Ushauri: Nimebaki na Tsh. 10,000/- tu baada ya kupokea mshahara, nifanyaje?

Ushauri: Nimebaki na Tsh. 10,000/- tu baada ya kupokea mshahara, nifanyaje?

Wasalaam ndugu zangu, aisee ama kweli pombe sio chai.

Juzi Ijumaa katika mazingira yetu ya kazi wakatuzingatia ile posho ambayo tunayoipataga kila ufikapo mwisho wa mwezi, sasa hizi posho zinazaombatana na weekend sio nzuri kabisa ndugu zangu.

Sasa si nikaenda kulewa! Nimeamka Jumaatatu leo asubuhi mfukoni nina 10,000/= tu na sina salio lingine zaidi ya hii teni! Naombeni ushauri wazee, nasavaivu vipi na hii teni mpaka tarehe za mwishoni mwa mwezi ujao? Maana nimewaza mpaka naanza kunyonyoka nywele na kuilaumu mitungi.

Pia ni kwa namna gani nitaacha mitungi. Hapo naombea gesi isiishe geto maana nilivyoamka asubuhi nikajaribu kutingisha mtungi wa gesi ni mwepesi balaa, ila bado haijaisha lakini itakata tu ndani ya wiki hii.

Naanza kuukumbuka ule wimbo wa msondo ngoma, "Kuzaliwa mwanaume kila kitu kwako kitakuwa ni taabu tu!"

Wazee nitafika Septemba tarehe kama hizi kwa balance ya 10,000/= mfukoni? Nikisema nitoe buku nikabeti mpira au tatu mzuka si ndio watapita nayo yote? Au niuze simu?

Mitungi sio, aliyegundua na kuitengeneza mitungi atakuwa hana akili fresh, maana inamaliza hela vibaya, akili inarudi wakati ushapukutika mifuko myeupe.

Pia na hizi kampani za hovyo hovyo za mitungi niachane nazo, maana naweza kufa kwa mawazo. Yaani mimi nabaki na teni wakati leo ndiyo kwanza tarehe 28 August? Sasa tarehe 28 September nitafika kweli? Naombeni ushauri niishi nayo vipi hiyo teni.

Maana wanasema ukikwama shirikisha na wengine, ila mitungi sio wazee.
Acha pombe
 
Jitathimini.
Umeandika neno moja tu, ila ukilirudia mara mbilimbili liko deep vibaya mno. Ifungue hiyo code mzee!!!
umeaga nyumbani ?ONGEA NA WAZEE WAKO VIZURI
huwenda unashida mahali haingii akilini hili uliloliandika.hapo umeshajingiza kwenye lindi la ufukara
Inaweza kuwa kweli mpaka kuna time nasema lazima kuna tatizo mahali, sababu hii si mara ya kwanza kutokea hii...unakuta unapanga kabisa kuwa nikipata ya mwisho wa mwezi huu sitaki umchezo ila ikija tu nikiishika nikama kuna kitu kinaniingia kinachofanya niwe nje ya akili yangu kabisa..
Hapo naanza sasa kuhama hama sehemu tofauti tofauti za viwanja,..... Na akili inakuja kurudi wakati tayari nimeshabaki na kiasi kidogo kama hivi ndo akili inaanza kukaa sawa sasa kwamba "What Is This...?"
 
Umeandika neno moja tu, ila ukilirudia mara mbilimbili liko deep vibaya mno. Ifungue hiyo code mzee!!!

Inaweza kuwa kweli mpaka kuna time nasema lazima kuna tatizo mahali, sababu hii si mara ya kwanza kutokea hii...unakuta unapanga kabisa kuwa nikipata ya mwisho wa mwezi huu sitaki umchezo ila ikija tu nikiishika nikama kuna kitu kinaniingia kinachofanya niwe nje ya akili yangu kabisa..
Hapo naanza sasa kuhama hama sehemu tofauti tofauti za viwanja,..... Na akili inakuja kurudi wakati tayari nimeshabaki na kiasi kidogo kama hivi ndo akili inaanza kukaa sawa sasa kwamba "What Is This...?"
unaumri gani?
 
Tafuta mume wa kukulea mwezi mzima hadi utakapopata mshahara mwingine.
 
Kama ulivyotikisa gesi ujasema "Ila imekaa muda" basi bahati yako.
 
Wasalaam ndugu zangu, aisee ama kweli pombe sio chai.

Juzi Ijumaa katika mazingira yetu ya kazi wakatuzingatia ile posho ambayo tunayoipataga kila ufikapo mwisho wa mwezi, sasa hizi posho zinazaombatana na weekend sio nzuri kabisa ndugu zangu.

Sasa si nikaenda kulewa! Nimeamka Jumaatatu leo asubuhi mfukoni nina 10,000/= tu na sina salio lingine zaidi ya hii teni! Naombeni ushauri wazee, nasavaivu vipi na hii teni mpaka tarehe za mwishoni mwa mwezi ujao? Maana nimewaza mpaka naanza kunyonyoka nywele na kuilaumu mitungi.

Pia ni kwa namna gani nitaacha mitungi. Hapo naombea gesi isiishe geto maana nilivyoamka asubuhi nikajaribu kutingisha mtungi wa gesi ni mwepesi balaa, ila bado haijaisha lakini itakata tu ndani ya wiki hii.

