Ushauri: Nimegundua penzi la mpenzi wangu kwangu limeshakufa

Ushauri: Nimegundua penzi la mpenzi wangu kwangu limeshakufa

Bata batani

JF-Expert Member
Joined
Nov 11, 2011
Posts
3,217
Reaction score
3,694
Tofauti alivyokuwa mwanzo na sasa kiukweli kuna dalili nimegundua mahaba na penzi nililokuwa nakipata toka kwa mpenzi wangu limeshakufa yaani kuna dalili zinaonesha hapa tiyali nimechokwa lile vibe la treatiwa kama mpenzi limeshakufa yamebaki tuu mazoea tuu.

Kuna time naamua kulianzisha lile vibe la kimahaba at least penzi lichangamke lakini dah mwenzangu anakuwa wa kawaida wala haoneshi zile hisia mpaka nafikiria jinsi gani.

Naweza kujinasua au hili jambo nitumie akili gani niweze kuvuka kipindi hiki maana huko mbeleni naona kuna bomu linakuja kulipuka
 
Tofauti alivyokuwa mwanzo na sasa kiukweli kuna dalili nimegundua mahaba na penzi nililokuwa nakipata toka kwa mpenzi wangu limeshakufa yaani kuna dalili zinaonesha hapa tiyali nimechokwa lile vibe la treatiwa kama mpenzi limeshakufa yamebaki tuu yale

Kuna time naamua kulianzisha lile vibe la kimahaba at least penzi lichangamke lakini dah mwenzangu anakuwa wa kawaida wala haoneshi zile hisia mpaka nafikiria jinsi gani

naweza kujinasua au hili jambo nitumie akili gani niweze kuvuka kipindi hiki maana huko mbeleni naona kuna bomu linakuja kulipuka
Safikri kama wiki mbili au mwezi. Uwe ubawasiliana nae vizuru tu. Ukirudi litafufuka upya[emoji91][emoji91]
 
Mapenz huwa yanaisha hata mwezi huwa hauishi kinachobaki ni uvumilivu tu
 
Vumilia tu mkuu,,, hapo sasa ndio uhalisia umeanza,, Yale maigizo mmeshamaliza chapter zote now mmekuja kwenye uhalisia...

Relax, Cool, anza sasa ku focus na mambo yako ya msingi,, Mjulie hali mpenzi wako once in a while na sio kila saa wala siku..

Then jitahidi uwe observer sana...huu ndio wakati wako wa kukaa kimya na kujionea the whole movie,, usilaumu kwa lolote acha vitu viende na flow..
 
Shtuka. Kimbia sana. Mapenzi ni kama kidalipoo. Wa kwanza kusepa.ndo maumivu anayapata kidogo.
Sasa wewe kaa hapo kiboya siku aje akuonyeshee masimearie ujikute dukani unanunua kamba ya kujiwahisha akhera
 
Vumilia tu mkuu,,, hapo sasa ndio uhalisia umeanza,, Yale maigizo mmeshamaliza chapter zote now mmekuja kwenye uhalisia...

Relax, Cool, anza sasa ku focus na mambo yako ya msingi,, Mjulie hali mpenzi wako once in a while na sio kila saa wala siku..

Then jitahidi uwe observer sana...huu ndio wakati wako wa kukaa kimya na kujionea the whole movie,, usilaumu kwa lolote acha vitu viende na flow..
Nakazia hili, zitangia Sana alichoflow mwamba
N muhim sana
 
Vumilia tu mkuu,,, hapo sasa ndio uhalisia umeanza,, Yale maigizo mmeshamaliza chapter zote now mmekuja kwenye uhalisia...

Relax, Cool, anza sasa ku focus na mambo yako ya msingi,, Mjulie hali mpenzi wako once in a while na sio kila saa wala siku..

Then jitahidi uwe observer sana...huu ndio wakati wako wa kukaa kimya na kujionea the whole movie,, usilaumu kwa lolote acha vitu viende na flow.

Popote ulipo mwamba nakusalimia sana ushauli wako nimeuelewa
 
umeonesha makucha yasiyofugika wacha wakukomeshe
 
Wazungu wanasema mapenz ya kweli ni siku tatu after that neno forever ni uvumilivu ndan yake
 
Back
Top Bottom