Ushauri: Nimemaliza chuo, nina mtaji wa 2M. Naweza kufanya biashara gani?

Ushauri: Nimemaliza chuo, nina mtaji wa 2M. Naweza kufanya biashara gani?

Bolotoba

JF-Expert Member
Joined
Apr 24, 2024
Posts
3,424
Reaction score
7,706
Wakuu nina kiasi cha 2M kama mtaji na ni juzi nimetoka Chuo Dar wa Salaam nimeamua kurudi mkoani kwa mzazi wangu Geita kuanza maisha maana hadi umri huu wa miaka 24 siku zote pesa nilikuwa napewa na wazazi mmoja akafariki

Natamani kufanya biashara
Nimesoma Degree ya business administration. So nauliza kati ya
Biashara hizi tatu ipi inaweza kunifanya niache utegemezi kwa mtaji wa 2M
  1. Biashara ya vinywaji soft drinks na maji jumla jumla ambapo leseni yake halmshauri kwa Mwaka ni 200,000,TRA makadirio ni 50k four installment for whole year
  2. Biashara ya mchele jumla jumla as a supplier kwenye na mashule also reja reja kwa bei ya 1800,1400,1200
  3. Sare za shule masweta, sketi na kaptura na ni kwasababu frame ipo maeneo mkabala na shule mbili za msingi also shule ya secondary behind the frame! Wenye uzoefu nifanye ip??
 
Wakuu nina kiasi cha 2M kama mtaji na ni juzi nimetoka Chuo Dar wa Salaam nimeamua kurudi mkoani kwa mzazi wangu Geita kuanza maisha maana hadi umri huu wa miaka 24 siku zote pesa nilikuwa napewa na wazazi mmoja akafariki

Natamani kufanya biashara
Nimesoma Degree ya business administration. So nauliza kati ya
Biashara hizi tatu ipi inaweza kunifanya niache utegemezi kwa mtaji wa 2M
  1. Biashara ya vinywaji soft drinks na maji jumla jumla ambapo leseni yake halmshauri kwa Mwaka ni 200,000,TRA makadirio ni 50k four installment for whole year
  2. Biashara ya mchele jumla jumla as a supplier kwenye na mashule also reja reja kwa bei ya 1800,1400,1200
  3. Sare za shule masweta, sketi na kaptura na ni kwasababu frame ipo maeneo mkabala na shule mbili za msingi also shule ya secondary behind the frame! Wenye uzoefu nifanye ip??
Ukifanikiwa kuanza business yoyote usiweke pesa yote kwa biashara anza na nusu na kadri utakavyoona mzunguko unaweza kuongeza kidogo kidogo...
 
Wakuu nina kiasi cha 2M kama mtaji na ni juzi nimetoka Chuo Dar wa Salaam nimeamua kurudi mkoani kwa mzazi wangu Geita kuanza maisha maana hadi umri huu wa miaka 24 siku zote pesa nilikuwa napewa na wazazi mmoja akafariki

Natamani kufanya biashara
Nimesoma Degree ya business administration. So nauliza kati ya
Biashara hizi tatu ipi inaweza kunifanya niache utegemezi kwa mtaji wa 2M
  1. Biashara ya vinywaji soft drinks na maji jumla jumla ambapo leseni yake halmshauri kwa Mwaka ni 200,000,TRA makadirio ni 50k four installment for whole year
  2. Biashara ya mchele jumla jumla as a supplier kwenye na mashule also reja reja kwa bei ya 1800,1400,1200
  3. Sare za shule masweta, sketi na kaptura na ni kwasababu frame ipo maeneo mkabala na shule mbili za msingi also shule ya secondary behind the frame! Wenye uzoefu nifanye ip??
Ya Vinywaji ndio nzuri
 
Ya Vinywaji ndio nzuri
Faida yake ikoje?? Na kwa carton moja ni shingapi kwa aidha hizi kampuni especially za MO,
Ukifanikiwa kuanza business yoyote usiweke pesa yote kwa biashara anza na nusu na kadri utakavyoona mzunguko unaweza kuongeza kidogo kidogo...
Ukifanikiwa kuanza business yoyote usiweke pesa yote kwa biashara anza na nusu na kadri utakavyoona mzunguko unaweza kuongeza kidogo kidogo...
 
