Ushauri: Nimefall kwa house boy wangu

Ushauri: Nimefall kwa house boy wangu

Duh hio kali.lakini hio kitu si umepewa bure we gawa alimradi aishi wala haisemi mpatie
 
Mimi ni Mwanamke nimeolewa nina watoto wawili,ila kuna huyu house boy anaitatiza sana yaani ananivutia mnoo kwanzia body yake mimi hoi jamani namtamani kwelikweli kila nikimuona nalowa ila mume wangu ndo kikwazo ushauri tafadhali.

From a Friend.
Mapovu ruksa jameni

Sent using Jamii Forums mobile app
Fukuza mumeo haraka saan alaf mpe nafasi houseboy,,

Yaan utaenjoy mpk jino la mwisho

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwanza pole, hii issue mbona kama vile ni ww na umeishampa mzigo dogo! sasa kimoyo kinakusuta, endeleza tu si umempenda bana, ila kuwa makini jamaa asijue , dogo ana siri lakini?
 
Mimi ni Mchagga. Kwa hiyo uandishi wako ni wa Kichagga. Neno 'wooooii' linatumiwa na Wachagga na jamii zao
Sasa mkuu huwezi amini hilo neno nimelizoea tu lakini mm sio mchaga
 
Back
Top Bottom