Naanza kuukumbuka ule wimbo wa msondo ngoma, "Kuzaliwa mwanaume kila kitu kwako kitakuwa ni taabu tu!"

Wazee nitafika Septemba tarehe kama hizi kwa balance ya 10,000/= mfukoni? Nikisema nitoe buku nikabeti mpira au tatu mzuka si ndio watapita nayo yote? Au niuze simu?

Mitungi sio, aliyegundua na kuitengeneza mitungi atakuwa hana akili fresh, maana inamaliza hela vibaya, akili inarudi wakati ushapukutika mifuko myeupe.

Pia na hizi kampani za hovyo hovyo za mitungi niachane nazo, maana naweza kufa kwa mawazo. Yaani mimi nabaki na teni wakati leo ndiyo kwanza tarehe 28 August? Sasa tarehe 28 September nitafika kweli? Naombeni ushauri niishi nayo vipi hiyo teni.

Maana wanasema ukikwama shirikisha na wengine, ila mitungi sio wazee.
KATAA KAZI. KAZI NI UTAPELI
 
Kuwa Bosi wa maisha yako,inaonekana unapelekwa hovyo hovyo hujielewi.
 
Ne
Wasalaam ndugu zangu, aisee ama kweli pombe sio chai.

Juzi Ijumaa katika mazingira yetu ya kazi wakatuzingatia ile posho ambayo tunayoipataga kila ufikapo mwisho wa mwezi, sasa hizi posho zinazaombatana na weekend sio nzuri kabisa ndugu zangu.

Sasa si nikaenda kulewa! Nimeamka Jumaatatu leo asubuhi mfukoni nina 10,000/= tu na sina salio lingine zaidi ya hii teni! Naombeni ushauri wazee, nasavaivu vipi na hii teni mpaka tarehe za mwishoni mwa mwezi ujao? Maana nimewaza mpaka naanza kunyonyoka nywele na kuilaumu mitungi.

Pia ni kwa namna gani nitaacha mitungi. Hapo naombea gesi isiishe geto maana nilivyoamka asubuhi nikajaribu kutingisha mtungi wa gesi ni mwepesi balaa, ila bado haijaisha lakini itakata tu ndani ya wiki hii.

Naanza kuukumbuka ule wimbo wa msondo ngoma, "Kuzaliwa mwanaume kila kitu kwako kitakuwa ni taabu tu!"

Wazee nitafika Septemba tarehe kama hizi kwa balance ya 10,000/= mfukoni? Nikisema nitoe buku nikabeti mpira au tatu mzuka si ndio watapita nayo yote? Au niuze simu?

Mitungi sio, aliyegundua na kuitengeneza mitungi atakuwa hana akili fresh, maana inamaliza hela vibaya, akili inarudi wakati ushapukutika mifuko myeupe.

Pia na hizi kampani za hovyo hovyo za mitungi niachane nazo, maana naweza kufa kwa mawazo. Yaani mimi nabaki na teni wakati leo ndiyo kwanza tarehe 28 August? Sasa tarehe 28 September nitafika kweli? Naombeni ushauri niishi nayo vipi hiyo teni.

Maana wanasema ukikwama shirikisha na wengine, ila mitungi sio wazee.
Nenda simambwe/galijembe nunua kabichi za buku nne kwanza ukate wenge kisha hakikisha unao unga ndani...mengine yanazungumzika
 
Duuh! pole,wewe unateswa na ulevi,mimi nateswa na betting... naliwa kishenzi,hapa nimeliwa hela yooteee...! daaah! namlaumu sana aliyenifundisha kubeti.
Bila kubeti ningekua na tuhelahela.
 
Mtoa mada ndio wale mnaoletewa bill kama umenunua kiwanja kudadeki
 
Hahahaaa...!!
Mkuu umenikumbusha mbali sana kama miaka 11 iliyopita.
Kipindi hicho nikiwa muajiriwa, nilikuwa mzee wa tungi na bata kwa sana washkaji kama wote. Mshahara nilikuwa naukausha na kuupiga mswaki chap. Kilichokuwa kinaniokoa pale kazini tulikuwa na mfuko wetu wa kuinuana! So nazama chap na cheque mkononi kwa treasurer ili wanidebt mwisho wa mwezi. Uzuri ilikuwa hata ukope 300k riba ilikuwa sh10k tu!
Sasa hii ntakayokopa nakuwa nanidhamu nayo inanisogeza lau katikati ya mwezi. Ikiisha namfata mwanangu mmoja yy alikuwa sio mtu wa masanga na hana baya so ananikatia kama 50k namalizia mpaka siku ya mshahara.

Kwahiyo mkuu usiwaze sana kula ujana na itafikia mahala utaacha tu na mambo kuji tune yenyewe.

Cha kukushauri punguza kampan ya marafiki wa pombe. Kama mtu hana kipato ila anapenda sana monde pasipo kugharamikia, mwepuke chawa huyo. Kula monde kivyako marafiki wawe ni wale unaokutana nao hukohuko batani hawa kiasi flan wanajielewa. Halafu kula monde mbali na mtaa unaoishi.
 
Back
Top Bottom