Dr hyperkid
JF-Expert Member
- Jun 7, 2019
- 12,679
- 25,646
Acha pombeWasalaam ndugu zangu, aisee ama kweli pombe sio chai.
Juzi Ijumaa katika mazingira yetu ya kazi wakatuzingatia ile posho ambayo tunayoipataga kila ufikapo mwisho wa mwezi, sasa hizi posho zinazaombatana na weekend sio nzuri kabisa ndugu zangu.
Sasa si nikaenda kulewa! Nimeamka Jumaatatu leo asubuhi mfukoni nina 10,000/= tu na sina salio lingine zaidi ya hii teni! Naombeni ushauri wazee, nasavaivu vipi na hii teni mpaka tarehe za mwishoni mwa mwezi ujao? Maana nimewaza mpaka naanza kunyonyoka nywele na kuilaumu mitungi.
Pia ni kwa namna gani nitaacha mitungi. Hapo naombea gesi isiishe geto maana nilivyoamka asubuhi nikajaribu kutingisha mtungi wa gesi ni mwepesi balaa, ila bado haijaisha lakini itakata tu ndani ya wiki hii.
Naanza kuukumbuka ule wimbo wa msondo ngoma, "Kuzaliwa mwanaume kila kitu kwako kitakuwa ni taabu tu!"
Wazee nitafika Septemba tarehe kama hizi kwa balance ya 10,000/= mfukoni? Nikisema nitoe buku nikabeti mpira au tatu mzuka si ndio watapita nayo yote? Au niuze simu?
Mitungi sio, aliyegundua na kuitengeneza mitungi atakuwa hana akili fresh, maana inamaliza hela vibaya, akili inarudi wakati ushapukutika mifuko myeupe.
Pia na hizi kampani za hovyo hovyo za mitungi niachane nazo, maana naweza kufa kwa mawazo. Yaani mimi nabaki na teni wakati leo ndiyo kwanza tarehe 28 August? Sasa tarehe 28 September nitafika kweli? Naombeni ushauri niishi nayo vipi hiyo teni.
Maana wanasema ukikwama shirikisha na wengine, ila mitungi sio wazee.
Umeandika neno moja tu, ila ukilirudia mara mbilimbili liko deep vibaya mno. Ifungue tena hiyo code mzee!!!Jitathimini.
Umeandika neno moja tu, ila ukilirudia mara mbilimbili liko deep vibaya mno. Ifungue hiyo code mzee!!!Jitathimini.
Inaweza kuwa kweli mpaka kuna time nasema lazima kuna tatizo mahali, sababu hii si mara ya kwanza kutokea hii...unakuta unapanga kabisa kuwa nikipata ya mwisho wa mwezi huu sitaki umchezo ila ikija tu nikiishika nikama kuna kitu kinaniingia kinachofanya niwe nje ya akili yangu kabisa..umeaga nyumbani ?ONGEA NA WAZEE WAKO VIZURI
huwenda unashida mahali haingii akilini hili uliloliandika.hapo umeshajingiza kwenye lindi la ufukara
unaumri gani?Umeandika neno moja tu, ila ukilirudia mara mbilimbili liko deep vibaya mno. Ifungue hiyo code mzee!!!
Inaweza kuwa kweli mpaka kuna time nasema lazima kuna tatizo mahali, sababu hii si mara ya kwanza kutokea hii...unakuta unapanga kabisa kuwa nikipata ya mwisho wa mwezi huu sitaki umchezo ila ikija tu nikiishika nikama kuna kitu kinaniingia kinachofanya niwe nje ya akili yangu kabisa..
Hapo naanza sasa kuhama hama sehemu tofauti tofauti za viwanja,..... Na akili inakuja kurudi wakati tayari nimeshabaki na kiasi kidogo kama hivi ndo akili inaanza kukaa sawa sasa kwamba "What Is This...?"
30sunaumri gani?
grow up kijana hasa kama unao wanaokutegemea
Chukua uzoefu hapaHiyo buku teni kazimue balimi baridi na supu ya kongoro usiache kunywa pombe, kama hali mbaya uza simu. Usiogope maisha duniani tunapita tu
KATAA KAZI. KAZI NI UTAPELIWasalaam ndugu zangu, aisee ama kweli pombe sio chai.
