi ya familia na route ndefu km kwenda kijijini huko... (Naishi kanda ya kaskazini kwa rafiki zangu akina Mangi huku ila mimi ni mnyantuzu(Msukuma) kutoka kanda ya ziwa huko😀😀😀

Bajeti yangu ya gari inaanzia 30M-40M hivi, sasa ushauri nichague gari gani kati ya hizi?
1.Toyota
-RAV 4 New Model
-Lenus RX
-Harrier (Hapana nakubali ushauri)
-Vanguard (Hapana nakubali ushauri)

2.Nissan
-Muranno
-QSHANAI
-Dualis (hapana ila nakubali ushauri)
-X-Trail (hapana ila nakubali ushauri

3. SUZUKI
-Escudo Grand (Seat 7)
-Escudo (Seat 5)

Bajeti yangu inaangukia kwenye mid/lower SUV cars.

Kingine nataka kuagiza kutoka Japan (kulingana na maoni ya humu) ilq kuna jamaa yangu nimemshurikisha akasema bora nichukue yard but mimi nasita sababu ya kupata uzoefu wa yard kupitia jukwaa hili.

Pia naukiza ni kampuni gani nzuri kuagiza kati ya hizi
1.Be forwarded
2.SBT Japan
3.Enhance Japan

Natanguliza shukrani wa ushauri wenu na asanteni
Escudo Grand watumie Be Forward no stress. Unalipia kwenye account Yao ya CRDB
 
Escudo Grand watumie Be Forward no stress. Unalipia kwenye account Yao ya CRDB
Bado sijanunua, baada ya kukaa muda nikagundua hizo zote nilizozisema hamna hata moja ambayo ambayo ingefit matakwa yangu
Saivi nipo nafukuzia Pajero
Nimedunduiza hadi saiv nina cash 33M nataka nipambane niangize SUV ya ukweli Fortuner au Pajero
 
Nawasalimu wakuu kwa jina la nguvu na uchakalikaji wetu.

Baada ya kupitia threads nyingi hapa na kujifunza mengi kuhusu magari nami natupia uzi hapa ili kupata ushauri.

Kiukweli mi mgeni sana wa magari hata kuendesha si mtaalam sana ila naweza sema sijakaa na gari tu nimesota kwa miaka 8 nasuhua bench kutimiza malengo mengine (nyumba ya wazazi kijijini nimemaliza na nyumba yangu mjini nimemaliza) nadhani mnajua ile hustle ya kuwa kichwa cha familia na umetoka kwenye umasikini wa kutupwa na baada ya kusoma ukoo mzima unakuangalia...😀😀😀😀.

Mwaka huu nimejipinda nami nivute gari ya maana kidogo kwa matumizi ya familia na route ndefu km kwenda kijijini huko... (Naishi kanda ya kaskazini kwa rafiki zangu akina Mangi huku ila mimi ni mnyantuzu(Msukuma) kutoka kanda ya ziwa huko😀😀😀

Bajeti yangu ya gari inaanzia 30M-40M hivi, sasa ushauri nichague gari gani kati ya hizi?
1.Toyota
-RAV 4 New Model
-Lenus RX
-Harrier (Hapana nakubali ushauri)
-Vanguard (Hapana nakubali ushauri)

2.Nissan
-Muranno
-QSHANAI
-Dualis (hapana ila nakubali ushauri)
-X-Trail (hapana ila nakubali ushauri

3. SUZUKI
-Escudo Grand (Seat 7)
-Escudo (Seat 5)

Bajeti yangu inaangukia kwenye mid/lower SUV cars.

Kingine nataka kuagiza kutoka Japan (kulingana na maoni ya humu) ilq kuna jamaa yangu nimemshurikisha akasema bora nichukue yard but mimi nasita sababu ya kupata uzoefu wa yard kupitia jukwaa hili.

Pia naukiza ni kampuni gani nzuri kuagiza kati ya hizi
1.Be forwarded
2.SBT Japan
3.Enhance Japan

Natanguliza shukrani wa ushauri wenu na asanteni
Nilikuja kubadili mawazo na sikuchukua hata moja hapo
 
Uliamua kuchukua ip mkuu? Na experience yako kwenye hiyo gari?

BK707609_1e458f.jpg
 
Back
Top Bottom