Wakuu nina kiasi cha 2M kama mtaji na ni juzi nimetoka Chuo Dar wa Salaam nimeamua kurudi mkoani kwa mzazi wangu Geita kuanza maisha maana hadi umri huu wa miaka 24 siku zote pesa nilikuwa napewa na wazazi mmoja akafariki

Natamani kufanya biashara
Nimesoma Degree ya business administration. So nauliza kati ya
Biashara hizi tatu ipi inaweza kunifanya niache utegemezi kwa mtaji wa 2M
  1. Biashara ya vinywaji soft drinks na maji jumla jumla ambapo leseni yake halmshauri kwa Mwaka ni 200,000,TRA makadirio ni 50k four installment for whole year
  2. Biashara ya mchele jumla jumla as a supplier kwenye na mashule also reja reja kwa bei ya 1800,1400,1200
  3. Sare za shule masweta, sketi na kaptura na ni kwasababu frame ipo maeneo mkabala na shule mbili za msingi also shule ya secondary behind the frame! Wenye uzoefu nifanye ip??
Angalia ipi ina soko la uhakika kwanza. Fanya utafiti.
 
Wakuu nina kiasi cha 2M kama mtaji na ni juzi nimetoka Chuo Dar wa Salaam nimeamua kurudi mkoani kwa mzazi wangu Geita kuanza maisha maana hadi umri huu wa miaka 24 siku zote pesa nilikuwa napewa na wazazi mmoja akafariki

Natamani kufanya biashara
Nimesoma Degree ya business administration. So nauliza kati ya
Biashara hizi tatu ipi inaweza kunifanya niache utegemezi kwa mtaji wa 2M
  1. Biashara ya vinywaji soft drinks na maji jumla jumla ambapo leseni yake halmshauri kwa Mwaka ni 200,000,TRA makadirio ni 50k four installment for whole year
  2. Biashara ya mchele jumla jumla as a supplier kwenye na mashule also reja reja kwa bei ya 1800,1400,1200
  3. Sare za shule masweta, sketi na kaptura na ni kwasababu frame ipo maeneo mkabala na shule mbili za msingi also shule ya secondary behind the frame! Wenye uzoefu nifanye ip??
Uza soft drinks tu hapo hapo ibia ibia na uwakala kiaina huwezi kosa chochote kitu


Vinywaji vyenyewe ndio hivi hivi Sayona, mara jembe
 
Rudi Dar es salaama
Fungua biashara ya Chips, Kuku na vikombwezo vyote
Hii lazima utaongeza mtaji maradufu ili uanze bishara kubwa

1723992082024.png

1723992104383.png
 
Sema nini philomena , jiamini ulichosomea huwezi kudhindwa kujua ufanye BIASHARA ipi kwa mazingira gani, ila kama unataka ushauri ningesema softdrinks kwa haya mawazo uliyoweka hapo.
Ni kweli mkuu I have a lot of ideas nyingine ni kubwa sana kuliko nikifikiria kununua uwanja nijenge ukumbi coz kwetu Geita watu weng huenda sherehe
2.natamani kurudi shule kusoma ufundi wa magari ya umeme maana kiukweli hizi degree zetu ni more theoretical
3.Ni moja ya wadau wanaohusudu teknolojia ya kutumia gesi kwenye bajaji na magari kama mbadala wa fuel lakini mtaji ni more Than 10Million
So natamani nianze na kitu kibiashara kidogo tu maana Sina mpango wa kutembeza bahasha
 