Juzi Ijumaa katika mazingira yetu ya kazi wakatuzingatia ile posho ambayo tunayoipataga kila ufikapo mwisho wa mwezi, sasa hizi posho zinazaombatana na weekend sio nzuri kabisa ndugu zangu.
Sasa si nikaenda kulewa! Nimeamka Jumaatatu leo asubuhi mfukoni nina 10,000/= tu na sina salio lingine zaidi ya hii teni! Naombeni ushauri wazee, nasavaivu vipi na hii teni mpaka tarehe za mwishoni mwa mwezi ujao? Maana nimewaza mpaka naanza kunyonyoka nywele na kuilaumu mitungi.
Pia ni kwa namna gani nitaacha mitungi. Hapo naombea gesi isiishe geto maana nilivyoamka asubuhi nikajaribu kutingisha mtungi wa gesi ni mwepesi balaa, ila bado haijaisha lakini itakata tu ndani ya wiki hii.
Naanza kuukumbuka ule wimbo wa msondo ngoma, "Kuzaliwa mwanaume kila kitu kwako kitakuwa ni taabu tu!"
Wazee nitafika Septemba tarehe kama hizi kwa balance ya 10,000/= mfukoni? Nikisema nitoe buku nikabeti mpira au tatu mzuka si ndio watapita nayo yote? Au niuze simu?
Mitungi sio, aliyegundua na kuitengeneza mitungi atakuwa hana akili fresh, maana inamaliza hela vibaya, akili inarudi wakati ushapukutika mifuko myeupe.
Pia na hizi kampani za hovyo hovyo za mitungi niachane nazo, maana naweza kufa kwa mawazo. Yaani mimi nabaki na teni wakati leo ndiyo kwanza tarehe 28 August? Sasa tarehe 28 September nitafika kweli? Naombeni ushauri niishi nayo vipi hiyo teni.
Maana wanasema ukikwama shirikisha na wengine, ila mitungi sio wazee.
Nenda simambwe/galijembe nunua kabichi za buku nne kwanza ukate wenge kisha hakikisha unao unga ndani...mengine yanazungumzikaWasalaam ndugu zangu, aisee ama kweli pombe sio chai.
Juzi Ijumaa katika mazingira yetu ya kazi wakatuzingatia ile posho ambayo tunayoipataga kila ufikapo mwisho wa mwezi, sasa hizi posho zinazaombatana na weekend sio nzuri kabisa ndugu zangu.
Sasa si nikaenda kulewa! Nimeamka Jumaatatu leo asubuhi mfukoni nina 10,000/= tu na sina salio lingine zaidi ya hii teni! Naombeni ushauri wazee, nasavaivu vipi na hii teni mpaka tarehe za mwishoni mwa mwezi ujao? Maana nimewaza mpaka naanza kunyonyoka nywele na kuilaumu mitungi.
Pia ni kwa namna gani nitaacha mitungi. Hapo naombea gesi isiishe geto maana nilivyoamka asubuhi nikajaribu kutingisha mtungi wa gesi ni mwepesi balaa, ila bado haijaisha lakini itakata tu ndani ya wiki hii.
Naanza kuukumbuka ule wimbo wa msondo ngoma, "Kuzaliwa mwanaume kila kitu kwako kitakuwa ni taabu tu!"
Wazee nitafika Septemba tarehe kama hizi kwa balance ya 10,000/= mfukoni? Nikisema nitoe buku nikabeti mpira au tatu mzuka si ndio watapita nayo yote? Au niuze simu?
Mitungi sio, aliyegundua na kuitengeneza mitungi atakuwa hana akili fresh, maana inamaliza hela vibaya, akili inarudi wakati ushapukutika mifuko myeupe.
Pia na hizi kampani za hovyo hovyo za mitungi niachane nazo, maana naweza kufa kwa mawazo. Yaani mimi nabaki na teni wakati leo ndiyo kwanza tarehe 28 August? Sasa tarehe 28 September nitafika kweli? Naombeni ushauri niishi nayo vipi hiyo teni.
Maana wanasema ukikwama shirikisha na wengine, ila mitungi sio wazee.
Kwa hiyo umekomba mshahara wote kwenye akaunti ukaenda nao Bar??Ni kweli aisee, nipe wazo kaka....