Vikwazo huwa tunaviondoa ili tuweze kusonga mbele. Muwekee mumeo sumu ya panya kwenye msosi. Case closed. Kikwazo kimeondoka then songa mbele na houseboy wako.
Hakuna penzi litakalodumu amuache mumewe wache wajidanganye siku ya siku wafumwe humo ndani mana ukionja lazima unogewe[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Amekaa sitting room anaangalia siri za familia hapo kishashiba wali kwa maini anamuona house boy anamtamani, wahame hapo na house boy wakapange, alipe kodi na bills zote tuone kama hilo penzi litadumu.
Shibe hiyooo.
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] umeona eehh
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Naona wababa tumeumiaaaaaaaHakuna penzi litakalodumu amuache mumewe wache wajidanganye siku ya siku wafumwe humo ndani mana ukionja lazima unogewe
Na house boy hatakubali kushindwa atatoa show ya kibabe sana ili amchanganye mother house
Labda itokee tu useme mshipa kula kidogo lakni usisemeItokee ninii hiyo mshipa wake mtu
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] unaenda kumpa lini sasaShunie[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Sent using Jamii Forums mobile app
AmenNipo nashukuru sana pia, Mungu atusaidiye tuuvuke huu mwaka wa kikokotoo
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hao hao ulishakuwa kungwi wao haaaa haaaHahahahha wale watoto bwana[emoji18]
Poleni mnoo[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Naona wababa tumeumiaaaaaaa
Sent using Jamii Forums mobile app
Kila mtu na wake.[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] naye baba anakamezea ka beki 3 kao
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Naanzaje nijikute tu
Sana si kuumia kidogo[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Naona wababa tumeumiaaaaaaa
Sent using Jamii Forums mobile app
Tupo hapa tunaperuzi mihemuko ya watu [emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Ila asiligawe penzi kama lote kwa huyo house boy.Angalau abakize kidogo kwa ajili ya mumewe.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Poleni mnoo
Naona tunapoteza mda kidogo humuTupo hapa tunaperuzi mihemuko ya watu [emoji23][emoji23][emoji23]
Sent using Jamii Forums mobile app
We hunaga huruma dear[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Naanzaje nijikute tu