Rudi Dar es salaama
Fungua biashara ya Chips, Kuku na vikombwezo vyote
Hii lazima utaongeza mtaji maradufu ili uanze bishara kubwa

View attachment 3073473
View attachment 3073474
Kwa daslam nimeishi mabibo zote mabibo mwisho, makutano, royola, relin mwananchi, ubungo maziwa, riverside ni ambayo yapo na msimu wanafunzi wakiwa weng biashara zinakubali ikifika mwez wa saba had wa nane zinapoa kinoma had wa 10 mwishoni
 
Wakuu nina kiasi cha 2M kama mtaji na ni juzi nimetoka Chuo Dar wa Salaam nimeamua kurudi mkoani kwa mzazi wangu Geita kuanza maisha maana hadi umri huu wa miaka 24 siku zote pesa nilikuwa napewa na wazazi mmoja akafariki

Natamani kufanya biashara
Nimesoma Degree ya business administration. So nauliza kati ya
Biashara hizi tatu ipi inaweza kunifanya niache utegemezi kwa mtaji wa 2M
  1. Biashara ya vinywaji soft drinks na maji jumla jumla ambapo leseni yake halmshauri kwa Mwaka ni 200,000,TRA makadirio ni 50k four installment for whole year
  2. Biashara ya mchele jumla jumla as a supplier kwenye na mashule also reja reja kwa bei ya 1800,1400,1200
  3. Sare za shule masweta, sketi na kaptura na ni kwasababu frame ipo maeneo mkabala na shule mbili za msingi also shule ya secondary behind the frame! Wenye uzoefu nifanye ip??
Fanya zote no 1 na no 2....taratibu ukiwa na malengo......utafika mbali sanaa hongera sanaa kuweza save kiasi hicho
 
Nenda lodge za uswazi sizikokuwa na ukomo wa idadi ya watu unaoweza kuingiza vyumbani.

Kodi vyumba kumi kwa kutwa nzima, kila chumba elfu 5 (itakuwa 50,000).
Tafuta mademu kumi, kila demu mpe chumba kimoja na elfu 5 ya kula kutwa nzima (itakuwa 50,000). Jumla laki moja capital.

Wapige picha za kimtego, fungua group telegram weka picha zao na bei ya kila mmoja wapo. Unaandika sifa zake na kuwa chumba kipo.

Kila demu unacharge 20,000 per session, wakiingia ndani humo ya ziada inakuwa ya demu, wewe unakunja 20,000. Ukitoa expenses kwa kila chumba (10,000) unafaida ya 10,000. Mara 10 - 100,000 mara siku 7 ni 700,000.

Sasa unafanya huo mzunguko kwa guest tofauti tofauti kwa kutwa moja. Yani unachukua hata guest 5 ambayo ni capital ya laki tano kwa faida ya laki 5.

Ndani ya mwaka ushajenga guest yako mwenyewe. Siku ukikosa wateja unagonga mwenyewe hizo bidhaa zako.
 
Kama una una eneo la kutosha chukua m1 Fuga kuku chotara aina ya sasso.

Anza na vifaranga 200 ambapo Kila kifaranga huuzwa 1600 kutoka silver land wapo iringa (nitakuunganisha na wakala wao hapo geita anaitwa mawazo)

Utanunua mifuko ya chakula 3 Kwa mwezi wa kwanza

Mwezi wa2 mifuko4-6 kama huwapi na vyakula vingine

Mwezi wa3-4 Anza kutengeneza mwenyew chakula(Nipo tyr kukupa formula Bure na kuja Kwa gharama zangu hapo geita kushare naww experience yangu)

Baada ya mwezi huo uza soko lipo Nje Nje na Mimi wateja wangu wapi geita hapohapo na Mimi nipo geita hata kahama Huwa nauza.

Kwanini kuku aina ya sasso?

