Wewe kila kitu unashauriwa na watu. Huna akili?Ndugu walinishauri niombe ajira
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe kila kitu unashauriwa na watu. Huna akili?Ndugu walinishauri niombe ajira
Yaaa tuliotokea background ya kajamba nani ndo tunapigwa mabao huku serikalini na unakuwa huna option zaidi ya kunywa mtori ukitegemea kukuta nyama chini.Waambiwe wawe wanakupa hyo amount ka ya serikalini ili pia utumie usomi kukuza biashara hyo maana hyo biashara inalipa for future use. Watu hukimbilia serikalini vile wazazi wao hawakuachia kitu.
Ushauri toka kwa mfanya kazi.. Kutambua hizo biashara ziyo za kwako, ni za "kwenu", nakushauriHabari za asubuhi?
Nishaurini katika hili nimepata ajira Serikalini Upande wa afya clinical officer soon tunatakiwa kuripoti kazini .
Upande wa pili wazazi wanamiliki pharmacy 2 na maduka mawili ya jumla ya dawa na dispensary moja , wazazi hawataki niende kwenye ajira ya Serikalini wanataka nisimimamie biashara zao lakini ndugu wamenishauri niende kwenye ajira serikalini kwa sababu serikalini kuna security.
Nisaidieni ushauri mdogo wenu ktk hili .
Ktk familia tupo watoto 2 tu , mdogo wangu bado anasoma.umri nina miaka 24
Uko sahihi waliotoka from poor background za watoto wa wakulima serikalini ni mkombozi ila ukikuta wazazi walikuwa njema basi unajiajiri na kujifunza technique heri upate stress ya biashara zako kuliko stress' na makero ya makazini, kujiajiri huwa Raha sana na kupiga hatua huwa rahisi SEMA jamii hufundisha uoga.Yaaa tuliotokea background ya kajamba nani ndo tunapigwa mabao huku serikalini na unakuwa huna option zaidi ya kunywa mtori ukitegemea kukuta nyama chini.
serikalini kuna security.
Waeleze wazazi wakulipe kama unavyotarajia kwenda kulipwa huko serikalini. Jambo jingine hebu jiulize ulisoma ulichosoma ili iweje? Kama unaangalia security ya kazi basi utakuwa ni muoga wa maisha . Miaka mitano iliyopita kazi serikalini zilionekana hazina any security. Kama bussiness ya home unaielewa Baki simamia.
Simamia hizo biashara ukiwa kazini.. njoo tukusaidie usogee karibu na biashara hizo..
Hizi ni baadhi ya ushauri unaotakiwa kufanyia kazi.Nakushauri kama ifuatavyo:
Kwanza naamini umepangiwa kituo cha mbali na familia yako inayokutegemea katika usimamizi wa biashara za familia, kama jibu ni kweli nakuomba uende kuripoti katika kituo chako ulichopangwa, fanya kazi upate cheque number na mshahara uanze kuingia, baada ya hapo tafuta konekisheni ya uhamisho ili uhamie karibu na sehemu zilipo biashara zenu, utafanya kazi serikalini na jioni/weekend ,usiku utakuwa katika kusimamia biashara za familia. Madaktari wengi wamefanya hivyo na wamefanikiwa. Hakikisha unatumia muda vizuri wa kazi za serikali na usikubali kuongeza muda wa ziada hata kama kuna extra duty packages ili upate muda mzuri kusimamia biashara.Pia utapata fursa ya wateja ambao watakufuata mpaka kwenye biashara zenu
Kachukue ajira anzisha biashara zako. Kuwa wawili kwa wazazi kusikufanye uwe na kiburi cha pesa. Ukiajiriwa ukaanzisha biashara yako utaweza kutumia ajira kuendesha (ku boost biashara zako).Ndugu walinishauri niombe ajira
Tupo wawili tu Mimi ndio mkubwa Nina 24yrs,wa pili ana miaka 16Nijibu haya maswali mkuu harafu ndo nikushauli,katika tumbo lenu mko wangapi,wewe ni mtoto wa ngapi kuzaliwa,je Kama una ndugu wengine wa baba na mama mmoja wako wapi na wanafanya nini(wameajiliwa/wamejiajili)?
wabongo kwa kikiHabari za asubuhi?
Nishaurini katika hili nimepata ajira Serikalini Upande wa afya clinical officer soon tunatakiwa kuripoti kazini .
Upande wa pili wazazi wanamiliki pharmacy 2 na maduka mawili ya jumla ya dawa na dispensary moja , wazazi hawataki niende kwenye ajira ya Serikalini wanataka nisimimamie biashara zao lakini ndugu wamenishauri niende kwenye ajira serikalini kwa sababu serikalini kuna security.
Nisaidieni ushauri mdogo wenu ktk hili .
Ktk familia tupo watoto 2 tu , mdogo wangu bado anasoma.umri nina miaka 24
Wazazi wako wapo sahihi.Simamia biashara ya familia ikue zaidi na itengeneze ajira kwa wengine na hata kurithisha vizazi vyenu vitakavyokuja. Isiishie tu kwenye hizo pharmacy 2 na maduka 2. Kuna future nzuri zaidi kwenye biashara tena ambayo imeshaanzishwa na ipo "operational " kuliko kukimbilia kwenye hio ajira ya serikalini. Wazazi wako wameliona hilo.Lakini mwisho wa siku inategemea na utashi wako kwenye maisha. Kama utashi wako upo kwenye kuajiriwa, basi usikilize moyo wakoHabari za asubuhi?
Nishaurini katika hili nimepata ajira Serikalini Upande wa afya clinical officer soon tunatakiwa kuripoti kazini .
Upande wa pili wazazi wanamiliki pharmacy 2 na maduka mawili ya jumla ya dawa na dispensary moja , wazazi hawataki niende kwenye ajira ya Serikalini wanataka nisimimamie biashara zao lakini ndugu wamenishauri niende kwenye ajira serikalini kwa sababu serikalini kuna security.
Nisaidieni ushauri mdogo wenu ktk hili .
Ktk familia tupo watoto 2 tu , mdogo wangu bado anasoma.umri nina miaka 24