Ushauri: Nimefungwa akili, natamani kutoka kimaisha

Ushauri: Nimefungwa akili, natamani kutoka kimaisha

Ulimshirikisha MUNGU katika jitihada zako?
Katika ulimwengu wa roho kuna vitu ambavyo vinakufatilia kila ufanyacho ili viharibu,visipo chukuliwa hatua ya Maombi haviwezi kukuachia,so omba kabla hujaanza kufanya plani
Kuhusu business planning watakuja wengine kukushauri
Halafu msifikiri kila mtu anamjua Mungu!Kuna mijitu dunia hii inatusua tu hawaamini ktk kitu kinaitwa Mungu!
 
Halafu msifikiri kila mtu anamjua Mungu!Kuna mijitu dunia hii inatusua tu hawaamini ktk kitu kinaitwa Mungu!
UOVU au IBADA
My role model ni wale waliofanikiwa katika njia za kumuamini MUNGU mfano William Colgate
 
Natamani sana kutoka kimaisha, niliplan kufungua biashara yangu flani hivi hadi kodi ya nyumba nikalipia ila nikakwama ikabidi ile frem niiuze ili nisipoteze hela zote bure, kuna biashara ingine nafuatilia nayo vikwazo vingi sifanikiwi.

Sina raha kabisa halafu hakuna mtu wa kutoa msaada labda wa kukuomba tu. Wenzangu mnafanyeje kufanikiwa. Sipendi dhuluma au biashara haramu. Najitahidi ila kila siku nipo pale pale.

Pia natafuta shamba la kukodi Dar at least nianze kulima na kufuga kuku huku biashara ikisubiri.

Naombeni ushauri
Tatizo lako ni kukata tamaa mapema na kuogopa kushindwa..Hofu inakutawala zaidi hasa pale unapoona kuna dalili ya kushindwa.. Utajiri wote upo kichwani mwake ni wewe kuambua tu kujitoa mhanga..Unahitaji mentors wa kukuongoza
 
Natamani sana kutoka kimaisha, niliplan kufungua biashara yangu flani hivi hadi kodi ya nyumba nikalipia ila nikakwama ikabidi ile frem niiuze ili nisipoteze hela zote bure, kuna biashara ingine nafuatilia nayo vikwazo vingi sifanikiwi.

Sina raha kabisa halafu hakuna mtu wa kutoa msaada labda wa kukuomba tu. Wenzangu mnafanyeje kufanikiwa. Sipendi dhuluma au biashara haramu. Najitahidi ila kila siku nipo pale pale.

Pia natafuta shamba la kukodi Dar at least nianze kulima na kufuga kuku huku biashara ikisubiri.

Naombeni ushauri

FURSA NI HII DADA USILAZIE DAMU

Mwezi Huu Machi tarehe 25, Kampuni ya adscash ya HONG KONG itazinduliwa, watu wataanza kuwekeza. Adscash is the World’s first cryptocurrency exclusively For the Adworld. Ili kuijua zaidi kapuni hii nimweka YOU TUBE HAPA CHINI.

Kujiunga ni bure na Kwa wale watakaojiunga kabla ya tarehe ya uzinduzi watapata zawadi ya Coin 100 sawa na USD 2.5 (PRE LAUNCHING OFFER) na utaongezewa kwa kadri unavyopata wafuasi. Hela hii hii waweza kuibadili kuwa bitcoin au fedha yoyote ile mara tu baada ya uzinduzi yaani tarehe 25 Machi.



Joining link hii hapa: http://ads.cash/prelaunch/1.html?id=huruma&link=1

....................................................................

Kwa wanataka kujua zaidi:

What exactly is Ads Cash Coin , how will
the prices increase , how it will be exchanged , what blockchain
it is being build on , its usage and so on and so forth...

Take 15 minutes out today to go through this presentation
and whitepaper so all your questions are fully answered

Ads Cash Power Point Presentation
Ads Cash Whitepaper - Version 1.0
............................................
Joining link hii hapa: http://ads.cash/prelaunch/1.html?id=huruma&link=1
 
Una bidii na mawazo mazuri lakini mambo ni kusaidiana... Tafuta mtu ambayo mtakaye elewana na kusaidiana katika mambo yenu.. peke yako utaweza sawa ila unaweza ukachelewa sana..
 
