xav bero
JF-Expert Member
- Nov 24, 2016
- 5,134
- 7,338
Nasikiliza ngoma ya country boy macho mbeleee,,
Kuna mahali anasema sion mbele,sioni mbelee washanitoboa sasa...
Dada yngu labda swali rahis tu kabla ya kukushauri haswa hua unakwama wapi zaid? Maana kam kodi ya pango ulishalipa ukakwama kilichokukwamisha zaid ni kipi?
Pili umesema kuna bussines unaifuatilia vikwazo kibao,,inaonyesha umeshaikatia tamaa,,,vikwazo ni vipi zaid dada yangu?? Mwsho kuhusu shamba kwa dar itakuwia vigumu labda upate nje ya dar naiman inawezekana zaid na kupata kwa wepes zaid kuliko hapa town... Nmekuuliza vikwazo ili tujaribu kukupa ushauri kuhusu kuviepuka vikwazo na wewe kufanikiwa,,na nakuuliza sababu nina uzoefu na biashara....
Namalizia kusikiliza nyimbo ya bella na banana zoro USILIE..
Kuna mahali anasema sion mbele,sioni mbelee washanitoboa sasa...
Dada yngu labda swali rahis tu kabla ya kukushauri haswa hua unakwama wapi zaid? Maana kam kodi ya pango ulishalipa ukakwama kilichokukwamisha zaid ni kipi?
Pili umesema kuna bussines unaifuatilia vikwazo kibao,,inaonyesha umeshaikatia tamaa,,,vikwazo ni vipi zaid dada yangu?? Mwsho kuhusu shamba kwa dar itakuwia vigumu labda upate nje ya dar naiman inawezekana zaid na kupata kwa wepes zaid kuliko hapa town... Nmekuuliza vikwazo ili tujaribu kukupa ushauri kuhusu kuviepuka vikwazo na wewe kufanikiwa,,na nakuuliza sababu nina uzoefu na biashara....
Namalizia kusikiliza nyimbo ya bella na banana zoro USILIE..