Nimewafugakwa muda Sasa nimeona tija Yao huu ni mwaka 4 nafuga. Kwanza niwavumilivu sana Kwa magonjwa nakiri kuwa hawatofautiani na kuku wa kienyeji kwani ukiamua uwafuge kienyeji unawafuga tu bila shida yoyote

Wanakua haraka sana yaani Kwa miezi hiyo4 kuku Tyr kafikia kuuzwa Kwa Tsh17-19k bei ya Jumla!!

Kwa sababu wewe ni wageita hapohapo nakushauri uza mwenyewe rejareja

Wengi wa watu hawawaju kama ni chotara hasa ukiwafuga kienyeji zaidi kama nifugavyo Mimi kwani mafuta Huwa ni kiasi kidogo sana.

Ukiwafuga kisasa tegemea soko kuwa chini na gharama zitakuwa juu zaidi maana watu hawapendi kuku wenye mafuta mengi na nyama laini.

Hawa kuku pia ukiwaacha wafikie miezi5-6 huanza kutaga Kwa speed sana hivyo ni juu Yako Sasa uache uuze mayai ama uuze kuku yote heri ni vile utakavyo wewe.

Ni mengi lkn naweza tiririka hapa kumbe wazo lako ni biashara za kukaa kwenye kiyoyozi hata kama faidi 120,000/= Kwa mwezi hujari kikubwa kiyoyozi na upo ofisini. Ahsantee




Ni kweli mkuu I have a lot of ideas nyingine ni kubwa sana kuliko nikifikiria kununua uwanja nijenge ukumbi coz kwetu Geita watu weng huenda sherehe
2.natamani kurudi shule kusoma ufundi wa magari ya umeme maana kiukweli hizi degree zetu ni more theoretical
3.Ni moja ya wadau wanaohusudu teknolojia ya kutumia gesi kwenye bajaji na magari kama mbadala wa fuel lakini mtaji ni more Than 10Million
So natamani nianze na kitu kibiashara kidogo tu maana Sina mpango wa kutembeza bahasha
 
Nenda lodge za uswazi sizikokuwa na ukomo wa idadi ya watu unaoweza kuingiza vyumbani.

Kodi vyumba kumi kwa kutwa nzima, kila chumba elfu 5 (itakuwa 50,000).
Tafuta mademu kumi, kila demu mpe chumba kimoja na elfu 5 ya kula kutwa nzima (itakuwa 50,000). Jumla laki moja capital.

Wapige picha za kimtego, fungua group telegram weka picha zao na bei ya kila mmoja wapo. Unaandika sifa zake na kuwa chumba kipo.

Kila demu unacharge 20,000 per session, wakiingia ndani humo ya ziada inakuwa ya demu, wewe unakunja 20,000. Ukitoa expenses kwa kila chumba (10,000) unafaida ya 10,000. Mara 10 - 100,000 mara siku 7 ni 700,000.

Sasa unafanya huo mzunguko kwa guest tofauti tofauti kwa kutwa moja. Yani unachukua hata guest 5 ambayo ni capital ya laki tano kwa faida ya laki 5.

Ndani ya mwaka ushajenga guest yako mwenyewe. Siku ukikosa wateja unawagonga mwenyewe hizo bidhaa zako.
Mkuu kumbuka huyu ndo katoka chuo kwahiyo ajiingize kwenye kuuza miwili ya watu unadhani huko mbele kunani?
 
Kama una una eneo la kutosha chukua m1 Fuga kuku chotara aina ya sasso.

Anza na vifaranga 200 ambapo Kila kifaranga huuzwa 1600 kutoka silver land wapo iringa (nitakuunganisha na wakala wao hapo geita anaitwa mawazo)

Utanunua mifuko ya chakula 3 Kwa mwezi wa kwanza

Mwezi wa2 mifuko4-6 kama huwapi na vyakula vingine

Mwezi wa3-4 Anza kutengeneza mwenyew chakula(Nipo tyr kukupa formula Bure na kuja Kwa gharama zangu hapo geita kushare naww experience yangu)

Baada ya mwezi huo uza soko lipo Nje Nje na Mimi wateja wangu wapi geita hapohapo na Mimi nipo geita hata kahama Huwa nauza.

