USHAURI: Niende Advance au chuo?

USHAURI: Niende Advance au chuo?

Davidmmarista

JF-Expert Member
Joined
Apr 11, 2024
Posts
1,367
Reaction score
2,451
Habari,

Nimehitimu mwaka jana nimefaulu masomo yote na pia na division 1 lakini nilikuwa na ndoto za kusomea mambo ya technogy ikiwemo computer science

Mpaka sasa nina utata niende Advance au chuoni. Nimejaribu kuchukua ushauri wa watu mbalimbali kuna ambao wananishauri niende chuo nikasome diploma wengine wananishauri niende advance ili niende moja kwa moja degree

Naombeni ushauri wenu, ni sehemu gani perfect ya kwenda?
 
Kama unataka kuwa competent kwenye Tech nenda kaanza diploma then dig more there, af unga na degree then leta mrejesho hapa after 8 years.
Shida ya wadogo zetu ukiwaambia kuhusu miaka 5 au 10 wanaanza kuona ni siku nyiiingi
 
Asante sana mkuu lakini kuna watu wanapinga sana vyuo vya kati sijui shida nini!
 
Habari,

Nimehitimu mwaka jana nimefaulu masomo yote na pia na division 1 lakini nilikuwa na ndoto za kusomea mambo ya technogy ikiwemo computer science

Mpaka sasa nina utata niende Advance au chuoni. Nimejaribu kuchukua ushauri wa watu mbalimbali kuna ambao wananishauri niende chuo nikasome diploma wengine wananishauri niende advance ili niende moja kwa moja degree

Naombeni ushauri wenu, ni sehemu gani perfect ya kwenda?
Kama ukiniomba ushauri nitakwambia hivi:
Nenda kasome Diploma Mkuu
 
Kama una taka kuajiriwa na kuji ajiri soma upepo .piga diploma then degree..saivi diploma ndo Plan B ya kutokea ukisha kua ndani ya system kupanda na degree yako ni chapu tu Unakua na option mbili za kuku beba .chet cha 6 ni utopolo tu
 
Asante! Samahani Ila ningependa kujua kwanini mnashauri kwenda chuo?
Ndio Mkuu!
Kwa kuwa unatamani kuwa mtaalamu wa masuaa ya Computer Science ni kitu kizuri ukianza kusoma kuanzia ngazi ya Certificate kwa maana ya Certificate ya Computer kisha uende Diploma ya Computer au matawi mengine kama Diploma ya Computer Networking au Diploma ya Computer Programming, au Diploma ya Computer Information System, ili mpaka unafika kwenye ngazi ya Bachelor unakuwa na madini ya kutosha, hakuna ambacho kitakusumbua ukifika Bachelor kwa maana utakuwa na madini na msingi mzuri wa taaluma kuanzia chini kabsa.
Wanaosumbua Chuo wengi ni wale ambao hawajapita Advance bali ni waliokwenda Diploma na Certificate!
 
Ndio Mkuu!
Kwa kuwa unatamani kuwa mtaalamu wa masuaa ya Computer Science ni kitu kizuri ukianza kusoma kuanzia ngazi ya Certificate kwa maana ya Certificate ya Computer kisha uende Diploma ya Computer au matawi mengine kama Diploma ya Computer Networking au Diploma ya Computer Programming, au Diploma ya Computer Information System, ili mpaka unafika kwenye ngazi ya Bachelor unakuwa na madini ya kutosha, hakuna ambacho kitakusumbua ukifika Bachelor kwa maana utakuwa na madini na msingi mzuri wa taaluma kuanzia chini kabsa.
Wanaosumbua Chuo wengi ni wale ambao hawajapita Advance bali ni waliokwenda Diploma na Certificate!
Asante sana! Kwa ushauri mzuri 🙏🙏🙏🙏 natumai atleast kwenda chuo kuna unafuu maana ninachotafuta ni ujuzi kwaajili ya kujiajiri baadae
 
Habari,

Nimehitimu mwaka jana nimefaulu masomo yote na pia na division 1 lakini nilikuwa na ndoto za kusomea mambo ya technogy ikiwemo computer science

Mpaka sasa nina utata niende Advance au chuoni. Nimejaribu kuchukua ushauri wa watu mbalimbali kuna ambao wananishauri niende chuo nikasome diploma wengine wananishauri niende advance ili niende moja kwa moja degree

Naombeni ushauri wenu, ni sehemu gani perfect ya kwenda?
Kama hiyo div1 uliipata kwa juhusi zako nenda advance ila kama ulipiga chabo nenda diploma. Form6 inataka mtu mwenye akili iliyotulia na anayejiamini!
 
Back
Top Bottom