Umeongea jambo ambalo nimelipitiaTafuta demu mwingine ujaribu kama itakuwaje kisha lete mrejesho. Mimi ilishanitokeaga nikatafuta mpango wa dharura nilipiga usiku kucha mnara wala haushuki wala sikumbuki idadi ya magoli maana nilishindwa kuhesabu.
Mkuu bao moja linatosha??Kikubwa ni kujitengenezea ki saikologia tu, tatizo hapo wewe unawahi kumaliza kabla yake, hivyo unamwacha hewani. chukulia game kama kitu chako cha kawaida, ni mchezo wako unaweza kuucheza unavyotaka, ondoa akilini wazo la kumwaga, hapo naamini ni yeye ndio atakukumbusha kumwaga, na hilo moja tu litamtosha.
Inategemea na muda unaoyumia,Mkuu bao moja linatosha??
Osama bin laden unawaaibisha magaidi[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Inategemea na muda unaoyumia,
Laweza tosha
Pole sana mkuu hujakutana na mwanaume mwenye uwezo wa kufanya mapenzi, Note mimi ni mwanaume.kwani bao ngapi zinatakiwa ndo ulale? mimi najua bao moja tu kitu kinalala . ndo hivo naonaga kote nilikopitia
Pole sana mkuu hujakutana na mwanaume mwenye uwezo wa kufanya mapenzi, Note mimi ni mwanaume.kwani bao ngapi zinatakiwa ndo ulale? mimi najua bao moja tu kitu kinalala . ndo hivo naonaga kote nilikopitia
[emoji23] [emoji23] [emoji23] mbavu zanguHapo dawa ni kucheza bila kukunja goti yan.. ukianza umeanza mzee baba, ukimaliza la kwanza unganisha la pili.. tatu.. mpk ufike ubungo terminal.. Ila kama unatumia condom hapo kazii!! Labda mgawane majukumu, huyo bi dada awe kaishkilia condom nyngne.. ukipiga bao tu chap anakuvalisha unaendeleza game huku anafungua nyingine! Specialization of labor.
Anaye kumaliza ni huyo bidada...hayo maneno yake kisaikolojia sio mazuri... Alafu jua tendo linaanzia kwenye mind/saikolojia...Nina wiki mbili sasa nikifanya mapenzi na mpenzi wangu najishanga nikimpiga goli moja tu uume unalala na unachelewa kusimama.
Nanukuu anavyonambia ''wewe sio bure, mara wewe kama umenichoka niambie mi nataka bado'' mwisho wa kunukuu.
Najikuta mpaka nataka nijiingize kwenye vishawiahi vya kutumia madawa ili tatizo nalitatuaje, ushauri wenu wana JF.
Muwekee link akasome huo uzi si ajabu akapata majibu hukohuyo dada ni mkeo/mpenzi wako?
mnatumia kondom au bila kondom?
unafanya naye bure au huwa unamlipa in kind? kama unamlipa pesa moja tu inatosha ila kama mnafanya naye kwa sababu ya upendo kwa kweli mpe haki yake... niliwahi toa darasa namna ya kupiga bao zaidi ya moja kwa mpigo.
Mkuu bao moja linatosha??