Kwanini kuku aina ya sasso?

Nimewafugakwa muda Sasa nimeona tija Yao huu ni mwaka 4 nafuga. Kwanza niwavumilivu sana Kwa magonjwa nakiri kuwa hawatofautiani na kuku wa kienyeji kwani ukiamua uwafuge kienyeji unawafuga tu bila shida yoyote

Wanakua haraka sana yaani Kwa miezi hiyo4 kuku Tyr kafikia kuuzwa Kwa Tsh17-19k bei ya Jumla!!

Kwa sababu wewe ni wageita hapohapo nakushauri uza mwenyewe rejareja

Wengi wa watu hawawaju kama ni chotara hasa ukiwafuga kienyeji zaidi kama nifugavyo Mimi kwani mafuta Huwa ni kiasi kidogo sana.

Ukiwafuga kisasa tegemea soko kuwa chini na gharama zitakuwa juu zaidi maana watu hawapendi kuku wenye mafuta mengi na nyama laini.

Hawa kuku pia ukiwaacha wafikie miezi5-6 huanza kutaga Kwa speed sana hivyo ni juu Yako Sasa uache uuze mayai ama uuze kuku yote heri ni vile utakavyo wewe.

Ni mengi lkn naweza tiririka hapa kumbe wazo lako ni biashara za kukaa kwenye kiyoyozi hata kama faidi 120,000/= Kwa mwezi hujari kikubwa kiyoyozi na upo ofisini. Ahsantee
Nashukuru mimi sichagui kazi Ila kwenye eneo hapo ndo mtihani!
 
Wakuu nina kiasi cha 2M kama mtaji na ni juzi nimetoka Chuo Dar wa Salaam nimeamua kurudi mkoani kwa mzazi wangu Geita kuanza maisha maana hadi umri huu wa miaka 24 siku zote pesa nilikuwa napewa na wazazi mmoja akafariki

Natamani kufanya biashara
Nimesoma Degree ya business administration. So nauliza kati ya
Biashara hizi tatu ipi inaweza kunifanya niache utegemezi kwa mtaji wa 2M
  1. Biashara ya vinywaji soft drinks na maji jumla jumla ambapo leseni yake halmshauri kwa Mwaka ni 200,000,TRA makadirio ni 50k four installment for whole year
  2. Biashara ya mchele jumla jumla as a supplier kwenye na mashule also reja reja kwa bei ya 1800,1400,1200
  3. Sare za shule masweta, sketi na kaptura na ni kwasababu frame ipo maeneo mkabala na shule mbili za msingi also shule ya secondary behind the frame! Wenye uzoefu nifanye ip??
Ngoja nikusaidie kupunguza options hizo ulizoweka.
Kwa uzoefu wangu kusambaza bidhaa kwa taasisi hasa za serikali unapaswa uwe na capital kubwa kwasababu serikali inalipa baada ya muda mrefu kidogo. Nina experience na wazabuni wanavyozidai taasisi za umma japo wanapata faida kubwa kwa kuuza bei ya juu kuliko uhalisia.

Kwa kua ndio unajitafuta hiyo option 2 itakusumbua Otherwise hizo shule na taasisi ziwe private.
 
Mpe location maana ni mgeni kwa Dar es Salaam
Sio mgeni, ni mweyeji kuzidi mimi

Kwa daslam nimeishi mabibo zote mabibo mwisho, makutano, royola, relin mwananchi, ubungo maziwa, riverside ni ambayo yapo na msimu wanafunzi wakiwa weng biashara zinakubali ikifika mwez wa saba had wa nane zinapoa kinoma had wa 10 mwishoni
 
Back
Top Bottom