Natamani sana kutoka kimaisha, niliplan kufungua biashara yangu flani hivi hadi kodi ya nyumba nikalipia ila nikakwama ikabidi ile frem niiuze ili nisipoteze hela zote bure, kuna biashara ingine nafuatilia nayo vikwazo vingi sifanikiwi.

Sina raha kabisa halafu hakuna mtu wa kutoa msaada labda wa kukuomba tu. Wenzangu mnafanyeje kufanikiwa. Sipendi dhuluma au biashara haramu. Najitahidi ila kila siku nipo pale pale.

Pia natafuta shamba la kukodi Dar at least nianze kulima na kufuga kuku huku biashara ikisubiri.

Naombeni ushauri
Wanaume mjiheshimu, utarudi kijijini bila kupenda
Hii Post ni yako mbona hii inaonyesha umeshatoka tayari
 
Miss, wewe sio Wa kwanza kukumbwa na hali hii. Nilishakutana na mtu mfanyakazi Wa gvt anapesa ya kutosha lakini kila biashara anashindwa kuanza kwa hofu na anapiga calculation nyingi za kushindwa etc.
Chakufanya tafuta mtu unayemwamini kama Mdogo Wako, dd ako au mmeo mjadili what to do.

Am sorry this is personal are you married or in any serious relationship ?


No ill will attached in asking this question?
 
Epuka kusoma kitabu chenye maudhui na biashara unayotaka kuifanya kwa wakat huo,,,kitakuchanganya,,,,ruhusu maarifa mengine yaingie kwa wakat mwngine
 
  • Thanks
Reactions: SDG
Natamani sana kutoka kimaisha, niliplan kufungua biashara yangu flani hivi hadi kodi ya nyumba nikalipia ila nikakwama ikabidi ile frem niiuze ili nisipoteze hela zote bure, kuna biashara ingine nafuatilia nayo vikwazo vingi sifanikiwi.

Sina raha kabisa halafu hakuna mtu wa kutoa msaada labda wa kukuomba tu. Wenzangu mnafanyeje kufanikiwa. Sipendi dhuluma au biashara haramu. Najitahidi ila kila siku nipo pale pale.

Pia natafuta shamba la kukodi Dar at least nianze kulima na kufuga kuku huku biashara ikisubiri.

Naombeni ushauri
Unashauriwa usianze kufanya biashara yoyote bila ya kuijua vizuri au kufanya utafiti, nakushauri nenda Chuo cha CBE au Chuo kikuu cha Dsm kitebgo cha Biashara watajua jinsi ya kukusaidia wanakozi zote kuanzia za watu waliomaliza la 7 hadi degree!
 
Kufeli kwenye biashara especially mwanzo ni jambo la kawaida na inaonyesha upo kwenye right track. Hizo ni changamoto tu ambazo zinatakiwa zikuwezeshe kujifunza kitu ila ukianza biashara nyingine usikabiliane nazo tena.

Biashara unapoanza ni kama kujifunza kuendesha baiskeli, kutembea au kutongoza, mwanzo lazima utaanguka, jikwaa au pigwa vibuti vingi tu lakini ndiyo unakua unajifunza, unapata confidence nk. Wengi wetu tunataka kuanza biashara na kufanikiwa ndani ya muda mfupi kitu ambacho sio rahisi hata kidogo.

Ukiona mtu amafanikiwa sana ujue amepitia vikwazo vingi na maanguko mengi sana katika kazi zake mpaka kufika hapo alipo, bahati mbaya huwa tu hawasemi zaidi kutoa ushauri wa kufanya kazi kwa bidii. Pia changamoto kwenye biashara huwa zinafanya wengine waanze kuamini wamerogwa, gundu nk wakati ni mapito ya kawaida tu kwa hiyo dada usiogope utafanikiwa tu wakati wako ukifika endelea ku hustle.
 
  • Thanks
Reactions: SDG
Back
Top Bottom